Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 28,259
- 41,416
Labda kwa sababu huna points za kutoa.
Kufikiri kitu hakufanyi kitu hicho kiwepo.
Ingekuwa hivyo kila mtu angekuwa bilionea anayeishi paradiso yake.
natoa point hukubali.
nikikuuliza kwanini hukubali wakati hujui hutoi jibu
huko ni kutumia nguvu
