Hivi hapa nina haja ya kuendelea na mahusiano au nijiongeze

Hivi hapa nina haja ya kuendelea na mahusiano au nijiongeze

Mkuu unaogopa kesi hahahhahhaha toa madini
Sio kuogopa kesi mkuu.
Nikikufundisha bila kuzingatia umri wako nitakuwa nimekurukisha stage ambayo mbeleni itakuletea madhara tena,utarudishwa steji ya nyuma.
Hata mimi nilikuwa hivyo kama wewe miaka ya nyuma niliumizwa sana hadi sasa hivi nikaja kujigeuza
 
Sio kuogopa kesi mkuu.
Nikikufundisha bila kuzingatia umri wako nitakuwa nimekurukisha stage ambayo mbeleni itakuletea madhara tena,utarudishwa steji ya nyuma.
Hata mimi nilikuwa hivyo kama wewe miaka ya nyuma niliumizwa sana hadi sasa hivi nikaja kujigeuza

Yaan hata mm ni kankara ila ndo bas tu nimewahiwa ngumi ya puani
 
Wadau nina demu wangu tuna kama miez 6 sasa alisafiri kwenda mkoa kikazi! Siku moja kabla ya kuja mjini alinipa taarifa kuwa anakuja na kuniomba nimfate stend nikampokee.

Ila alipokuwa njiani tuliwasiliana kama mara 2 Tatizo ni kwamba muda aliokaribia kufika simu yake kila ukimpigia inatumika nadhan kuna mtu alikuwa anaongea nae.

Baada ya muda nahisi akaniblock laini zangu na hakuna respond yeyote, ikijaribu kupiga namba nyingine inaita kama kawaida. Nahisi kusalitiwa japo sijaongea nae ila siamini kabisa kama yupo sehemu salama.

Naomba ushauri wenu katika ili kuna haja hadi kusubiri maelekezo au ndo nijiandae kuita dear ex.

Ifike wakati watu muombe ushauri kwa mambo mazito
Kwakweli maana huu ni utoto sasa tunaleteana
 
Namaanisha asikupotezee muda kwani hayupo nawewe2 ndomaana ameweza hata kuku block ili aendelee naupande wapili.

Asubuh kanitafuta anasema eti cm ilizima na alifika usiku wakat mm nilifika stend gar liliwahi tu na nikampigia kwa number nyingine ikawa inapatikana
 
Asubuh kanitafuta anasema eti cm ilizima na alifika usiku wakat mm nilifika stend gar liliwahi tu na nikampigia kwa number nyingine ikawa inapatikana
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Unakumbuka nilikwambia kitu kama hiki kijana,nawajua vizuri hao viumbe
 
Back
Top Bottom