Hivi Bashungwa "anatosha" pale TAMISEMI? Pamoja na Rais kutoridhishwa na mambo ya Mkoa wa Mara, bado hajachukua hatua

Hivi Bashungwa "anatosha" pale TAMISEMI? Pamoja na Rais kutoridhishwa na mambo ya Mkoa wa Mara, bado hajachukua hatua

ZE SHUZI AR TOO BIGI FO HIMU....HATOSHI
Yes, hata hivyo hakuna wizara aliyowahi kuonyesha uwepo wake, sijui ni nini kinambeba, tangu awe Waziri katika wizara zote, hana alama aliyoiacha
 
Ningekuwa Mimi ndio Bashungwa, ningepiga kambi Mkoa wa Mara na kuusafisha, nikiwa na kikosi kazi maalum.

Rais hajaridhishwa na yote yanayotokea Mkoa wa Mara, na hatusikii Waziri akitema cheche, amebaki Ally Happy tu alifanya ziara, na kwenye ziara bado anasema ataandika barua sijui TAMISEMI, sijui wapi, nilitarajia Bashungwa angekuwa pale amepiga kambi akichekecha mmoja baada ya mwingine.

Hii wizara kwa staili yake, itamuondoa mapema katika nafasi yake, ni wizara kubwa, pana, inayohitaji maamuzi ya haraka. Huko ndiko Kuna wananchi, TAMISEMI ikiboronga, basi serikali nzima inakuwa na mzigo wa kujitetea kwa umma, wapi makatibu wakuu TAMISEMI? Mmekaa tu Dodoma? Rais akipita mahali na akawa na maswali, tuma timu ikayafanyie kazi.

Bashungwa ajitathmini kama anatosha, kama hachukui hatua kwa Kasi ya mwewe, nashauri SSH aanze kumuondoa yeye, wengine watafata, hiyo ni sampo moja tu ya Mkoa wa Mara, nilitarajia Waziri asambaze moto mkali kwa halmashauri zote nchi nzima, Rais kampa sampo tu kwamba hasimamii vizuri TAMISEMI, Bashungwa, wake up! Kengele za tahadhari zimeanza kulia, maandishi yanasomeka ukutani ...mene mene tekeli na pelesi
Nakubaliana na wewe. Huyu Waziri kijana ni vizuri ajiongeze ktk utendaji kazi. Ana bahati ya kupewa vyeo lkn impact yake haionekani. Tunaona mathalan ktk wizara ya habari mambo aliyoshindwa kufanya kwa mwaka mzima Nape kayatekeleza ktk muda mfupi - kufungua magazeti, channel za fta, n.k. Hatujui kwa mfano kama Bashungwa ana uwezo wa kuboresha vituo vya mabasi na masoko ktk miji kote nchini. I doubt
 
Bashungwa sio mtu wa kukurupuka. Anafanya kazi kwa weledi. Tusubiri matokeo chanya nina imani atainyoosha TAMISEMI.
 
Ningekuwa Mimi ndio Bashungwa, ningepiga kambi Mkoa wa Mara na kuusafisha, nikiwa na kikosi kazi maalum.

Rais hajaridhishwa na yote yanayotokea Mkoa wa Mara, na hatusikii Waziri akitema cheche, amebaki Ally Happy tu alifanya ziara, na kwenye ziara bado anasema ataandika barua sijui TAMISEMI, sijui wapi, nilitarajia Bashungwa angekuwa pale amepiga kambi akichekecha mmoja baada ya mwingine.

Hii wizara kwa staili yake, itamuondoa mapema katika nafasi yake, ni wizara kubwa, pana, inayohitaji maamuzi ya haraka. Huko ndiko Kuna wananchi, TAMISEMI ikiboronga, basi serikali nzima inakuwa na mzigo wa kujitetea kwa umma, wapi makatibu wakuu TAMISEMI? Mmekaa tu Dodoma? Rais akipita mahali na akawa na maswali, tuma timu ikayafanyie kazi.

Bashungwa ajitathmini kama anatosha, kama hachukui hatua kwa Kasi ya mwewe, nashauri SSH aanze kumuondoa yeye, wengine watafata, hiyo ni sampo moja tu ya Mkoa wa Mara, nilitarajia Waziri asambaze moto mkali kwa halmashauri zote nchi nzima, Rais kampa sampo tu kwamba hasimamii vizuri TAMISEMI, Bashungwa, wake up! Kengele za tahadhari zimeanza kulia, maandishi yanasomeka ukutani ...mene mene tekeli na pelesi
Akiondolewa atasiingizia usukuma wake
 
Nimejaribu kumtafuta hata kwa simu na njia nyingine nimueleze yanayofanyika halmashauri niliopo bila mafanikio. Hela za mama Samia zinapigwa nyie. Wacha watu wapige hela. Wacha mbuzi wakate kamba. Maana kumuona waziri umpe dokezo ni kama kujitoa muhanga vile.
 
Ningekuwa Mimi ndio Bashungwa, ningepiga kambi Mkoa wa Mara na kuusafisha, nikiwa na kikosi kazi maalum.

Rais hajaridhishwa na yote yanayotokea Mkoa wa Mara, na hatusikii Waziri akitema cheche, amebaki Ally Happy tu alifanya ziara, na kwenye ziara bado anasema ataandika barua sijui TAMISEMI, sijui wapi, nilitarajia Bashungwa angekuwa pale amepiga kambi akichekecha mmoja baada ya mwingine.

Hii wizara kwa staili yake, itamuondoa mapema katika nafasi yake, ni wizara kubwa, pana, inayohitaji maamuzi ya haraka. Huko ndiko Kuna wananchi, TAMISEMI ikiboronga, basi serikali nzima inakuwa na mzigo wa kujitetea kwa umma, wapi makatibu wakuu TAMISEMI? Mmekaa tu Dodoma? Rais akipita mahali na akawa na maswali, tuma timu ikayafanyie kazi.

Bashungwa ajitathmini kama anatosha, kama hachukui hatua kwa Kasi ya mwewe, nashauri SSH aanze kumuondoa yeye, wengine watafata, hiyo ni sampo moja tu ya Mkoa wa Mara, nilitarajia Waziri asambaze moto mkali kwa halmashauri zote nchi nzima, Rais kampa sampo tu kwamba hasimamii vizuri TAMISEMI, Bashungwa, wake up! Kengele za tahadhari zimeanza kulia, maandishi yanasomeka ukutani ...mene mene tekeli na pelesi
Bashungwa yeye hajui hata anafanya nini pale bora angepewa Lukuvi
 
Nimejaribu kumtafuta hata kwa simu na njia nyingine nimueleze yanayofanyika halmashauri niliopo bila mafanikio. Hela za mama Samia zinapigwa nyie. Wacha watu wapige hela. Wacha mbuzi wakate kamba. Maana kumuona waziri umpe dokezo ni kama kujitoa muhanga vile.
Hata wewe utakuwa tu umezidiwa ulaji lakini unatamani upige vzr sn
 
Ningekuwa Mimi ndio Bashungwa, ningepiga kambi Mkoa wa Mara na kuusafisha, nikiwa na kikosi kazi maalum.

Rais hajaridhishwa na yote yanayotokea Mkoa wa Mara, na hatusikii Waziri akitema cheche, amebaki Ally Happy tu alifanya ziara, na kwenye ziara bado anasema ataandika barua sijui TAMISEMI, sijui wapi, nilitarajia Bashungwa angekuwa pale amepiga kambi akichekecha mmoja baada ya mwingine.

Hii wizara kwa staili yake, itamuondoa mapema katika nafasi yake, ni wizara kubwa, pana, inayohitaji maamuzi ya haraka. Huko ndiko Kuna wananchi, TAMISEMI ikiboronga, basi serikali nzima inakuwa na mzigo wa kujitetea kwa umma, wapi makatibu wakuu TAMISEMI? Mmekaa tu Dodoma? Rais akipita mahali na akawa na maswali, tuma timu ikayafanyie kazi.

Bashungwa ajitathmini kama anatosha, kama hachukui hatua kwa Kasi ya mwewe, nashauri SSH aanze kumuondoa yeye, wengine watafata, hiyo ni sampo moja tu ya Mkoa wa Mara, nilitarajia Waziri asambaze moto mkali kwa halmashauri zote nchi nzima, Rais kampa sampo tu kwamba hasimamii vizuri TAMISEMI, Bashungwa, wake up! Kengele za tahadhari zimeanza kulia, maandishi yanasomeka ukutani ...mene mene tekeli na pelesi
Kwa taarifa yako sasa hivi mara kuna vikosi 2 vinafanyakazi

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Si Rais Wala so bashungwa wote TAMISEMI hawaiwezi,sembuse enzi za magufuli bado palikuwa na uozo.
 
Hakuna sehemu inanuka INJUSTICE kama local authorities hii Tanzania. Watumishi tuliopitia huko ndo tunajua vizuri
 
Ningekuwa Mimi ndio Bashungwa, ningepiga kambi Mkoa wa Mara na kuusafisha, nikiwa na kikosi kazi maalum.

Rais hajaridhishwa na yote yanayotokea Mkoa wa Mara, na hatusikii Waziri akitema cheche, amebaki Ally Happy tu alifanya ziara, na kwenye ziara bado anasema ataandika barua sijui TAMISEMI, sijui wapi, nilitarajia Bashungwa angekuwa pale amepiga kambi akichekecha mmoja baada ya mwingine.

Hii wizara kwa staili yake, itamuondoa mapema katika nafasi yake, ni wizara kubwa, pana, inayohitaji maamuzi ya haraka. Huko ndiko Kuna wananchi, TAMISEMI ikiboronga, basi serikali nzima inakuwa na mzigo wa kujitetea kwa umma, wapi makatibu wakuu TAMISEMI? Mmekaa tu Dodoma? Rais akipita mahali na akawa na maswali, tuma timu ikayafanyie kazi.

Bashungwa ajitathmini kama anatosha, kama hachukui hatua kwa Kasi ya mwewe, nashauri SSH aanze kumuondoa yeye, wengine watafata, hiyo ni sampo moja tu ya Mkoa wa Mara, nilitarajia Waziri asambaze moto mkali kwa halmashauri zote nchi nzima, Rais kampa sampo tu kwamba hasimamii vizuri TAMISEMI, Bashungwa, wake up! Kengele za tahadhari zimeanza kulia, maandishi yanasomeka ukutani ...mene mene tekeli na pelesi
Kwa maoni Bashungwa alipangwa hio wizara kimakosa, hii wizara inahitaji mtu kama Lukuvi au Mpina, Kalemani
 
Ningekuwa Mimi ndio Bashungwa, ningepiga kambi Mkoa wa Mara na kuusafisha, nikiwa na kikosi kazi maalum.

Rais hajaridhishwa na yote yanayotokea Mkoa wa Mara, na hatusikii Waziri akitema cheche, amebaki Ally Happy tu alifanya ziara, na kwenye ziara bado anasema ataandika barua sijui TAMISEMI, sijui wapi, nilitarajia Bashungwa angekuwa pale amepiga kambi akichekecha mmoja baada ya mwingine.

Hii wizara kwa staili yake, itamuondoa mapema katika nafasi yake, ni wizara kubwa, pana, inayohitaji maamuzi ya haraka. Huko ndiko Kuna wananchi, TAMISEMI ikiboronga, basi serikali nzima inakuwa na mzigo wa kujitetea kwa umma, wapi makatibu wakuu TAMISEMI? Mmekaa tu Dodoma? Rais akipita mahali na akawa na maswali, tuma timu ikayafanyie kazi.

Bashungwa ajitathmini kama anatosha, kama hachukui hatua kwa Kasi ya mwewe, nashauri SSH aanze kumuondoa yeye, wengine watafata, hiyo ni sampo moja tu ya Mkoa wa Mara, nilitarajia Waziri asambaze moto mkali kwa halmashauri zote nchi nzima, Rais kampa sampo tu kwamba hasimamii vizuri TAMISEMI, Bashungwa, wake up! Kengele za tahadhari zimeanza kulia, maandishi yanasomeka ukutani ...mene mene tekeli na pelesi
Mkuu wa mkoa anatosha kabisa, siyo lazima waziri naye ahamie Mara wakati ana mambo mengi ya kufanya katika wizara yake.
 
Ningekuwa Mimi ndio Bashungwa, ningepiga kambi Mkoa wa Mara na kuusafisha, nikiwa na kikosi kazi maalum.

Rais hajaridhishwa na yote yanayotokea Mkoa wa Mara, na hatusikii Waziri akitema cheche, amebaki Ally Happy tu alifanya ziara, na kwenye ziara bado anasema ataandika barua sijui TAMISEMI, sijui wapi, nilitarajia Bashungwa angekuwa pale amepiga kambi akichekecha mmoja baada ya mwingine.

Hii wizara kwa staili yake, itamuondoa mapema katika nafasi yake, ni wizara kubwa, pana, inayohitaji maamuzi ya haraka. Huko ndiko Kuna wananchi, TAMISEMI ikiboronga, basi serikali nzima inakuwa na mzigo wa kujitetea kwa umma, wapi makatibu wakuu TAMISEMI? Mmekaa tu Dodoma? Rais akipita mahali na akawa na maswali, tuma timu ikayafanyie kazi.

Bashungwa ajitathmini kama anatosha, kama hachukui hatua kwa Kasi ya mwewe, nashauri SSH aanze kumuondoa yeye, wengine watafata, hiyo ni sampo moja tu ya Mkoa wa Mara, nilitarajia Waziri asambaze moto mkali kwa halmashauri zote nchi nzima, Rais kampa sampo tu kwamba hasimamii vizuri TAMISEMI, Bashungwa, wake up! Kengele za tahadhari zimeanza kulia, maandishi yanasomeka ukutani ...mene mene tekeli na pelesi
Innocent Bashungwa HATOSHI kwa TAMISEMI.

Hii ngoma angepewa Mchengerwa ndiyo watu wangeshika adabu
 
Kwa maoni Bashungwa alipangwa hio wizara kimakosa, hii wizara inahitaji mtu kama Lukuvi au Mpina, Kalemani
Hao Wana makandokando, mpina ana kesi kubwa na wavuvi na wafugaji, aliwadhulumu Mali zao, Kalemani ana udanganyifu wa pale Stiglers, anatakiwa akalale selo, Lukuvi ni mzee, mama hawezi kula matapishi, Mchengerwa anatosha
 
Wizara yenyewe ina majitu mavivu huko halmashauri,hakuna creativity wala productivity yoyote.
 
Back
Top Bottom