Hivi hapa nina haja ya kuendelea na mahusiano au nijiongeze

Mkuu kuna kuibiwa simu, ajali n.k

Acha kuwaza - ve,,, ulichukua simu ya mtu mwingine ujaribu kumpigia uone kama amekublock.!?

Infact,,, Mapenzi ni ufalla sana.
 
Mkuu kuna kuibiwa simu, ajali n.k

Acha kuwaza - ve,,, ulichukua simu ya mtu mwingine ujaribu kumpigia uone kama amekublock.!?

Infact,,, Mapenzi ni ufalla sana.

Yah nilifanya ikawa inapatikana fresh tu
 
Jibu unalo ..
Unaomba ushauri wa nini?
Ni mpenzi wako kweli au sex partner tu?

Vijana wengi hamjui hata mpenzi ndo yupi
Na fukc buddy yupi..
We unasema huyu mke, mwenzio hata hajui..
Mwamba anahitaji faraja tu Boss [emoji23][emoji23]
 
 
Jibu unalo ..
Unaomba ushauri wa nini?
Ni mpenzi wako kweli au sex partner tu?

Vijana wengi hamjui hata mpenzi ndo yupi
Na fukc buddy yupi..
We unasema huyu mke, mwenzio hata hajui..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…