Benaya-
JF-Expert Member
- Jul 31, 2019
- 4,415
- 7,631
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ifike wakati watu muombe ushauri kwa mambo mazito
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ifike wakati watu muombe ushauri kwa mambo mazito
Kumbe umo na wwAcha kumfikilia kuanzia sasa kitendo cha kumsumbua kumpigia simu unampa kichwa huko aliko aone bila yeye wewe si lolote
Kashakuona fala .wewe jipange kivingineTuna almost miez sita na tumeahare baadhi ya vitu like sex nk
Piga chini mapema huna demu hapo
Jikaze kiume utaumia siku 2 tu au 3 utamsahau. na usigeuke nyuma hakufai huyo mkiendelea mtakuja kuchomana visuNi kweli mkuu inabidi kuchukua maamuz magumu
NakaziaIfike wakati watu muombe ushauri kwa mambo mazito
Ila Nawe Una Shida Sana Kwenye Hii NchiTuna almost miez sita na tumeahare baadhi ya vitu like sex nk
Jikaze kiume utaumia siku 2 tu au 3 utamsahau. na usigeuke nyuma hakufai huyo mkiendelea mtakuja kuchomana visu
Uzito wa jambo unategemeana na uzoefu wq mtu katika kimkutacho, uwezo wa kufikiria na hisia juu ya jambo hilo...Ifike wakati watu muombe ushauri kwa mambo mazito
Ila Nawe Una Shida Sana Kwenye Hii Nchi
Unalialia Mno Hayo Unayoongea Hayana Uzito
Uzito wa jambo unategemeana na uzoefu wq mtu katika kimkutacho, uwezo wa kufikiria na hisia juu ya jambo hilo...
Mshauri tu mdau, utapata thawabu zako huko mbele mbele
Usiamini MtuNafikiri mm kwenye hisia ndio tatizo langu lilipoanzia nilimwamini sana
Usiamini Mtu
Tunaweka Cash Banks Kwa Imani Na Bado Tunaibiwa Daily
Usimtafute kuanzia sasa na endapo atakutafuta msikikize atakachokiongea halafu mpuuze,fanya kama hakuna kilichotokea huku ukujipa muda zaidi wa kufanya maamuzi sahihi.Kiukweli huyo mpenzi wako kuna anayempenda zaidi kaja kumpokea na ndiyo Yuko nae akishamalizana nae atakupigia na blah blah nyingiii.
Nimo wapi mkuu😀Kumbe umo na ww