Hivi hapa nina haja ya kuendelea na mahusiano au nijiongeze

Hivi hapa nina haja ya kuendelea na mahusiano au nijiongeze

Dalili zote za namba kuwa blocken nimeziona na nilichukua cm nyingine nikapiga inaita tu vzr
Pole sana Mkuu, (1.) vipi amekutafuta mpaka sasa? (2.) Kabla ya safari yake hii mpaka amekutaarifu kuwa anakuja uende kumpokea, je dalili za migogoro ilishaanza na kupelekea taa nyekundu kuwaka katika mahusiano yenu?
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Unakumbuka nilikwambia kitu kama hiki kijana,nawajua vizuri hao viumbe

Sorry,niliingia usiku nikaona mida imeenda hivyo nikarudi tu Simu pia ilizima chajimkuu ulipita mule mule respect kaka
 
Ilikuwaje mkuu tufarijiane hapa kaka
Mkasa wangu ni tofauti kidogo na wako ila ktk mawasiliano kwa njia ya simu yaan ni huo huo mchezo ngoja tu nisimulie mwishoni pekee

Tokea alipo hama mtaa huu niliopo mawasiliano kwa njia ya simu yalikuwa magumu sana, bs mwishoni nikatumia kila njia nijue nn kimya chake, nilisajili laini mpya nikaweka salio nikampa rafiki yangu sim awasiliane nae, mawasiliano yalikuwa ya dk 5 ila majibu aliyompa yalitushtua alikuwa hafahamu anawasiliana na nani lakin akamwambia tayari walishamtolea posa hata huyo rafiki yang hakumuuliza swali juu ya kuolewa lakin atoa hayo maneno bs nilikesha aiseee. Ila ilipofika hasubui nikawa nimetulia nikaendelea kumtumia txt lkn majibu hayarudi bs baada ya siku mbili nikamtxt kuwa kama tayari ashaganisaliti bs mie nimekubali na kama kaolewa mi nishagakubali wamchukue ndo aliponijibu ety 7bu ya kutojibu txt zangu sizipumzishi[emoji849] ety namtumia txt nying mpk anashindwa kuzijibu. Wakat katik akili yng nilikuwa nakumbuka kuwa sikuwa ktk hali hiyo hapo mwanzo na kumtumia txt nyng ni kwamba nilikuwa nina hofu nae. Bs akanambia niwe namtumia txt za kuwa ninamjulia hali na akanipa mfano et kama "kama umeshindaje" bs na mm nikawa nafanya lkn majibu yalikuwa hayarudi lkn nikaona nisipaniki kwanza baada ya 1 week nikamtxt usiku nikamuuliza lini atakuja kwangu akajibu tatzo nauli bahati mbaya sim ikawa ndo inaisha chaji na umeme luku imekwisha, kutokana ninaishi nyumba za kupanga na umeme unabidi uchangiwe wapangaji wenzangu wakanizengua nikaweka umeme mwenyewe ili nichaji sim nimjibu, baada ya kuchaji simu nikamtxt nimtumie nauli? Msg ilipokelewa lkn majibu hayakurudi, bs hasubui nikamtafta tena akanambia yupo bize nikamwambia nina maongezi nae kidogo akakubali, bs nikaamua nimdanganye nikamwambi"wiki mbili zimepita kuna mtu alinambia kuwa kaolewa" eh ehe mdau mwenzangu, dem akajibu kwa kifupi ndio nikamuuliza ni kweri akasema ndio nikampongeza akajibu ahsante

HAPO SIJAMALIZA ILA KIUFUPI NILIUMIA SANA NA NIKAENDELEZEA KUMTUMIA TXT ZA KUMLAUM TAKRIBANI MIEZI MIWILI BILA RESPOND MPAKA NIKAPOTEZA MATUMAINI SIVI NIMETULIA NA NIMESHAANZA KUMSAHAU JAPO HUU MKASA NI WA MIEZI MIWILI ILIYOPITA

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
 
Pole sana Mkuu, (1.) vipi amekutafuta mpaka sasa? (2.) Kabla ya safari yake hii mpaka amekutaarifu kuwa anakuja uende kumpokea, je dalili za migogoro ilishaanza na kupelekea taa nyekundu kuwaka katika mahusiano yenu?

1 amenitafuta amesema alifika usiku sn akapitiliza kwao 2 alitaarifu siku moja labla na alipopanda bas alinitaarifu na alipokaribia alinitaarifu kabla ya cm kuanza kutumika muda mrefu na kujikuta niko blocked 3 sidgan kama kuna ugomvi wa mtu kupotelea kusikojulikana ndio maana no 2 alikuwa ananipa notificatipn
 
Mkasa wangu ni tofauti kidogo na wako ila ktk mawasiliano kwa njia ya simu yaan ni huo huo mchezo ngoja tu nisimulie mwishoni pekee

Tokea alipo hama mtaa huu niliopo mawasiliano kwa njia ya simu yalikuwa magumu sana, bs mwishoni nikatumia kila njia nijue nn kimya chake, nilisajili laini mpya nikaweka salio nikampa rafiki yangu sim awasiliane nae, mawasiliano yalikuwa ya dk 5 ila majibu aliyompa yalitushtua alikuwa hafahamu anawasiliana na nani lakin akamwambia tayari walishamtolea posa hata huyo rafiki yang hakumuuliza swali juu ya kuolewa lakin atoa hayo maneno bs nilikesha aiseee. Ila ilipofika hasubui nikawa nimetulia nikaendelea kumtumia txt lkn majibu hayarudi bs baada ya siku mbili nikamtxt kuwa kama tayari ashaganisaliti bs mie nimekubali na kama kaolewa mi nishagakubali wamchukue ndo aliponijibu ety 7bu ya kutojibu txt zangu sizipumzishi[emoji849] ety namtumia txt nying mpk anashindwa kuzijibu. Wakat katik akili yng nilikuwa nakumbuka kuwa sikuwa ktk hali hiyo hapo mwanzo na kumtumia txt nyng ni kwamba nilikuwa nina hofu nae. Bs akanambia niwe namtumia txt za kuwa ninamjulia hali na akanipa mfano et kama "kama umeshindaje" bs na mm nikawa nafanya lkn majibu yalikuwa hayarudi lkn nikaona nisipaniki kwanza baada ya 1 week nikamtxt usiku nikamuuliza lini atakuja kwangu akajibu tatzo nauli bahati mbaya sim ikawa ndo inaisha chaji na umeme luku imekwisha, kutokana ninaishi nyumba za kupanga na umeme unabidi uchangiwe wapangaji wenzangu wakanizengua nikaweka umeme mwenyewe ili nichaji sim nimjibu, baada ya kuchaji simu nikamtxt nimtumie nauli? Msg ilipokelewa lkn majibu hayakurudi, bs hasubui nikamtafta tena akanambia yupo bize nikamwambia nina maongezi nae kidogo akakubali, bs nikaamua nimdanganye nikamwambi"wiki mbili zimepita kuna mtu alinambia kuwa kaolewa" eh ehe mdau mwenzangu, dem akajibu kwa kifupi ndio nikamuuliza ni kweri akasema ndio nikampongeza akajibu ahsante

HAPO SIJAMALIZA ILA KIUFUPI NILIUMIA SANA NA NIKAENDELEZEA KUMTUMIA TXT ZA KUMLAUM TAKRIBANI MIEZI MIWILI BILA RESPOND MPAKA NIKAPOTEZA MATUMAINI SIVI NIMETULIA NA NIMESHAANZA KUMSAHAU JAPO HUU MKASA NI WA MIEZI MIWILI ILIYOPITA

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app

Daaaa pole sana kaka kweli ukiona lako zito angalia kwa wenzako
 
Nachokushauri achia kumtafuta huyo, asipokutafta bs we baki unajua txt kapokea umempigia hapokei sim na kwa kweri anaujua kuwa unamtafta. We kaa kimya, tulia ujionee matokeo

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
 
1 amenitafuta amesema alifika usiku sn akapitiliza kwao 2 alitaarifu siku moja labla na alipopanda bas alinitaarifu na alipokaribia alinitaarifu kabla ya cm kuanza kutumika muda mrefu na kujikuta niko blocked 3 sidgan kama kuna ugomvi wa mtu kupotelea kusikojulikana ndio maana no 2 alikuwa ananipa notificatipn
Ulimuuliza kuhusu simu yake kutumika muda mrefu? Kuhusu pia ulivyompigia kwenye namba ingine hakupokea? Mwisho kama cm yake ilizima why hakutafuta namna ingine ya kukujulisha kwa usiku huo ikiwa anajua ulienda kumpokea?
 
Back
Top Bottom