Priscallia
JF-Expert Member
- Nov 9, 2019
- 496
- 2,449
EAC Heads of State OFFICIALLY admit the Democratic Republic of the Congo (DRC) into the East African Community.
H.E Uhuru Kenyatta,Chair of the Summit of EAC Heads of States announces during the 19th Extra-Ordinary Summit of EAC Heads of State.
===
Mwenyekiti wa Wakuu wa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki(EAC), Rais Uhuru Kenyatta ameidhinisha Jamhuri ya Kidemokrasia Congo kuwa mwanachama wa EAC.
Maamuzi hayo yamefikiwa Machi 29, katika Mkutano wa 19 wa Kawaida wa wakuu wa nchi wanachama. Wanachama wa EAC walikuwa ni Tanzania, Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi na Sudan Kusini ambapo sasa inaongezeka DR-Congo.
H.E Uhuru Kenyatta,Chair of the Summit of EAC Heads of States announces during the 19th Extra-Ordinary Summit of EAC Heads of State.
===
Mwenyekiti wa Wakuu wa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki(EAC), Rais Uhuru Kenyatta ameidhinisha Jamhuri ya Kidemokrasia Congo kuwa mwanachama wa EAC.
Maamuzi hayo yamefikiwa Machi 29, katika Mkutano wa 19 wa Kawaida wa wakuu wa nchi wanachama. Wanachama wa EAC walikuwa ni Tanzania, Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi na Sudan Kusini ambapo sasa inaongezeka DR-Congo.