Mimi ni huyo
Senior Member
- Jun 15, 2020
- 103
- 84
- Thread starter
- #121
Moyo wangu ni wa kijilipua. Akinipiga block nami nampiga block.... afu nafanya kila niwezalo nambandua shosti yake, na nahakikisha kabisa anajua.
Afu maisha yanasonga mbele...
Mm nadhan naweza enda mbali zaidi hata kwa mamake mzaz aiseee