History inapingana na wanaosema ''HAKUNA MUNGU'': The simple research you can do to prove it.

History inapingana na wanaosema ''HAKUNA MUNGU'': The simple research you can do to prove it.

Labda kwa sababu huna points za kutoa.

Kufikiri kitu hakufanyi kitu hicho kiwepo.

Ingekuwa hivyo kila mtu angekuwa bilionea anayeishi paradiso yake.


natoa point hukubali.

nikikuuliza kwanini hukubali wakati hujui hutoi jibu

huko ni kutumia nguvu
 
natoa point hukubali.

nikikuuliza kwanini hukubali wakati hujui hutoi jibu

huko ni kutumia nguvu

Hujanijibu nafsi ni nini na roho ni nini, zinapatikana wapi?

Nitajuaje hizi si hadithi tu za kufikirika na si vitu vilivyopo vinavyoweza kupimika na kujulikana kwa hakika.
 
Hujanijibu nafsi ni nini na roho ni nini, zinapatikana wapi?

Nitajuaje hizi si hadithi tu za kufikirika na si vitu vilivyopo vinavyoweza kupimika na kujulikana kwa hakika.


hakika ni nini?
 
Unaamini au unajua kwamba Mungu hayupo?

"God is just a shorthand for a licentious and biased look at perfection through the lens of ignorant human morality"


kwa hii tafsiri yako hapo juu, unawezaje kukielezea kitu kisichokuwepo? ni Mungu gani unaemuongelea hapa?
Ahsante mkuu Kiranga
 
Last edited by a moderator:
Unaamini au unajua kwamba Mungu hayupo?

"God is just a shorthand for a licentious and biased look at perfection through the lens of ignorant human morality"


kwa hii tafsiri yako hapo juu, unawezaje kukielezea kitu kisichokuwepo? ni Mungu gani unaemuongelea hapa?
Ahsante mkuu Kiranga

The godhead idea.
 
ndo mana nakwambia huna hoja unatumia nguvu

Hujathibitisha kwamba mungu yupo.

Hujajibu kwa nini mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote aumbe ulimwengu wenye mabaya na maovu.
 
natoa point hukubali.

nikikuuliza kwanini hukubali wakati hujui hutoi jibu

huko ni kutumia nguvu

Ana kitu inaitwa dismiss syndrome.

Ukiona mtu anasema 4 + 2 = 42 halafu anakwambia thibitisha. Basi elewa kihama kimekaribia.

Maana hata mwalimu wa darasa la pili anafahamu kuwa swali hilo ni la "NDIO" au "HAPANA"
 
Hujathibitisha kwamba mungu yupo.

Hujajibu kwa nini mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote aumbe ulimwengu wenye mabaya na maovu.

quote_icon.png
By Kiranga

Hujaelewa/ unakwepa swali, siulizi mungu wangu, nauliza mungu wako.









Hayo maneno kwenye Quote hapo juu ni yako.

Narudia swali lile lile:

HUYO ALIYE ANDIKA POST YENYE WORDS IN RED. ANAJUA ALICHO ANDIKA AU ANAAMINI ALICHO ANDIKA?
 
The godhead idea.

ENDELEA KUPATA MAUMIVU YA KICHWA HAPA CHINI:

Wathibitishie wasomaji hapa kuwa wewe ni either MWANAUME AU MWANAMKE.

Mimi nasema wewe ni JIKE, kama unabisha tuletee ushaidi ambao ni impeccable and verifiable. Assumptions are not allowed ad infinitum.


UTAKAPO SHINDWA

JARIBU HILI:

Prove to me that God does not exists. I need impeccable exhibits which are watertight and must be verifiable. NO ASSUMPTIONS AT ALL TIME.

Haya anza kutokwa povu
 
Hujathibitisha kwamba mungu yupo.

Hujajibu kwa nini mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote aumbe ulimwengu wenye mabaya na maovu.
ENDELEA KUPATA MAUMIVU YA KICHWA HAPA CHINI:

Wathibitishie wasomaji hapa kuwa wewe ni either MWANAUME AU MWANAMKE.

Mimi nasema wewe ni JIKE, kama unabisha tuletee ushaidi ambao ni impeccable and verifiable. Assumptions are not allowed ad infinitum.


UTAKAPO SHINDWA

JARIBU HILI:

Prove to me that God does not exists. I need impeccable exhibits which are watertight and must be verifiable. NO ASSUMPTIONS AT ALL TIME.

Haya anza kutokwa povu
 
Uniambie wewe unayejua kuwapo kwa roho.

quote_icon.png
By Kiranga

Hujaelewa/ unakwepa swali, siulizi mungu wangu, nauliza mungu wako.











Hayo maneno kwenye Quote hapo juu ni yako.

Narudia swali lile lile:

HUYO ALIYE ANDIKA POST YENYE WORDS IN RED. ANAJUA ALICHO ANDIKA AU ANAAMINI ALICHO ANDIKA?
 
quote_icon.png
By Kiranga
Nishakujibu masqali yako yote haya.

Ama husomi, huelewi au mbishi tu.


Huwa hawalazimishi majibu. Onyesha jibu lako lipo wapi. Nipe linki. UTAKAPO SHINDWA kunipa link, wajibu watu hapa.



Wathibitishie wasomaji hapa kuwa wewe ni either MWANAUME AU MWANAMKE.

Mimi nasema wewe ni JIKE, kama unabisha tuletee ushaidi ambao ni impeccable and verifiable. Assumptions are not allowed ad infinitum.

UTAKAPO SHINDWA

JARIBU HILI:

Prove to me that God does not exists. I need impeccable exhibits which are watertight and must be verifiable. NO ASSUMPTIONS AT ALL TIME.

Haya anza kutokwa povu
 
quote_icon.png
By Kiranga
Pumzi ni pumzi, kwa nini iwe roho?

Roho na nafsi ni mambo ya kufikirika.

Roho imekuwa debunked since Plato's narration of Socrate's Phaedrus, since Lord Buddha.

Mpaka leo watu bado wanashikilia kuwapo kwa roho tu?


Wenye akili hawapo limited kwa Socrates et al. Ndio maana bado unalazimisha Punzi ni Punzi kwasababu umeshindwa na hufahamu na huwezi kuthibitishia kuwa kuna Pumzi, ndio maana unabisha kuwa kuna Roho.

Kushindwa kwako kuelewa Roho hakumaanishi kuwa haipo. Huwezi kutetea madai yako.

Roho ipo kwa wenye ufahamu, lakini wenye upungufu wa kufahamu wanaweza sema kuwa hata Barack Obama wa Pen Ave sio Rais.

Mpaka leo, wenye akili wanaelewa kuwa kuna Roho.

Dismiss syndrome at work
 
quote_icon.png
By Kiranga
Hata nikishindwa ku prove, hilo halithibitishi kwamba mungu yupo.

You can't prove a negative.

I have underlined this countless times before.

Kama mungu hayupo, of course hakuna njia ya kuprove kwamba hayupo.

Kwa sababu hayupo.

Nitaanzia wapi ku prove kitu ambacho hakipo hakipo?

Wewe unayesema yupo ndiye mwenye kazi ya ku prove yupo.

Kwa sababu kilochopo kinaweza kuwa proved kipo.

Huja prove kwamba yupo.


Sio hata ukishindwa KUPROVE. HUWEZI NA HUTO WEZA KUPROVE, that is the bottom line. Stop your bunch of malarkey.

Jibu lake la Mungu yupo hili hapa:
quote_icon.png
By Kiranga

Hujaelewa/ unakwepa swali, siulizi mungu wangu, nauliza mungu wako.


Impugn if you can.
 
Hujathibitisha kwamba mungu yupo.

Hujajibu kwa nini mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote aumbe ulimwengu wenye mabaya na maovu.


sijakuuliza uwepo wa mungu...

unaleta hoja ya uwepo wa mungu

ndo maana nikakwambia unatumia nguvu
 
Sio hata ukishindwa KUPROVE. HUWEZI NA HUTO WEZA KUPROVE, that is the bottom line. Stop your bunch of malarkey.

Jibu lake la Mungu yupo hili hapa:



Impugn if you can.


mkuu ukimfwatilia kiranga anajijibu mwenyewe bila kujua...

umeshamshinda isipokuwa anatumia nguvu
 
Uhai unathibitisha kwamba Roho ipo.
Leo nimekuamini upo sahihi kabisa km GREAT THINKER
lkn usisahau mmea una UHAI lkn hauna ROHO
twende aste-aste na Kiranga kwa hapo anaingia bado ana kete moja tu na ikiliwa basi
jamaa yangu Kiranga wakati una kuwa ulishaugua hata kahoma na kutumia vidonge vya Hospitalini (ambavyo vyote ni mitishamba au udongo)
je ulipona kwa Imani au kwa dawa (na maana ulimuamini Dr au MUNGU asiyekuwepo?au HOFU ilipungua)
na hapo uliiamni Dr, Mganga huyo wa mitishamba, mchawi au MUNGU?
jamaa yetu kwenye HOFU lazima kuna kitu unakitegema ili ROHO yako isikutoke na kupoteza UHAI
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom