Hivi hapa nina haja ya kuendelea na mahusiano au nijiongeze

Hivi hapa nina haja ya kuendelea na mahusiano au nijiongeze

Ulimuuliza kuhusu simu yake kutumika muda mrefu? Kuhusu pia ulivyompigia kwenye namba ingine hakupokea? Mwisho kama cm yake ilizima why hakutafuta namna ingine ya kukujulisha kwa usiku huo ikiwa anajua ulienda kumpokea?

Sijaongea nae katuma tu sms hata kumjibu nimeshindwa
 
Kama ipo ya kawaida tu ila tupo vzr had anapanga safar zake
Ok, basi Relax wasilianeni muongee vizuri kwa kina what happened, pia akueleze kwa ufasaha mambo hayo muhimu why simu yake ilikua inatumika muda mrefu wakati anakaribia, wewe kuwa blocked, why hakutafuta any means ya kukujulisha kama cm yake anadai ilizima huku akijua wewe umeenda kumpokea na namba yake nyingine why alikua hapokei.

Ongeeni nyie wawili mpate muafaka.
 
Ok, basi Relax wasilianeni muongee vizuri kwa kina what happened, pia akueleze kwa ufasaha mambo hayo muhimu why simu yake ilikua inatumika muda mrefu wakati anakaribia, wewe kuwa blocked, why hakutafuta any means ya kukujulisha kama cm yake anadai ilizima huku akijua wewe umeenda kumpokea na namba yake nyingine why alikua hapokei.

Ongeeni nyie wawili mpate muafaka.

Ili tuendelee na mahusiano au
 
1 amenitafuta amesema alifika usiku sn akapitiliza kwao 2 alitaarifu siku moja labla na alipopanda bas alinitaarifu na alipokaribia alinitaarifu kabla ya cm kuanza kutumika muda mrefu na kujikuta niko blocked 3 sidgan kama kuna ugomvi wa mtu kupotelea kusikojulikana ndio maana no 2 alikuwa ananipa notificatipn
Jibu ni moja, alienda pokelewa na mwenzio
 
Jibu unalo ..
Unaomba ushauri wa nini?
Ni mpenzi wako kweli au sex partner tu?

Vijana wengi hamjui hata mpenzi ndo yupi
Na fukc buddy yupi..
We unasema huyu mke, mwenzio hata hajui..
Bonge la point hili, mwenzio kakuweka kama fu*k partner we umejiolesha.

Pole yake huyo jamaa, na mwenendo wa huyo manzi ukoje huko nyuma. Coz sio kila myu asipopatika basi analiwa vipi kama kapata ajali kwenye hiyo safari yake?? Ushajaribu kufatilia hilo ndo unawaza kungonoka tu?
 
Back
Top Bottom