Hitimisho langu juu ya swali la Mungu na Atheists

Hitimisho langu juu ya swali la Mungu na Atheists

Nmeshindwa kumthibitisha huyo Mungu katika hali halisia na hata yeye hana shida ya Kujidhihilisha dhahili,
ila kutwa machawa wa huyo Mungu mnateseka kutaka kutuamisha vitu ambavyo hata nyie hamna ushahidi navyo zaidi ya hekaya na blaa blaa za kale tu.

Nmepigwa chenga za mwili na akili juu ya origin of life mnataka kurahisisha mambo magumu kujibiwa na maswali mepesi,

Mungu ni nadharia tu isiyo katika uhalisia na huna ushahidi wenye ithibati kumthibitisha

Alamsiki
Mungu ni nadharia tu kama ukijifungia kwenye box la fikra.
Lakini kama ukiamua kufikiri nje ya box na kutojifunga na Yale tu unayoyafahamu kwako Mungu atabakia tu ni nadharia.
 
Nimejiridhisha hawana majibu.
Wanategemea eti sayansi pekee ndo iwape majibu.
Sayansi imeshindwa kutupa majibu kuhusu mambo mengi duniani, imeweza only 10% ya yaliyomo.But maelf ya elimu zingine nje ya sayansi zimetoa majibu.
So ukijifungia kwenye box la kutegemea ya sayansi tu huwezi pata majibu ya vitu vingine.
 
Mi nilikuwepo tangu na tangu na nitaendelea kuwepo

Ukiniangalia katika jicho la kibinadamu lazima uone nimezaliwa juzi

Hiyo ni moja ya weakness niliyokuumbia
Umenyoa sehemu za Siri!?..kanyoe muwasho huathiri fikra
 
Katika uzi nilioufungua jukwaani hapa nilioutumia kuwaalika Atheists kuleta hoja za kuthibitisha kuwa Mungu hayupo ili tujifunze kuhusu misingi yao, wachache hawakunielewa kwa kudhani nilitaka mabishano, ila nimepata hitimisho lifuatalo
  1. Baadhi ya Atheists wanashindwa kuelewa Mungu huyu (kama atajavyo na Quran na Biblia) anawezaje kuwepo wakati sifa zake zinajikanganya. Mfano kuwa na hasira na kuwa na huruma, kuwa muweza wa vyote n.k
  2. Atheists hawana maelezo mbadala yanayokubalika juu ya asili ya Dunia hii na UIlimwengu kwa ujumla.

  3. Atheists baadhi wanatatizwa na uwepo wa matatizo hapa Duniani, hivyo wanaona Mungu muweza wa vyote hayupo. Kwa maana angekuwepo angeyaondoa haya matatizo
  4. Baadhi hawana uhakika juu ya uwepo wa Mungu wanataka kumjua zaidi lakini si kwa kupitia hizi ‘mainstream religion’ kwa maana kwao wanaona ni uzushi.
  5. Baadhi wamechanganyikiwa, wanashindwa kuielewa hata kidogo dhana ya Mungu.
  6. Atheists wengi wako ‘on offensive’ wanashambulia hoja za Waumini na unapowaweka mazingira ya kuwalazimu kuthibitisha hoja zao inakuwa mtihani.
  7. Atheists wengi hupata chochote cha kusema kwa kushambulia hoja za waumini Dini wengi wao hawana hoja ukiacha kushambulia za waumini Dini.
  8. Wachache sana ni wakweli, na wana fikra huru.
Dini za Kumfuata Ibrahimu, UHindu, na Ubudha kwa uchache zimekuwa na mchango mkubwa sana ktk kuijenga jamii kama tuionavyo leo, lakini hilo haliondoi ukweli kuwa Dini hizi hizi pia zilichangia kuleta maafa makubwa kwa wanaadamu, lakini faida zake kijamii ni nyingi kuliko maafa yake.

HITIMISHO LANGU;
Awali nilidhani Atheists wana hoja za kusikiliza linapokuja suala la Mungu, lakini nimegundua wao wamejawa mashaka, hawana majibu ila maswali ambayo wanayakataa majibu yake, wengi wanakariri hoja na hawako tayari kupokea mabadiliko.

Hivyo basi, ninaamini Mungu yupo kwa mujibu wa Quran aliyoletewa Muhammad (PBUH)

Nimalize kwa nukuu ya Profesa nguli Jordan B. Peterson
“You can only find out what you actually believe (rather than what you think you believe) by watching how you act. You simply don’t know what you believe, before that. You are too complex to understand yourself.”
Jordan B. Peterson
We umeshajijibu, ishu sio uwepo au kutokuwepo kwa Mungu, shida ni hizo dini zenu, na uwezo hao Miungu wasioweza kujipigania mpaka mumpiganie kwa kuua watu, na kumdhuru binaadam mwenzako kwa kumtetea Mungu.
 
Ninachoona hapa dini peke yake hazitoshi kupruv kuwa mungu yupo. Kutokuwepo Kwa pruv ya mungu haimaanish kuwa hayupo. Spirits zinakuwa na utata zinapokutana na sayansi ya Empirical. Dini ni kitu ambacho empirically hakifikiki. Mm nafikiri, kama sayansi yenyew imewekwa matatani na matumiz ya MAGIC (Occults) na kuonyesha kwamba Kuna vitu can not be touchable or seen. God may be there. Matatizo tunayoyaona kama umaskini, ulevi, umalaya na uuaji yanasababisha na vitu vingine kabisa "beyond of what we perceive as normal". Kuna mfumo tunaoish nao ukibadilika hayo matatizo / dhambi hitaziona tena.
Matatizo yote uliyoyataja yanasababishwa na muingiliano wa maisha ya binadamu na viumbe visiovyoonekana. Watu wenye kumudu kuvitawala viumbe visiovyoonekana wameyashinda matatizo. Hawateswi na umasikini, uzinzi, wizi, hasira, ubinafsi, nk hawa watu wanakuwa kwenye level ya maturity and civilized.
 

Attachments

  • E1272345-A3ED-47C5-A35F-E747FBBAF3EF.jpeg
    E1272345-A3ED-47C5-A35F-E747FBBAF3EF.jpeg
    46.2 KB · Views: 4
  • AF50C180-567E-482A-AF27-3F0B6360A913.jpeg
    AF50C180-567E-482A-AF27-3F0B6360A913.jpeg
    73.8 KB · Views: 4
  • 2487F763-54E9-45F8-B8D0-86260FAC71BE.jpeg
    2487F763-54E9-45F8-B8D0-86260FAC71BE.jpeg
    67.3 KB · Views: 4
We umeshajijibu, ishu sio uwepo au kutokuwepo kwa Mungu, shida ni hizo dini zenu, na uwezo hao Miungu wasioweza kujipigania mpaka mumpiganie kwa kuua watu, na kumdhuru binaadam mwenzako kwa kumtetea Mungu.
“Ishu” ni kuwepo au kutokuwepo kwake, maana hoja za baadhi ya Dini ni lazima zitegemee hapo, ukisema hayupo Dini nyingi zinapoteza hoja.

Ukisema yupo Dini hupata hoja, hivyo “ishu” ni Kuwepo au kutokuwepo.

Hilo la dini lenyewe ni suala la kuliangalia upya, maana kuna watu wanafanya ya kipuuzi kwa jina la Dini.
 
Spirit au Roho nguvu zisizoonekana ndizo zinazocontrol maisha ya mtu so ni vita either uvishinde au wakushinde.
Kuwashinda utegemeana na nguvu uliyonayo. It's you against nature.
 
Nafasi ya dini sio hoja kubwa na ya msingi. Bali kushindwa ku prove uwepo wa Mungu ndio kunafanya watu wasiamini hizo dini.
Mungu amesha prove uwepo wake tokea enzi za akina nabii Nuhu , Luti , Ibrahim, Musa na manabii wengine wengi na kuacha kumbumbu ya maneno na maandiko Sasa wewe kama hauamini hayo ni matatizo yako yanayo tokana upungufu wa akili uliyo nao

Kama Leo hii Mungu atataka tena aprove uwepo wake kwa vitendo ili wewe uone kwa macho yako
Miaka 2000 ijayo atatokea tena mtu mbumbu kama wewe na atasema kama unavyo sema wewe kuwa kama Mungu yupo atuonyeshe kwa vitendo ili aprove kuwa yupo

Au unahisi wewe ndio mbumbu wa mwisho hapa duniani kuwa Mungu akijifunua kwako basi ndio tena watu wataamini mile na mile kuwa Mungu yupo?
 
Kujidhihirisha dhahiri!?..kivipi yaani!!!?..huona kakuumba una dhakari na yule uke,dhakari haingii ukeni bila kusimamia,ukiona uke inasimama na ndivyo mnavyozaana...unataka dhahiri ipi Tena!?
una ushahidi na uliyoyaandika hapa au unajaribu tu kurahisisha mambo uonekane na wewe umetoa jibu la kumsemea huyo Mungu?

Vizuri, bahati mbaya kwako hauna hoja ya kuthibitisha hayupo.
nasikitika kutangaza ya kwamba wewe unayedai yupo umeshindwa kumthibitisha na unadai ushahidi wa kutokuwepo kwake toka kwangu
waamini Mungu mna viroja sana!
 
una ushahidi na uliyoyaandika hapa au unajaribu tu kurahisisha mambo uonekane na wewe umetoa jibu la kumsemea huyo Mungu?


nasikitika kutangaza ya kwamba wewe unayedai yupo umeshindwa kumthibitisha na unadai ushahidi wa kutokuwepo kwake toka kwangu
waamini Mungu mna viroja sana!
Sio viohoja ni uhuru wa kuamin na imekuja gundulika amuheshimu uhuru wa watu wengine kuamini kile wanachoamini

Mfano wewe huamin Mungu which ni haki yako lakin unaweza niprove unachoamin kama ni kweli nauhakika huwez
 
Yupo yeyote aliyeweza kuthibitisha mimi sio Mungu?
 
Yupo yeyote aliyeweza kuthibitisha mimi sio Mungu?
We jamaa unashida we umesema ni mungu nani akubishie nakukumbusha hata ngombe au mti wako watu wanaamin ni miungu yao u Kuwa mungu sio big deal mkuu hata maradona alikua mungu watu walikua wanamuabudu
 
Matatizo yote uliyoyataja yanasababishwa na muingiliano wa maisha ya binadamu na viumbe visiovyoonekana. Watu wenye kumudu kuvitawala viumbe visiovyoonekana wameyashinda matatizo. Hawateswi na umasikini, uzinzi, wizi, hasira, ubinafsi, nk hawa watu wanakuwa kwenye level ya maturity and civilized.
Duh. Haya mapya ni viumbe gani hivyo? Labda elimu yako hii Sina utaalam nayo. Ina mana matajir wana asili ya kutumia uchawi au?
 
Okay basi atheists tukubali Mungu yupo....ila tuje swali la pili..Mungu yupi ni wa kweli? Kati ya Allah, Yahweh, Yesu, Budha, Krishna, Odin nk nk.???
 
Back
Top Bottom