Mimi ni huyo
Senior Member
- Jun 15, 2020
- 103
- 84
- Thread starter
- #161
Mimi niliacha siku nyingi sana kupenda hao viumbe,nawatumia tu nikizidiwa.
Maana mm naonaga inakujaga tu natural
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi niliacha siku nyingi sana kupenda hao viumbe,nawatumia tu nikizidiwa.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kabla sijakufundisha naomba kujua kwanza umri wako ili nikupe ushauri utakaoendana na weweIvi huwa mnafanyaje had mnakuwa sugu hivyo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kabla sijakufundisha naomba kujua kwanza umri wako ili nikupe ushauri utakaoendana na wewe
Pole sana.
Sio kuogopa kesi mkuu.Mkuu unaogopa kesi hahahhahhaha toa madini
Sio kuogopa kesi mkuu.
Nikikufundisha bila kuzingatia umri wako nitakuwa nimekurukisha stage ambayo mbeleni itakuletea madhara tena,utarudishwa steji ya nyuma.
Hata mimi nilikuwa hivyo kama wewe miaka ya nyuma niliumizwa sana hadi sasa hivi nikaja kujigeuza
Okoamuda
Ntumie tu mkuu,ntamtuliza 😁Mkuu utateseka buree uje kufungua nyuz za vilio huku washaur watatuchoka
Wadau nina demu wangu tuna kama miez 6 sasa alisafiri kwenda mkoa kikazi! Siku moja kabla ya kuja mjini alinipa taarifa kuwa anakuja na kuniomba nimfate stend nikampokee.
Ila alipokuwa njiani tuliwasiliana kama mara 2 Tatizo ni kwamba muda aliokaribia kufika simu yake kila ukimpigia inatumika nadhan kuna mtu alikuwa anaongea nae.
Baada ya muda nahisi akaniblock laini zangu na hakuna respond yeyote, ikijaribu kupiga namba nyingine inaita kama kawaida. Nahisi kusalitiwa japo sijaongea nae ila siamini kabisa kama yupo sehemu salama.
Naomba ushauri wenu katika ili kuna haja hadi kusubiri maelekezo au ndo nijiandae kuita dear ex.
Kwakweli maana huu ni utoto sasa tunaleteanaIfike wakati watu muombe ushauri kwa mambo mazito
Namaanisha asikupotezee muda kwani hayupo nawewe2 ndomaana ameweza hata kuku block ili aendelee naupande wapili.
Kwakweli maana huu ni utoto sasa tunaleteana
Ntumie tu mkuu,ntamtuliza [emoji16]
Tulia mambo uyaone usitingishe ata kidogo na mm nimewahi kupitia mkasa kama huu
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Unakumbuka nilikwambia kitu kama hiki kijana,nawajua vizuri hao viumbeAsubuh kanitafuta anasema eti cm ilizima na alifika usiku wakat mm nilifika stend gar liliwahi tu na nikampigia kwa number nyingine ikawa inapatikana
Achana nae maana amekudharau waziwazi na wala haoneshi kua anajutia.Ebu jiweke ww sehemu yangu alafu toa maamuz ndugu maana mm akili imestack