Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 28,259
- 41,416
Samia na Magufuli wasingekua wanaokota watu chadema na kuwapa uwaziri!Unateseka sana!
Akija Chadema mtampa Uenyekiti Taifa na kumstaafisha Mbowe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Samia na Magufuli wasingekua wanaokota watu chadema na kuwapa uwaziri!Unateseka sana!
Akija Chadema mtampa Uenyekiti Taifa na kumstaafisha Mbowe
Imbecile !!!!Unateseka sana!
Akija Chadema mtampa Uenyekiti Taifa na kumstaafisha Mbowe
Walikuwa wanatafuta ataye-fit vizuri kwenye hiyo nafasi, huenda hata huyu akabadilishwa mwakani.CCM imeishiwa watu. Ndani ya miaka mitatu wamebadilisha makatibu wenezi watatu.
MACHUKIZO HUYU UMBWAKuna vitu vinachekesha lakini vingine vinatia kinyaa na kufedhehesha mnoo kwenye siasa za Tanzania.
Hivi kwa karne hii yenye kuhitaji wanasiasa wenye akili timamu, upeo na hekima, bado CCM iko usingizini kiasi cha kwenda kuokota watu wale wale wa ajabu ajabu mfano wa Paulo Makonda?
Hivi CCM hakuna tena watu wengine bora na imara mpaka kurudia watu wale wale wa ovyo kuwapa nafasi muhimu za kisiasa?
CCM haiamini tena watu wengine?
CCM haiandai tena viongozi wake?
CCM imeishiwa watu kiasi hiki?
Poleni sana wanaCCM.
Poleni sana chawa wa mama.
Chadema ingelikuwa imebadilisha Mwenyekiti wa Taifa hoja yako ingeeleweka.Kuna vitu vinachekesha lakini vingine vinatia kinyaa na kufedhehesha mnoo kwenye siasa za Tanzania.
Hivi kwa karne hii yenye kuhitaji wanasiasa wenye akili timamu, upeo na hekima, bado CCM iko usingizini kiasi cha kwenda kuokota watu wale wale wa ajabu ajabu mfano wa Paulo Makonda?
Hivi CCM hakuna tena watu wengine bora na imara mpaka kurudia watu wale wale wa ovyo kuwapa nafasi muhimu za kisiasa?
CCM haiamini tena watu wengine?
CCM haiandai tena viongozi wake?
CCM imeishiwa watu kiasi hiki?
Poleni sana wanaCCM.
Poleni sana chawa wa mama.
Usiwashangae wako desparate, kuelekea 2025, wanahitaji watu wasio na akili ili wawatumie kwenye mipango ovuKuna vitu vinachekesha lakini vingine vinatia kinyaa na kufedhehesha mnoo kwenye siasa za Tanzania.
Hivi kwa karne hii yenye kuhitaji wanasiasa wenye akili timamu, upeo na hekima, bado CCM iko usingizini kiasi cha kwenda kuokota watu wale wale wa ajabu ajabu mfano wa Paulo Makonda?
Hivi CCM hakuna tena watu wengine bora na imara mpaka kurudia watu wale wale wa ovyo kuwapa nafasi muhimu za kisiasa?
CCM haiamini tena watu wengine?
CCM haiandai tena viongozi wake?
CCM imeishiwa watu kiasi hiki?
Poleni sana wanaCCM.
Poleni sana chawa wa mama.