Hivi BOT mmeidhinishaje hizi riba za hawa mikopo mitandaoni?

Hivi BOT mmeidhinishaje hizi riba za hawa mikopo mitandaoni?

Kudaiwa sio kosa ni kweli. Kosa ni ulaghai unaokuwemo umejificha ndani ya mkopo, na njia inayotumiwa na wadaiwa kama inavunja sheria au kukiuka taratibu. Na hapo ndio tumewalaumu BOT wao kama regulators
Sawa lakini BoT wanachukua hatua katika kipindi ambacho mamilioni ya watu tayari wameshaibiwa Kwa kupewa mikopo Kwa riba kubwa mno na kunyanyaswa Kwa matusi .

Kwahyo watu kama tunadaiwa tulipe kwanza Kisha tuwashitaki wote waliotukopesha Kwa riba ambazo zinaashiria wizi.
Mkopaji akiwa Bado hai Bado ana nafasi ya kulipa.
 
Miongozo na sheria za bot zipo, nina wasiwasi kuna conflict of interest utakuta kigogo wa bot ndio kampuni yakebau anakula percent unategemea nini, haiwezekani hawa watu wanasumbua wananchi namna hii na bot wapo kimya
Kimsingi baada ya kutoa ule muongozo walitakiwa with immediate effect wasitishe huduma za ambao hawajakizi vigezo hadi watakapo kuwa wamekizi. Kutoa tu muongozo ni kama walifanya kuridhisha wabunge baada ya kuliongelea
 
Sawa lakini BoT wanachukua hatua katika kipindi ambacho mamilioni ya watu tayari wameshaibiwa Kwa kupewa mikopo Kwa riba kubwa mno na kunyanyaswa Kwa matusi .

Kwahyo watu kama tunadaiwa tulipe kwanza Kisha tuwashitaki wote waliotukopesha Kwa riba ambazo zinaashiria wizi.
Mkopaji akiwa Bado hai Bado ana nafasi ya kulipa.
Hakuna aliesema mikopo isilipwe, tunachosisitiza ni BOT na TCRA kuchukua hatua ili kudhibiti na kunusuru wahanga, na wahanga watarajiwa. Sio kuishia kutoa muongozo kisiasa tu wakati watu wanaangamia
 
Ishafika hatua kama waliofikia 'Oya' ya mpaka kuua wadaiwa, tofauti ni kuwa hawa wanaua psychologically, emotionally
Watafungwa kama wanaua 🤣🤣

Hivi kwamfano umemkopesha mtu hela ameenda kununua mananasi Kisha yakaozea sokoni je atalipa au ndo akakope Tena sehemu nyingine ili alipe??.

Daah aisee maisha hatari sana kukopa sio poa. Utakuta mjasiliamali anakopeshwa pesa ananunua katoni za maji harafu haziuziki lakini jamaa baada ya wiki wanataka marejesho ikiwa mkopaji Bado Hana hata mia.

Mungu apunguze adhabu kwakweli.
 
Screenshot_20241003_225043_HakikaLoan.jpg
wasije kusema tunawasingizia ushahidi huu apo afu sikuwsomba walianza wao kunitumua vipeperushi vyao nikaona ngoja ni click tazameni huu utapeli afu sasa wanatumua watu wangu text, nimesema sawa kama wanaona wsnadhalilisha watu mwaja huu mpaka uishe watakuwa na hasara ya kutosha nitawafanyia marketing bure kabisa si mwaka wa kwanza wanaingia vyuoni mwezi huu yaana nabandika vipeperudhi vya kukopa na kutokulipa watafurahi na roho zao waache utapeli wa kijinga.
 
Kulipa deni ni jukumu la mkopaji.
Watu wote mnatakiwa kujua kwamba kujulikana kwamba unadaiwa sio jambo baya ingawa baadhi ya wakopeshaji kwakuwa ubunifu wao ni mdogo wanadhani kwamba kutangaza Kwa watu kwamba wamekukopesha ni jambo la faida kwao.

Kamwe usiogope kujulikana kwamba unadaiwa ingawa kama kwenye maelekezo ya mkopo wako hakipo kipengele kinachomruhusu mkopeshaji kutangaza Kwa jamii Yako kuhusu mkopo wako basi unaweza kwenda kuwashtaki mahakamani au unaweza kuamua kuacha kulipa ili Hiyo jamii au watu wako wa karibu waliombiwa kuwa unadaiwa wakulipie deni.

Pia kuhusu kiwango Cha riba ikiwa umekopa lipa kwanza mkopo wako Kisha nenda mahakamani kafungue mashitaka ili aliyekukopesha atoe sababu za kiuchumi zilizomfanya atoe mkopo Kwa riba ya 45% Kwa muda wa wiki Moja au mbili.
Shida za ghafla zinaweza kumfanya mtu aombe mkopo bila kuzingatia masharti lakini hii sababu haimnyimi haki za kisheria mkopaji.

Kuhusu masharti ya kulipa nimeangalia baadhi ya kampuni Huwa wanaeleza kwamba kutakuwa na Ada ya kuchelewa kulipa mkopo lakini kitu kizuri Kwa wakopaji ni kwamba shariti hili halijaonesha muda wa kuchelewa ni siku ngapi au ni miaka mingapi kwahyo sharti Hilo linakufanya mkopaji uwe huru kulipa hata baada ya miaka kadhaa muhimu ujue tu kwamba kadri unavyozidi kuchelewa kulipa ndivyo deni lako linavyozidi kukua ingawa utakuwa na haki za kumshitaki mkopeshaji endapo makadilio ya riba yatakuwa nje na vigezo na masharti ya kiuchumi.

Usione haibu kudaiwa wewe daiwa tu ikikubidi ingawa vigezo vizingatiwe.
Mfano Mimi nadaiwa na LOAN BOARD (Bodi ya mikopo ya elimu ya juu) walinikopesha nikasoma nikamaliza nawashukuru sana Tena mno ila mbaya zaidi hadi saizi Bado Sina uwezo wa kulipa na mkataba unasema deni lataanza kusoma miaka miwili baada ya kuhitimu na kutakuwa na nyongeza ya Ada ya kuchelewa kulipa hivyo hadi Sasa nikipiga hesabu naona nakaribia kuwa na deni la zaidi ya Milioni 15 ila naamini nitalipa tu na Kwa hakika naomba mungu nisife hadi nilipe madeni ya watu.

MWISHO: NAOMBA KAMA KUNA MTU ANAWEZA KUNIKOPESHA MILIONI 5 ZA KITANZANIA ANISAIDIE ILI KUSUDI NIWEZE KUFANYA BIASHARA AMBAYO ITANISAIDIA KUENDESHA FAMILIA NA KUJIJENGA KIUCHUMI.
unaweka dhamana nini wana JF wakusaidie?
 
View attachment 3121356wasije kusema tunawasingizia ushahidi huu apo afu sikuwsomba walianza wao kunitumua vipeperushi vyao nikaona ngoja ni click tazameni huu utapeli afu sasa wanatumua watu wangu text, nimesema sawa kama wanaona wsnadhalilisha watu mwaja huu mpaka uishe watakuwa na hasara ya kutosha nitawafanyia marketing bure kabisa si mwaka wa kwanza wanaingia vyuoni mwezi huu yaana nabandika vipeperudhi vya kukopa na kutokulipa watafurahi na roho zao waache utapeli wa kijinga.
Hawa jamaa ni matapeli sielewi kwanini mamlaka zinaona kama ni watoa huduma inayostahili. Kwanza ukitaka kujua hawa ni matapeli angalia jinsi walivyo na namba za simu nyingi. Hivi kampuni ya huduma inakua na namba zaidi ya 10 kweli? Na TCRA wapo kimya
 
Dhamana ni Mimi mwenyewe nikishindwa nipelekwe mahakamani ingawa siwezi kushindwa kwasababu pesa itakuwa kwenye system ya biashara Wala sitaitumia kuhonga Wala kulewa.
Dhamana phonebook yako, usipolipa wanazama kwenye contact list yako wanatuma SMS kwa kila uliemsave
 
Hawa jamaa ni matapeli sielewi kwanini mamlaka zinaona kama ni watoa huduma inayostahili. Kwanza ukitaka kujua hawa ni matapeli angalia jinsi walivyo na namba za simu nyingi. Hivi kampuni ya huduma inakua na namba zaidi ya 10 kweli? Na TCRA wapo kimya
 
Shukuru Mungu imekupita pembeni. Ni kilio huko, watu hadi wameshindwa kupeleka watoto shule sababu ya hiyo. Wanaku-backmail, Meseji zinatumwa kwa majirani,bodaboda wako, wakwe,mashemeji, michepuko, maboss zako, wateja wako, waalimu wa watoto wako, school bus driver, house girl wako na kila uliemsave kwenye simu yako. Kisha wanakuundia group la WhatsApp uchangiwe. Na TCRA wapo maana wanasema kabisa wameshakureport TCRA wanamkataba nao. Ukichelewa kulipa (kimsingi unakuta hata tarehe inayoonekana kwenye App haijafika) ila wakikupigia simu matusi utakayopewa unazeeka kabla ya muda na kupata kisukari na presha ndani ya miezi miwili tu. Wanakutukania wazazi,watoto, hadi kuku zako Wajaribu mkuu. Wiki mbili tu unakonda hadi watu wanakusahau
Mm mkuu nilijikanyaga yule mama anaongea kashfa.. mkund@ wake popote alipo mbwa yule
 
Wana riba kubwa sana hawa wasenge, nilikopa 50,000 nikabetia bahati na nilishinda nikalipa 69,800 siku ya sita tu wakaanza kudai.
Kaka mm nilidaiwa siku ya 5 tu na nilikopeshwa elf 19 mia tano nikaja kulipa elf 33 tatu wakawa wananipigia sim nimezidisha siku hivyo nilipe hela imeongezeka elfu 5 nikalitimua vumbi la mitusi mpaka leo nawapigia mm na hawapokei wao
 
Back
Top Bottom