Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Siku hzi mapenzi sio kipaumbele ila ni mambo mengine kwa kweli kama atakuwepo nitamshukuru Mungu ila kama hayupo basi tunamtafuta ili awepo unajua kuwa kwenye mahusiano ni baraka sanaNn shida mapenzi yanekufanyaje
Siku hzi sijapewa offer za kwenda sehemu nzuri sana kila mara kama awali inatokea mara moja naambiwa mimi sio mtoto nimeshakuwa niwe kwenye budghetiPole
Kazi na umri, hata maua huchanua na kunyaukaSiku hzi sijapewa offer za kwenda sehemu nzuri sana kila mara kama awali inatokea mara moja naambiwa mimi sio mtoto nimeshakuwa niwe kwenye budgheti
Yes ndio hivyooKazi na umri, hata maua huchanua na kunyauka
Yes hnySiku hizi hatutongazani tunaitana majina ya kimahaba biashara inaishaβ¦.. mtajikuta automatically mpo penzini π
π€£π€£π€£Naachana naye tu....najiepusha na mengi
Nambie darling π₯°Yes hny
π naingojea hiyo jpili hnyNambie darling π₯°
Hivi ndo uko kutest mitambo? π€£π€£π€£
πππ naingojea hiyo jpili hny
mitambo kwan sie tanesco?
π nataman hata ingekuwa leo wikiendi ndio ishaanza nawewe malkia wangu πππ
Utanikuta nipo mwingi nakusubiri laaziz
Kwanini jamani kipenzi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji2] Dada Maua Umenifanya nicheke shost
Wacha wee πππ nataman hata ingekuwa leo wikiendi ndio ishaanza nawewe malkia wangu π
Nasubiri maelekezo mchumba πWacha wee ππ
Njoo leo laaziz tuanze mkesha mpk jpili siku ya kilele π
Uzi ufungweMuombe mtoke out friendly, Baada ya kunywa wine kidogo( usilewe sana just a bit tipsy) ,give hime a random deep kiss ila usimpe papuchi.
Hakikisha you look good and you smell good and act classy but a little bit sassy.
Baada ya hapo usimpe too much attention, make him want you.
Au muite kwako kama uko tayari kwa chochote yaani liwalo na liwe [emoji23][emoji23]..Make sure wewe na mazingira yako mnavutia,
Utayakuta pm sweetheart ππ₯°Nasubiri maelekezo mchumba π
[emoji23][emoji23][emoji23] Eti kwa rikiboyTena analeta thread kwa rikiboy