Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Sasa mbona umeniblock?Nilishasema nimekukubali kwa Moyo na akili ni wewe tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa mbona umeniblock?Nilishasema nimekukubali kwa Moyo na akili ni wewe tu
Aisee hao ni biashara kwaoWawili? Ah huyo mbona mtakatifu? Watu wanaunganisha wanaume kama saba hivi... lila mtu anapangiwa siku ya kupewa uroda
Baada ya kugundua una upiga mwingiSasa mbona umeniblock?
We una amini wanawake wote wako hivyo kumiliki wanaume wawili kwa wakati mmoja nacho ni kipaji
Si wote kama ilivyokuwa nyinyi hamuwezi kutulia na Mwanamke mmojaNaona kama siku hizi imekuwa fasheni
Khaaaaa!Baada ya kugundua una upiga mwingi
Aisee hao ni biashara kwao
Si wote kama ilivyokuwa nyinyi hamuwezi kutulia na Mwanamke mmoja
Hapa itapona tuPamoja mkuu tunatibu majaraha
Hapa itapona tu
Ungewai mapema stend ungejificha sehem.Nilifika stend but sijamkuta wala hakunipa taarifa kama gar lilishafika stend
Yah itakuwa kweli alijichanganya kwenye kuchat baada kushtuka anaye chat nae siye ikibadi amblock jamaaMkuu hiyo mara mbili mliyowasiliana nae ujue alikosea namba. Target yake haikuwa wewe ndo maana kablock namba zako baada ya kugundua.
Achana nae, jambo dogo hilo linakupa wenge.
Wanajua sana kuigiza hao viumbe achana naoYaan vile alivyo serious na unafki wake wa kupublish mahusiano ndio ulinimaliza kabisa nikaona hatakuwa hana mambo mengi kumbeee
Yah itakuwa kweli alijichanganya kwenye kuchat baada kushtuka anaye chat nae siye ikibadi amblock jamaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanajua sana kuigiza hao viumbe achana nao
Nitumie namba yake mkuu,nimpe pesa.
Mimi niliacha siku nyingi sana kupenda hao viumbe,nawatumia tu nikizidiwa.Wachongewe sanamu lao la maigizo daaaa yaan unajikuta ushajaaa mkuu
Mimi niliacha siku nyingi sana kupenda hao viumbe,nawatumia tu nikizidiwa.