Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Imeisha hiyo chief,
Jiongeze.
Jiongeze.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko sahihi sana kipenzi changu lkn tumetofautiana sana, wengine akibaki nalo anakufa bora ateme nyongo apone[emoji3][emoji3]Mkuu kuna matatizo yakikukuta mtu yanaitaji ujasiri kumuomba sana Mungu kwamba tatizo limeshanikuta na nitapambana nalo kivyovyote vile bila kunichanganya akili yangu
Ni sawa kwa upande wangu kwenye mahusiano ni bora mtu aniache yeye nakuwa na amani Moyo wangu unaona hauna atia nitaumia kwa mda na nikisau huwa sikumbuki kama niliwahi kuwa na fulani kimbembe nikiachaUko sahihi sana kipenzi changu lkn tumetofautiana sana, wengine akibaki nalo anakufa bora ateme nyongo apone
Silaha pesa mjini tafuta pesa ukojoe pazuri.Kweli ila sasa nachojiuliza kuna haja ya kusubir maelekezo yake
Vipi tena, mbona unaanza kutoa ushauri kwa mambo mepesi?Ulimuuliza mhusika why katenda hayo
Kwanini unahisi amekublock na unasalitiwa? HumuaminiWadau nina demu wangu tuna kama miez 6 sasa alisafiri kwenda mkoa kikazi! Siku moja kabla ya kuja mjini alinipa taarifa kuwa anakuja na kuniomba nimfate stend nikampokee.
Nimeona ni bora nitoe ushauri jamaa kagoma kula je akifa si nitakuwa na hatia babu ya Kujibu 😀Vipi tena, mbona unaanza kutoa ushauri kwa mambo mepesi?
Kuna wazembe wengine wakifa ni faida kwa taifaNimeona ni bora nitoe ushauri jamaa kagoma kula je akiwa si nitakuwa na hatia babu ya Kujibu 😀
[emoji3][emoji3]Mkuu kuna matatizo yakikukuta mtu yanaitaji ujasiri kumuomba sana Mungu kwamba tatizo limeshanikuta na nitapambana nalo kivyovyote vile bila kunichanganya akili yangu
Imeisha hiyo chief,
Jiongeze.
Usimjibu hiyo SMS na wala usimpigie akikupigia msikilize hadi mwisho usichangie kitu chochoteAmenitext this morn anasema alichelewa sn kufika akaona aende kulala tu kwake na cm ilizima wakat cm ilikuwa inapatikana na alikuwa ameniblock jaman
Kwanini unahisi amekublock na unasalitiwa? Humuamini
Uko sahihi sana kipenzi changu lkn tumetofautiana sana, wengine akibaki nalo anakufa bora ateme nyongo apone
Usimjibu hiyo SMS na wala usimpigie akikupigia msikilize hadi mwisho usichangie kitu chochote
Nimeona ni bora nitoe ushauri jamaa kagoma kula je akiwa si nitakuwa na hatia babu ya Kujibu [emoji3]
Pole sanaAkina sisi
Pole sana
How old are you, son?Amenitext this morn anasema alichelewa sn kufika akaona aende kulala tu kwake na cm ilizima wakat cm ilikuwa inapatikana na alikuwa ameniblock jaman
Angekusaidia zaidi kama angechukua nafasi ya huyo bebi wako mzinzi...Umenisaidia sn ww ujui tu