History is made! Democratic Republic of Congo is now a new member of the East African Community

History is made! Democratic Republic of Congo is now a new member of the East African Community

Mazembe wamemfuata Simba wakijua kuwa karibu naye kutawapaisha kimataifa

Kumbuka kwenye IFFHS wamepigwa gape kubwa na mnyama
hahahaha. Jifurahishe kwa takwimu.mazembe wana makombe km yote afrika
 
Hapa ni kuwahi mashamba kule kwenye almas wale wapaka mkorogo hawalimagi wanaamini viuno ndio kila kitu.
Unalima kwenye vita?
Wakongo ni watu wa kujituma sana tofauti na tunavyowachukulia sisi wabongo.
Sisi ndiyo watu wa kulala sana hatuchangamkii fursa.

Just wait and see..
 
Back
Top Bottom