Melki Wamatukio
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 6,156
- 10,974
[emoji23][emoji23][emoji23]Hii imeendaSiku hizi hatutongazani tunaitana majina ya kimahaba biashara inaisha….. mtajikuta automatically mpo penzini [emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23]Hii imeendaSiku hizi hatutongazani tunaitana majina ya kimahaba biashara inaisha….. mtajikuta automatically mpo penzini [emoji23]
Dah! Women Women WomenMuombe mtoke out friendly, Baada ya kunywa wine kidogo( usilewe sana just a bit tipsy) ,give hime a random deep kiss ila usimpe papuchi.
Hakikisha you look good and you smell good and act classy but a little bit sassy.
Baada ya hapo usimpe too much attention, make him want you.
Au muite kwako kama uko tayari kwa chochote yaani liwalo na liwe [emoji23][emoji23]..Make sure wewe na mazingira yako mnavutia,
To yeye, Kalpana, Bantu Lady, shemela Evelyn Salt , mamdogo Amehlo et el kuna swali lenu huku, ningependa kuyasikia majibu yenuHivi dada ukiwa unampenda mwanaume alafu yeye hakutongozi, hua mnafanya nini?
Ni mwendo wa kuitana mume wangu mpk atajiongeza na vile wanaume zetu wa kibongo maharage ya Mbeya, ni km kumpiga chura teke 🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23]Hii imeenda
Hakikisha na wewe unavutia, hukohoikohoi, wala ukurutu, tabasabu, msaidie kitu chochote maana wanaume huwa wanapenda kujaliwa/kusaidiwa hata kama wanaweza. Mwambie kama una muda tutoke/unipeleke/unisindike sehemuHivi dada ukiwa unampenda mwanaume alafu yeye hakutongozi, hua mnafanya nini?
Thank you my queen😘Utayakuta pm sweetheart 😍🥰
Uislam mwema sana, unafundisha kuwa unamtumia watu wanaoheshimika alete posa.Hivi dada ukiwa unampenda mwanaume alafu yeye hakutongozi, hua mnafanya nini?
Muombe mtoke out friendly, Baada ya kunywa wine kidogo( usilewe sana just a bit tipsy) ,give hime a random deep kiss ila usimpe papuchi.
Hakikisha you look good and you smell good and act classy but a little bit sassy.
Baada ya hapo usimpe too much attention, make him want you.
Au muite kwako kama uko tayari kwa chochote yaani liwalo na liwe [emoji23][emoji23]..Make sure wewe na mazingira yako mnavutia,
Nakupendaga sana Madam kwa nasaha zakoUislam mwema sana, unafundisha kuwa unamtumia watu wanaoheshimika alete posa.
Wacheni uzinzi na uasherati, ni uchafu. Oaneni.
[emoji23][emoji23][emoji23] hapa nimekumbuka ile acha utoto hii ni jf[emoji23]Siku hizi hatutongazani tunaitana majina ya kimahaba biashara inaisha….. mtajikuta automatically mpo penzini [emoji23]
Anakuwa rafiki yangu basi naridhikaHivi dada ukiwa unampenda mwanaume alafu yeye hakutongozi, hua mnafanya nini?
mara paah geti linagongwa kweli, lazima ukimbilie uvunguni[emoji23][emoji23][emoji23]Wacha wee [emoji23][emoji23]
Njoo leo laaziz tuanze mkesha mpk jpili siku ya kilele [emoji182]
[emoji23][emoji23]Utayakuta pm sweetheart [emoji7][emoji3059]
What about women?Dah! Women Women Women
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Na wasivyo na haya siku hz hashindwi kukuomba hela