History inapingana na wanaosema ''HAKUNA MUNGU'': The simple research you can do to prove it.

History inapingana na wanaosema ''HAKUNA MUNGU'': The simple research you can do to prove it.

Hayo maneno kwenye Quote hapo juu ni yako.

Narudia swali lile lile:

HUYO ALIYE ANDIKA POST YENYE WORDS IN RED. ANAJUA ALICHO ANDIKA AU ANAAMINI ALICHO ANDIKA?

ha ha ha

mkuu umemkamata kwelikweli anakuona moto
 
ha ha ha

mkuu umemkamata kwelikweli anakuona moto

Hilo swali limeshajibiwa si chini ya mara tano, huyu anataka ligi tu and I will not give him that satisfaction.

Maswali yangu mawili bado hayajajibiwa.

1. Thibitisha, in a consistent way, kwamba mungu yupo.

2. Kama mungu muweza yote, mjuzi wa yote na mwenye upendo wote yupo, imekuwaje kaumba ulimwengu ambao mabaya, maovu, maasi, magonjwa, maafa tele yanawezekana?

Sijajibiwa maswali haya mawili.

Mtu kudaka kifungu tu na kukitafsiri vibaya pamoja na kuelekezwa zaidi ya mara tano does not impress me as a worthy opponent, kaenda kwenye ignore list.

Kama kuna mtu anaweza kujibu haya maswali mawili I will be interested to engage.
 
Kama hizo mada umechukua kwa zaidi ya mtu mmoja, then wewe ndiye uliyejikombea tu vitu vinavyoji contradict bila kujua.

Hoja ya complexity , inalazimisha kila kilicho complex kiwe kimeumbwa, hivyo inalazimisha hata mungu unayesema katuumba awe kaumbwa, na aliyemuumba awe kaumbwa, hivyo hivyo bila mwisho. Mtu yeyote anayefikiri ataona huu ni upuuzi.

Huwezi kusema tu kwamba hii ni effect ya kuwepo kwa mungu bila kuthibitisha.

Pia, hujajibu swali. Kama mungu muweza yote, mjuzi wa yote na mwenye upendo wote yupo na ndiye aliyeumba ulimwengu huu, imekuwaje aumbe ulimwengu ambao mabaya, maovu na maumivu yanawezekana? Does that make sense to you?

Kuhusu roho/ soul, mtu akikwambia there is no proof of soul, only a brain and mind and we do not understand how consciousness works, utasemaje?

Mapepo yanaweza kuelezeka kwa namna nyingi, kwanza kuna mental conditions, pili kuna fraud ( kasome historia ya Jim Jones wa Guyana alivyowatapeli wafuasi wake kwamba anatoa mapepo na kisha kuwaua Kibwetere style). Ukisoma psychology na brain science utaona kuna ma hypnosis na mambo kibao ya brain science amvayo hayajaeleweka vizuri bado, kwa nini tunakimbilia kukubali mapepo bila uchunguzi?

Kuhusu maisha baada ya kifo/ kabla ya kuzaliwa, thibitisha kwamba either exists.

Usiseme "very possible kuna maisha mengine huko" that's guesswork, huna hakika, unabahatisha.

nimekuuliza mtu akifa nini kinaondoka kwenye mwili wake mpk tunasema mwili wa marehemu kama sio roho ambayo wewe huiamini hapa najua utasema pumzi inakatika haya niambie kuna uhusiano gani kati ya mtu kufa na pumzi kukatika nani anayeikata hiyo pumzi/ Anauchukua huo uhai??

Kuhusu mapepo unasemaje ni mental condition wakati yanaweza yakampanda mtu either kwa bahati mbaya au makusudi akiamua ayapandishe??? Na yakimpanda mtu anakuwa haelewi nini yanafanya/hana controll na mwili wake ingawaje pumzi yake bado inakuwepo/anakuwa hajafa na hilo pepo pia lina pumzi yake???


Kuhusu sababu za kutokea maovu duniani/disaster and disease nishakujibu mara kadha wa kadha kwamba magonjwa yanatokana na siisi kuacha maamrisho ya mungu na jinsi alivyotutaka tuishi kwa mfano ukimwi-tuache zinaa, kipindupindu na magonjwa mengine yanayotokana na uchafu yote tunaweza kuyaepuka tukiwa wasafi na tukifanya mazoezi,na kula kwa kiasi tutapunguza magonjwa mengi yanayotokana na sisi kula sana/kula hovyo kuhusu disaster ni kutokana na sisi kumuasi mungu so moja anatuadhibu hapa hapa duniani pili anatupima imani zetu kwamba je tutaendelea kumfanya mungu tegemeo letu hata katika majanga/matatizo au tutamkumbuka katika raha tu??
Na ukisema kwa nini mungu anaruhusu bad things hapen to good people nishakujibu na pia ukijiuliza swali hilo at the same time jiulize why god has allowed good things to happen to bad people ??
 
Hilo swali limeshajibiwa si chini ya mara tano, huyu anataka ligi tu and I will not give him that satisfaction.

Maswali yangu mawili bado hayajajibiwa.

1. Thibitisha, in a consistent way, kwamba mungu yupo.

2. Kama mungu muweza yote, mjuzi wa yote na mwenye upendo wote yupo, imekuwaje kaumba ulimwengu ambao mabaya, maovu, maasi, magonjwa, maafa tele yanawezekana?

Sijajibiwa maswali haya mawili.

Mtu kudaka kifungu tu na kukitafsiri vibaya pamoja na kuelekezwa zaidi ya mara tano does not impress me as a worthy opponent, kaenda kwenye ignore list.

Kama kuna mtu anaweza kujibu haya maswali mawili I will be interested to engage.


Ha ha ha

ndo mana nakwambia huna jipya na unatumia nguvu...

Mara useme ni consistent way Mara in logic hivi unaelrwa unachoandika kweli au kwakuwa tu unajua kiingereza unaamini ndio content?
 
ha ha ha

mkuu umemkamata kwelikweli anakuona moto

Huyo God Hater ameamua kukimbia posti zangu. Lakini simwachii mpaka watu waelewa jamaa kachemsha. Hana jipya zaidi ya kuonyesha low self esteem and paranoia of death.

Baada ya kumuonyesha hata HISABATI HAJUI, sasa ameikimbia hesabu yake. Eti anataka uthibitishe jibu lake wakati hesabu ni ya "TRUE" or "FALSE". Tatizo la vilaza huwa hawajui kuwa ni vipofu. Sasa ameikimbia hesabu yake ya 4 + 2 = 42. Hakika kuna wehu na wendawazimu duniani.
 
Hilo swali limeshajibiwa si chini ya mara tano, huyu anataka ligi tu and I will not give him that satisfaction.

Maswali yangu mawili bado hayajajibiwa.

1. Thibitisha, in a consistent way, kwamba mungu yupo.

2. Kama mungu muweza yote, mjuzi wa yote na mwenye upendo wote yupo, imekuwaje kaumba ulimwengu ambao mabaya, maovu, maasi, magonjwa, maafa tele yanawezekana?

Sijajibiwa maswali haya mawili.

Mtu kudaka kifungu tu na kukitafsiri vibaya pamoja na kuelekezwa zaidi ya mara tano does not impress me as a worthy opponent, kaenda kwenye ignore list.

Kama kuna mtu anaweza kujibu haya maswali mawili I will be interested to engage.

quote_icon.png
By Kiranga

Hujaelewa/ unakwepa swali, siulizi mungu wangu, nauliza mungu wako.













Hayo maneno kwenye Quote hapo juu ni yako.

Narudia swali lile lile:

HUYO ALIYE ANDIKA POST YENYE WORDS IN RED. ANAJUA ALICHO ANDIKA AU ANAAMINI ALICHO ANDIKA?
 
We kiranga ni mtu mwema sana katika ulimwengu umetenda mambo mazuri kibao either kwa ndugu zako or ur friends so nani atakulipa hayo matendo yako mazuri?
 
Ha ha ha

ndo mana nakwambia huna jipya na unatumia nguvu...

Mara useme ni consistent way Mara in logic hivi unaelrwa unachoandika kweli au kwakuwa tu unajua kiingereza unaamini ndio content?

Hujajibu maswali.
 
We kiranga ni mtu mwema sana katika ulimwengu umetenda mambo mazuri kibao either kwa ndugu zako or ur friends so nani atakulipa hayo matendo yako mazuri?

Waswahili wamesema "tenda wema wende zako, usingoje shukurani".

Now I am no saintly do gooder, I have done my fair share of good, but I do not look for thanks and praises.

If I do good, I do good for the sake of doing good, not for the sake of getting thanks.

Na hapo ndipo ninapomshangaa huyu mungu wao anayetaka kuabudiwa, kutukuzwa na kushukuriwa mara tano kwa siku.

Ana matatizo gani mpaka ahitaji kushukuriwa, kuhimidiwa na kusujudiwa hivyo?

Mbona hata Kiranga mwanadamu wa kawaida tu amejua kwamba kupenda shukurani si kitu kizuri?

Mbona hata waswahili tu wametuasa tuwe na kutopenda shukurani?

Huyu mungu ana inferiority complex gani mpaka awatake waja wake wamshukuru na kumhimidi na kumsujudu miaka nenda miaka rudi?

Mimi nakataa kuwa mtu wa kupenda shukurani.
 
Hujajibu maswali.
quote_icon.png
By Kiranga

Hujaelewa/ unakwepa swali, siulizi mungu wangu, nauliza mungu wako.















Hayo maneno kwenye Quote hapo juu ni yako.

Narudia swali lile lile:

HUYO ALIYE ANDIKA POST YENYE WORDS IN RED. ANAJUA ALICHO ANDIKA AU ANAAMINI ALICHO ANDIKA?
 
nimekuuliza mtu akifa nini kinaondoka kwenye mwili wake mpk tunasema mwili wa marehemu kama sio roho ambayo wewe huiamini hapa najua utasema pumzi inakatika haya niambie kuna uhusiano gani kati ya mtu kufa na pumzi kukatika nani anayeikata hiyo pumzi/ Anauchukua huo uhai??

Uhusiano kati ya kufa na pumzi kukatika ni kwamba pumzi ikikatika damu inakosa oxygen na rigor mortis ina set in. You don't need a soul there.


Kuhusu mapepo unasemaje ni mental condition wakati yanaweza yakampanda mtu either kwa bahati mbaya au makusudi akiamua ayapandishe??? Na yakimpanda mtu anakuwa haelewi nini yanafanya/hana controll na mwili wake ingawaje pumzi yake bado inakuwepo/anakuwa hajafa na hilo pepo pia lina pumzi yake???

Umesoma mental conditions zote na kuzimaliza?


Kuhusu sababu za kutokea maovu duniani/disaster and disease nishakujibu mara kadha wa kadha kwamba magonjwa yanatokana na siisi kuacha maamrisho ya mungu na jinsi alivyotutaka tuishi kwa mfano ukimwi-tuache zinaa, kipindupindu na magonjwa mengine yanayotokana na uchafu yote tunaweza kuyaepuka tukiwa wasafi na tukifanya mazoezi,na kula kwa kiasi tutapunguza magonjwa mengi yanayotokana na sisi kula sana/kula hovyo kuhusu disaster ni kutokana na sisi kumuasi mungu so moja anatuadhibu hapa hapa duniani pili anatupima imani zetu kwamba je tutaendelea kumfanya mungu tegemeo letu hata katika majanga/matatizo au tutamkumbuka katika raha tu??
Na ukisema kwa nini mungu anaruhusu bad things hapen to good people nishakujibu na pia ukijiuliza swali hilo at the same time jiulize why god has allowed good things to happen to bad people ??

Hata hujaelewa swali unasema umelijibu mara kibao.

Wewe swali unalotaka kulijibu ni lile la kwa nini kuna maovu. Kwa mfano, kwa nini mungu anaachia watu wanakufa kwa UKIMWI. Explanation yako ni kwamba watu wenyewe ndio wanaofanya zinaa.Na hivyo ndio wanaojisababishia UKIMWI (ingawa hata hili jibu halitoshi, kwa sababu kuna watoto wadogo wanazaliwa na H.I.V bila ya kufanya zinaa yoyote)

Kwa hiyo tunaona kwamba, ingawa swali ulilojibu si nililouliza, hata hilo ulilojibu halijibu swali uliloamua kulijibu kikamilifu.

Umesema maovu ni matokeo ya matendo yetu, wakati wengine wanapatwa na maovu kabla hata hawajapata akili ya kutenda maovu wao useme yamewarudia kutokana na matendo yao.

Mtoto mdogo anapopatawa na mabaya anapatwaje na mabaya kwa makosa yake?

Lakini kama nilivyosema mwanzo, hili swali, ingawa umeliboronga, si lile nililouliza.

Swali nililouliza ni, je, pale mungu alipokuwa anauumba ulimwengu huu, kwa kuwa yeye ni mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na mwenye upendo wote, kwa nini hakuuumba ulimwengu ambao hauruhusu mabaya, hauruhusu maovu, kiasi kwamba hata huyo binadamu mnayemlaumu kwamba mabaya yanampata kwa sababu yeye anafanya mabaya asiweze kufanya mabaya in the first place?

Kwa sababu ukifikiria sana haya mambo, utajiuliza kwa nini binadamu anafanya mabaya?

Utasema, anafanya mabaya kwa sababu mbalimbali, malezi, DNA, ujinga, shetani etc. Kwa mujibu wa mapokeo yenu mnamuweka mbele sana shetani kama baba wa ubaya.

Lakini swali linakuja, huyu shetani katokeaje? Kajiumba mwenyewe au kaumbwa na mungu?

Kama kajiumba mwenyewe basi mungu si muumba vyote na muweza yote.

Kama kaumbwa na mungu, basi mungu ndiye katuletea huyu shetani, na alimjua atakavyokuwa hata kabla hajamuumba, kwa sababu kwa mujibu wenu mungu anajua yote.

Sasa kwa nini alikubali kumuumba huyu shetani wakati akijua kwamba huyu shetani ataleta mabaya duniani?

In fact I will go a step further back.

Kwa nini mungu, kabla ya kumuumba shetani, aliumba ulimwengu ambao shetani na mabaya yote yanayowezekana kufamnyika leo, yawezekane?

Kwa nini mungu hakuumba ulimwengu ambao zinaa na UKIMWI haviwezekani?

Alishindwa au hakutaka tu?

Kama alishindwa, basi si muweza yote.

Kama aliweza ila hakutaka tu, basi hana upendo hivyo, kwa sababu alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu usio na mateso, lakini hakuutumia.

Kwa nini huyu mungu wenu alipokuwa anaumba ulimwengu hakutaka kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani kufanyika?
 
umeishiwa........

Huwezi kusema nimeishiwa mpaka unijibu maswali.

Zaidi ya hapo wewe ndiye utakuwa umeishiwa, kwa kuwa umeulizwa maswali hujayajibu.

Kwa nini mungu alipokuwa anauumba ulimwengu, aliumba ulimwengu ambao maovu na mabaya yanawezekana wakati uwezo wa kuumba ulimwengu usiowezekana mabaya na maovu anao?

Hujajibu swali hili.

Huwezi kusema nimeishiwa wakati swali langu hujalijibu.
 
Huwezi kusema nimeishiwa mpaka unijibu maswali.

Zaidi ya hapo wewe ndiye utakuwa umeishiwa, kwa kuwa umeulizwa maswali hujayajibu.

Kwa nini mungu alipokuwa anauumba ulimwengu, aliumba ulimwengu ambao maovu na mabaya yanawezekana wakati uwezo wa kuumba ulimwengu usiowezekana mabaya na maovu anao?

Hujajibu swali hili.

hilo swali lako logically linahoji uwezo wa Mungu ambapo tayari umeshamjua huyo Mungu kuwa hana uwezo...

unakiri uwepo wa Mungu kwa maneno yako mwenyewe then unataka uthibitisho upi?
 
hilo swali lako logically linahoji uwezo wa Mungu ambapo tayari umeshamjua huyo Mungu kuwa hana uwezo...

unakiri uwepo wa Mungu kwa maneno yako mwenyewe then unataka uthibitisho upi?

Sijamjua huyo mungu, ningemjua nisingekuwa na swali kumhusu yeye ambalo sina jibu lake.

Mimi kuwa na swali hilo kunaonesha kuwa simjui.

Apparently, hata wewe humjui, kwa sababu huna jibu.

Mimi niko open zaidi tu kukubali kwamba huyu mungu hayumkiniki.

Wewe unang'ang'ania kusema kwamba unamjua mungu ambaye humjui.

Ukiulizwa maswali unashindwa kuyajibu.
 
Hayupo.......

1. Nani huyo hayupo?
2. Hayupo wapi?

Umejuwaje kama hayupo? Umetumia njia gani mpaka ukafikia hapo ulipo fikia kuwa hayupo? Huwa hawasemi tuu kama Kasuku kwa kuigiza wengine wanavyo sema bila ya ushaidi. Tumia elimu kidogo katika kujibu maswali na kujieleza.

Usiwe kama yule anaye dai eti 4 + 2 = 42, halafu anasema "THIBITISHA"!!! Hata mwalimu wa darasa la Pili anafahamu kuwa katika hesabu kuna za "kuthibitisha" kuna za "kweli au si kweli". Sasa unapo lazimisha hesabu ya kweli au si kweli iwe ya kuthibitisha kama yule mwenzako. Hapo unaonyesha wee hata shule hukwenda.

Sasa jibi maswali yangu na usikimbie kama yule mwoga mwenzako anaye onyesha low self esteem ya hali ya juu anapo ona maswali yangu.
 
Back
Top Bottom