inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Kujidhihirisha dhahiri!?..kivipi yaani!!!?..huona kakuumba una dhakari na yule uke,dhakari haingii ukeni bila kusimamia,ukiona uke inasimama na ndivyo mnavyozaana...unataka dhahiri ipi Tena!?Nmeshindwa kumthibitisha huyo Mungu katika hali halisia na hata yeye hana shida ya Kujidhihilisha dhahili,
ila kutwa machawa wa huyo Mungu mnateseka kutaka kutuamisha vitu ambavyo hata nyie hamna ushahidi navyo zaidi ya hekaya na blaa blaa za kale tu.
Nmepigwa chenga za mwili na akili juu ya origin of life mnataka kurahisisha mambo magumu kujibiwa na maswali mepesi,
Mungu ni nadharia tu isiyo katika uhalisia na huna ushahidi wenye ithibati kumthibitisha
Alamsiki