Hivi hapa nina haja ya kuendelea na mahusiano au nijiongeze

Hivi hapa nina haja ya kuendelea na mahusiano au nijiongeze

Mkuu mimi kuna kitoto nilikipanga day flani, wakati kinakuja mida ta saa nne asubuhi nilikuwa getini nakisubiri. Kilipofika kikasema nisubiri nakuja saiv, nikajua kinaenda shop.

Bro kilirudi jioni, me sikumind wala nini. Nilikiuliza kikasema nilirudi jioni sikukukuta getini. Nikacheka sana.

Yaan hawa ndo wanasababisha wenzao tuwahukumu kwa makosa yasio yao
 
Kwani mkuu huna demu mwingine? Kijana mwenzangu unategemea demu mmoja tena kaenda kikazi mkoa mwingine, daah pole.

Tafuta mbunye za kutosha mkuu. Maisha ndo haya haya na hivi viumbe kama visipopewa chanjo ya uviko 19 vitaendelea kusumbua sana

Yaan hapa najiuliza nikapihe ban au ningoje kukuche nikasikilize hadithi zake za sungura na fisi
 
Hapana aisee nilimuacha mrembo mmoja tulipendana sana. Mapenzi ya mbali ni mtihani basi akajiongeza kupunguza ugwadu 😂😂😂 huyu nilijua ni mke wangu lakini nilibanwa na kazi kama miezi minane mfululizo niko mikoani na pesa ilikuwa nzuri sana. Na ajira ndiyo iliyoniwezesha nijidai mujini na kutembea KIFUA MBERE 😂😂 tena kwa mikogo lol! Nilikuwa nimeshanuia kufanya mke yule. Hasira zangu zilipoisha tukabaki kuwa marafiki. Nilimuonea huruma sana lakini samahani zake zote zikagonga mwamba.
Wewe unaweza ujasiri huo mpendwa pamoja na kuachwa Stend 😀
 
Hio sehem unayohisi sio salama, kwake ni salama na ana enjoy sana.
IMG_20210810_225843_606.jpg
 
Hapana aisee nilimuacha mrembo mmoja tulipendana sana. Mapenzi ya mbali ni mtihani basi akajiongeza kupunguza ugwadu [emoji23][emoji23][emoji23] huyu nilijua ni mke wangu lakini nilibanwa na kazi kama miezi minane mfululizo niko mikoani na pesa ilikuwa nzuri sana. Na ajira ndiyo iliyoniwezesha nijidai mujini na kutembea KIFUA MBERE [emoji23][emoji23] tena kwa mikogo lol! Nilikuwa nimeshanuia kufanya mke yule. Hasira zangu zilipoisha tukabaki kuwa marafiki. Nilimuonea huruma sana lakini samahani zake zote zikagonga mwamba.

Hawa viumbe jaman
 
  • Kicheko
Reactions: BAK
Saizi anapigwa ile style yake pendwa[emoji23][emoji23]

Hana kasoro yoyote ikusaidie kupunguza machungu? Mimi demu akinizingua huwa nakumbuka kasoro yake alafu najisemea moyoni "demu mwenyewe ana kovu" aende zake.....inasaidia kupunguza machungu

Hahahahha mkuu umenikumbusha hadithi ya sungura sizitaki mbichi hizi
 
Kweli japo inauma nachojiuliza why aliniambia sasa anakuja wakat hata angekuja kimya nisingejua

Pole sana amepokelewa na anaempenda zaidi. Msubiri amalize mambo yake atakuchek. Wakati unamsubiri waweza tafakari na kuamua maamuzi ya huo uhusiano.
 
Pole sana amepokelewa na anaempenda zaidi. Msubiri amalize mambo yake atakuchek. Wakati unamsubiri waweza tafakari na kuamua maamuzi ya huo uhusiano.

Ebu jiweke ww sehemu yangu alafu toa maamuz ndugu maana mm akili imestack
 
Back
Top Bottom