Hivi dada ukiwa unampenda mwanaume halafu yeye hakutongozi, huwa mnafanya nini?

Hivi dada ukiwa unampenda mwanaume halafu yeye hakutongozi, huwa mnafanya nini?

Baby shower imoo, mkuje jamani mnileteege hizo nepi, na mwaka huu nashusha dume a.k.a jitu la nyikanii!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
cocastic uko wapi? Wizo anatuletea ugeni soon 🤣🤣🤣🤣
Wizo niwacheeeee kidogo aiseee!! Mbavu zinaniuma mwenzio
Ko mtoto wa nani?
 
Haha juz nimetongozwa na mtoto anayetosha kuwa mwanangu. Sijui ujasiri huu kautolea wapi nlishangaa sana. Kwanza kalinipigia simu nipo kwenye bus nlivogundua maongezi haya ni magumu ikabidi nimwambie nitext nipo kwenye bus, sms fupi na rahisi kuelewa yaan nikama mtu anaomba maji ya kunywa "nataka tuwe marafiki" hapa nikirudi nataka nimtie adabu sipendi mashara mie. Nitampelekea moto mpaka aite maji mma
 
Mimi kiukweli na tengeneza mazingira ya kumbaka basi sina choice ila sasa sio umpendee kila mtu utaitwa kicheche kuna baadhi ya watu wanakufanya uwapende wanavutia kisa wanazile nguzo zako ulizowekaga . Ila mie ni mtu mmbaya sana nikiwa na mtu siwezi rudia mechi kabisa mapenzi kwangu siku hizi ni changamoto maana siipi kipaumbele
Ukiona hivyo.. ujue ushakuwa Malaya tayari[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hapana sijakumbushwa wanataka tu kutufarakanisha 😉
Asumaaaaaaaaniiiiiiiii….
FEB9D37E-E3C2-457C-B1D7-C12A70CA094D.png
 
Back
Top Bottom