Hivi Bashungwa "anatosha" pale TAMISEMI? Pamoja na Rais kutoridhishwa na mambo ya Mkoa wa Mara, bado hajachukua hatua

Mhe Bashungwa yuko vizuri sana na kufuatia maagizo ya Rais tayari hatua zimechukuliwa. Mlizoea kila hatua inayochukuliwa inatangazwa lkn si lzm.
RC, RAS wanaendelea kufanya kazi kwa umakini mkubwa.
 
Ccm ni chaka la majizi wa mali za umma na ipo siku mtajutia haya madhambi yenu
 
Katika watu ambao sijui wanapewaje uwaziri ni bashungwa kwanza
1 hajui hata kuongea
2. Kila siku yeye wimbo ni tutaajiri walimu 7000 na hajui upungufu ni kiasi gan
3. Hana haiba ya uongozi cijui alipitaje hata kwenye chama nahisi anapesa
4. Ndo atakayemkwamisha rais maana huyu jamaa labda ana chale za hataree
 
Mhe Bashungwa yuko vizuri sana na kufuatia maagizo ya Rais tayari hatua zimechukuliwa. Mlizoea kila hatua inayochukuliwa inatangazwa lkn si lzm.
RC, RAS wanaendelea kufanya kazi kwa umakini mkubwa.
Umakini mkubwa huo ni upi kingali Halmashauri fulani wakaguzi wameenda kukagua mafaili ya taarifa za ujenzi wilayani pasina kufika mashuleni ambako ujenzi haujakamilika wamesepa kwa kukagua makaratasi majengo yameanza na kuchakaa hata miezi miwili haijaisha.
Bongo bahati mbaya
 
Kuna kitu watanzania bado hamwelewi. Hiyo wizara saivi ni muungano wa wizara mbili. Hayo unayoyasema kwenye wizara yake hayakuwepo.
 
Wakaguzi hawa wanakagua makaratasi bila kufika field kujionea uhalisia. Wengine wakifika field hawana kuonana na wanakamati za ujenzi. Wanaonana na wakuu wa shule au wa vituo bila kuziona kamati. Kisha wanasepa. Nyie nyie nyie achani pesa zipigwe. Kama timu maalumu ndo zimekaa kichovu namna hii
 
Acheni wivu mr bash anafanya kazi vyema
 
Sasa waziri mwenyew hata miez MI Tatu hajamaliza[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…