Mimi ni huyo
Senior Member
- Jun 15, 2020
- 103
- 84
- Thread starter
- #221
Yes tujifunze kusonga mbele. Hata wale unaona wameoana wamepitia weng mpaka kufika pale
Nashukuru kwa kunipa moyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes tujifunze kusonga mbele. Hata wale unaona wameoana wamepitia weng mpaka kufika pale
Jamani!!!
Mkuu kuna kuibiwa simu, ajali n.k
Acha kuwaza - ve,,, ulichukua simu ya mtu mwingine ujaribu kumpigia uone kama amekublock.!?
Infact,,, Mapenzi ni ufalla sana.
Mwamba anahitaji faraja tu Boss [emoji23][emoji23]Jibu unalo ..
Unaomba ushauri wa nini?
Ni mpenzi wako kweli au sex partner tu?
Vijana wengi hamjui hata mpenzi ndo yupi
Na fukc buddy yupi..
We unasema huyu mke, mwenzio hata hajui..
Mwamba anahitaji faraja tu Boss [emoji23][emoji23]
Mkuu hajakucheki tena mpaka leo?Nishapiga chini kaka
Mkuu hajakucheki tena mpaka leo?
😁😁🤣OmgIfike wakati watu muombe ushauri kwa mambo mazito
Wadau nina demu wangu tuna kama miez 6 sasa alisafiri kwenda mkoa kikazi! Siku moja kabla ya kuja mjini alinipa taarifa kuwa anakuja na kuniomba nimfate stend nikampokee.
Ila alipokuwa njiani tuliwasiliana kama mara 2 Tatizo ni kwamba muda aliokaribia kufika simu yake kila ukimpigia inatumika nadhan kuna mtu alikuwa anaongea nae.
Baada ya muda nahisi akaniblock laini zangu na hakuna respond yeyote, ikijaribu kupiga namba nyingine inaita kama kawaida. Nahisi kusalitiwa japo sijaongea nae ila siamini kabisa kama yupo sehemu salama.
Naomba ushauri wenu katika ili kuna haja hadi kusubiri maelekezo au ndo nijiandae kuita dear ex.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jibu unalo ..
Unaomba ushauri wa nini?
Ni mpenzi wako kweli au sex partner tu?
Vijana wengi hamjui hata mpenzi ndo yupi
Na fukc buddy yupi..
We unasema huyu mke, mwenzio hata hajui..
😂😂Mleta Uzi leta mrejesho bado haujapona jeraha la moyo?