Mwogope Mungu, usiongee tu kwasababu una mdomoWizara yenyewe ina majitu mavivu huko halmashauri,hakuna creativity wala productivity yoyote.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwogope Mungu, usiongee tu kwasababu una mdomoWizara yenyewe ina majitu mavivu huko halmashauri,hakuna creativity wala productivity yoyote.
Mhe Bashungwa yuko vizuri sana na kufuatia maagizo ya Rais tayari hatua zimechukuliwa. Mlizoea kila hatua inayochukuliwa inatangazwa lkn si lzm.Ningekuwa Mimi ndio Bashungwa, ningepiga kambi Mkoa wa Mara na kuusafisha, nikiwa na kikosi kazi maalum.
Rais hajaridhishwa na yote yanayotokea Mkoa wa Mara, na hatusikii Waziri akitema cheche, amebaki Ally Happy tu alifanya ziara, na kwenye ziara bado anasema ataandika barua sijui TAMISEMI, sijui wapi, nilitarajia Bashungwa angekuwa pale amepiga kambi akichekecha mmoja baada ya mwingine.
Hii wizara kwa staili yake, itamuondoa mapema katika nafasi yake, ni wizara kubwa, pana, inayohitaji maamuzi ya haraka. Huko ndiko Kuna wananchi, TAMISEMI ikiboronga, basi serikali nzima inakuwa na mzigo wa kujitetea kwa umma, wapi makatibu wakuu TAMISEMI? Mmekaa tu Dodoma? Rais akipita mahali na akawa na maswali, tuma timu ikayafanyie kazi.
Bashungwa ajitathmini kama anatosha, kama hachukui hatua kwa Kasi ya mwewe, nashauri SSH aanze kumuondoa yeye, wengine watafata, hiyo ni sampo moja tu ya Mkoa wa Mara, nilitarajia Waziri asambaze moto mkali kwa halmashauri zote nchi nzima, Rais kampa sampo tu kwamba hasimamii vizuri TAMISEMI, Bashungwa, wake up! Kengele za tahadhari zimeanza kulia, maandishi yanasomeka ukutani ...mene mene tekeli na pelesi
Ccm ni chaka la majizi wa mali za umma na ipo siku mtajutia haya madhambi yenuNingekuwa Mimi ndio Bashungwa, ningepiga kambi Mkoa wa Mara na kuusafisha, nikiwa na kikosi kazi maalum.
Rais hajaridhishwa na yote yanayotokea Mkoa wa Mara, na hatusikii Waziri akitema cheche, amebaki Ally Happy tu alifanya ziara, na kwenye ziara bado anasema ataandika barua sijui TAMISEMI, sijui wapi, nilitarajia Bashungwa angekuwa pale amepiga kambi akichekecha mmoja baada ya mwingine.
Hii wizara kwa staili yake, itamuondoa mapema katika nafasi yake, ni wizara kubwa, pana, inayohitaji maamuzi ya haraka. Huko ndiko Kuna wananchi, TAMISEMI ikiboronga, basi serikali nzima inakuwa na mzigo wa kujitetea kwa umma, wapi makatibu wakuu TAMISEMI? Mmekaa tu Dodoma? Rais akipita mahali na akawa na maswali, tuma timu ikayafanyie kazi.
Bashungwa ajitathmini kama anatosha, kama hachukui hatua kwa Kasi ya mwewe, nashauri SSH aanze kumuondoa yeye, wengine watafata, hiyo ni sampo moja tu ya Mkoa wa Mara, nilitarajia Waziri asambaze moto mkali kwa halmashauri zote nchi nzima, Rais kampa sampo tu kwamba hasimamii vizuri TAMISEMI, Bashungwa, wake up! Kengele za tahadhari zimeanza kulia, maandishi yanasomeka ukutani ...mene mene tekeli na pelesi
Siku akiboronga tu usishangae akahojiwa hata uraia wake.Bashungwa sio kiongozi mbovu, ila jamaa anapendeza zaidi akiwa mzee wa kanisa..
Umakini mkubwa huo ni upi kingali Halmashauri fulani wakaguzi wameenda kukagua mafaili ya taarifa za ujenzi wilayani pasina kufika mashuleni ambako ujenzi haujakamilika wamesepa kwa kukagua makaratasi majengo yameanza na kuchakaa hata miezi miwili haijaisha.Mhe Bashungwa yuko vizuri sana na kufuatia maagizo ya Rais tayari hatua zimechukuliwa. Mlizoea kila hatua inayochukuliwa inatangazwa lkn si lzm.
RC, RAS wanaendelea kufanya kazi kwa umakini mkubwa.
Kuna kitu watanzania bado hamwelewi. Hiyo wizara saivi ni muungano wa wizara mbili. Hayo unayoyasema kwenye wizara yake hayakuwepo.Nakubaliana na wewe. Huyu Waziri kijana ni vizuri ajiongeze ktk utendaji kazi. Ana bahati ya kupewa vyeo lkn impact yake haionekani. Tunaona mathalan ktk wizara ya habari mambo aliyoshindwa kufanya kwa mwaka mzima Nape kayatekeleza ktk muda mfupi - kufungua magazeti, channel za fta, n.k. Hatujui kwa mfano kama Bashungwa ana uwezo wa kuboresha vituo vya mabasi na masoko ktk miji kote nchini. I doubt
HahahaaaBashungwa sio kiongozi mbovu, ila jamaa anapendeza zaidi akiwa mzee wa kanisa..