JumaKilumbi
JF-Expert Member
- Sep 7, 2022
- 432
- 507
- Thread starter
- #41
Sawa hongera sana, vipi una mpango wa kuumba nini kingine au umemaliza?Mimi ndio nimeumba hivyo vitu
Haya thibitisha mimi sio Mungu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa hongera sana, vipi una mpango wa kuumba nini kingine au umemaliza?Mimi ndio nimeumba hivyo vitu
Haya thibitisha mimi sio Mungu
Nithibitishe nini na ili iweje?Haya hapo umethibitisha vipi? Kwa kudai wewe ni Mungu basi tayari Mungu tunaemuamini sisi anatoweka ghafla au?
Mungu tumuaminiye ni muumbaji, wewe unaweza umba nini?
Thisi is nonesense!! Kwahiyo akitokea mtu kusema wewe ni mungu basi tayari Mungu wanaomuamini Waislam anatoweka?!
Inahitaji akili kidogo sana kuelewa.
Jambo ambalo ni rahisi sana, nadhani hata mtoto anaekwenda ‘sunday school’ anaweza thibitisha huku anakula ‘ice cream’ ya ukwaju.
Mungu Yupo, huo ni ukweli. Nakubali.lakini mkuu tukubaliane jambo moja Mungu yupo ila Apo kwenye dini apo tumepigwa nahisi kabsa dini haina uhusiano na Mungu kabsa, japo vitabu vya dini kuna namna vinaongea kaukwel ila vingi ni kwa madhumuni ya interest zao tu.
Hoja ulivyoiweka vyovyote itavyoleta majibu nakuomba ufanye hili….Nithibitishe nini na ili iweje?
Hiyo sio kazi yangu kumbuka hapa tunafata kanuni na kanuni ambayo nyie mmeichagua ni kuwa anayepinga ndio mwenye jukumu la kuthibitisha
Kama mmeshindwa kuthibitisha mimi sio Mungu wa kweli basi hoja yangu ya kusema Mungu mnayesema yupo, hayupo basi itakuwa na mashiko bila kuzingatia kushindwa kwangu kutoa huo uthibitisho wa kutokuwepo kwake
Perfect!!!Unaweza ukawa mungu hata kuna watu wanaamin ngombe ni mungu
Kwa kukusaidia miungu wako wengi sana kwa hiyo wewe kuwa mmoja wapo wa miungu sio ajabu
Nini uelewa wako juu ya 'Mungu'..ili tujue wewe ni mungu kivipiMimi ninayo hoja ya kuthibitisha hayupo
Kwasababu mimi ndio Mungu wa kweli na huyo mnayedhani ni Mungu hayupo zaidi ya stori
Hautaki?
Kama unabisha basi thibitisha mimi sio Mungu
Wewe si umezaliwa juzi tu,umeviumbaje vitu ulivyovikuta!?Nithibitishe nini na ili iweje?
Hiyo sio kazi yangu kumbuka hapa tunafata kanuni na kanuni ambayo nyie mmeichagua ni kuwa anayepinga ndio mwenye jukumu la kuthibitisha
Kama mmeshindwa kuthibitisha mimi sio Mungu wa kweli basi hoja yangu ya kusema Mungu mnayesema yupo, hayupo basi itakuwa na mashiko bila kuzingatia kushindwa kwangu kutoa huo uthibitisho wa kutokuwepo kwake
Eti jiulize we na nafsi yakoHoja ulivyoiweka vyovyote itavyoleta majibu nakuomba ufanye hili….
Je wewe ni Mungu kweli? (Usinijibu mimi jiulize wewe na nafsi yako tu)
Haijalishi maneno utayapangaje… yataleta majibu unayoyataka… hilo halibadili ukweli.
Mfano mtu ameiba, na ameiba kweli yeye mwenyewe anajua kaiba, lakini ni mtu makini hivyo akaficha ushahidi wote na katu haikugundulika kuwa kaiba, mbele ya mahakama ushahidi ukakosekana… Hakimu akamtangaza kuwa hana hatia.
Je, ni kweli hana hatia?
Au mizani iliyotumika kumpima ina kasoro mahali?
Hilo swali ulipaswa kuulizwa wewe kiumbe ili nikupime ufahamu wako juu ya jina languNini uelewa wako juu ya 'Mungu'..ili tujue wewe ni mungu kivipi
Kumbe Kuna tope kichwaniHilo swali ulipaswa kuulizwa wewe kiumbe ili nikupime ufahamu wako juu ya jina langu
Mi nilikuwepo tangu na tangu na nitaendelea kuwepoWewe si umezaliwa juzi tu,umeviumbaje vitu ulivyovikuta!?
Tomaso hadi muone kwa machoNmeshindwa kumthibitisha huyo Mungu katika hali halisia na hata yeye hana shida ya Kujidhihilisha dhahili,
ila kutwa machawa wa huyo Mungu mnateseka kutaka kutuamisha vitu ambavyo hata nyie hamna ushahidi navyo zaidi ya hekaya na blaa blaa za kale tu.
Nmepigwa chenga za mwili na akili juu ya origin of life mnataka kurahisisha mambo magumu kujibiwa na maswali mepesi,
Mungu ni nadharia tu isiyo katika uhalisia na huna ushahidi wenye ithibati kumthibitisha
Alamsiki
Lakini waanzilishi wa dini zote hawakuwa watawala, ikiwemo kuteswa na kuuliwa na hao watawala.Hoja mbili hizi unasemaje lengo la dini ni kutawala watu.Labda kama huijui historia ya dini mkuu. Tokea kuanza kwake dini ilikuwa na lengo la kupumbaza akili za watu na ilitumika kama zana ya kitawala.
Ili uweze kutawala watu waendee kwanza na dini na vitisho vingi ambavyo ni vyakufikirika.
Kuna jamaa hapo juu amesema 'religion creates fear'. Na hilo ndio kusudio kubwa la dini. Ili wawezw kuwatawala lazima wawatishe kwanza.
Nimewazungumzia kwa muktadha wa “Dini” na si Mungu.Sasa unazungumziaje watu wa Buddha ambao hawaamini mambo ya Mungu ila wanaamini katika kuachana na tamaa za kidunia kufikia level inaitwa nirvanna
Nimejiridhisha hawana majibu.Hilo swali hata uwape homework atheists wote duniani, hawawezi kukupa jibu.
Kuna ushahidi wa kutokuwepo kwake mkuu au kwakuwa hatumuoni?Mungu hayupo ila kuja jua na mimea/cyno bacteria na maji ndio wanaosimamia show humu duniani