Xi Jinping
JF-Expert Member
- Jun 14, 2023
- 3,651
- 11,548
Hakina ushawishikuna kile kipindi cha magari kutoka kwa mtalamu wa NIT nafikiri
HahahahaILA ITV CAMERA ZAO HATA SIMU YANGU C30 INAWAZIDI KWAKWEL, HASA WAKIWA LIVE UTACHOKA, CHUPA YA MAJI HUON MAANDISH SASA HIYO CAMERA AU KIOO
Hawavumi lakini wamo
#Kula chuma hicho#
ILA ITV CAMERA ZAO HATA SIMU YANGU C30 INAWAZIDI KWAKWEL, HASA WAKIWA LIVE UTACHOKA, CHUPA YA MAJI HUON MAANDISH SASA HIYO CAMERA AU KIOO
Ni ajabu kwakweli maana kizazi kipya kinadhani ITV ni channel ya taarifa ya habari.
Yaani kizazi kipya kinajua ITV ni channel inayowashwa saa 2 kamili na kuzimwa saa 2½😁
Kwenye camera hapo wamegoma kabisa kubadilika, hata EATV ni hivyo hivyo...kuna kipindi nilikuwa napenda kufatilia FNL, ile zile picha zinakata sana mood!ILA ITV CAMERA ZAO HATA SIMU YANGU C30 INAWAZIDI KWAKWEL, HASA WAKIWA LIVE UTACHOKA, CHUPA YA MAJI HUON MAANDISH SASA HIYO CAMERA AU KIOO
Kwenye camera hapo wamegoma kabisa kubadilika, hata EATV ni hivyo hivyo...kuna kipindi nilikuwa napenda kufatilia FNL, ile zile picha zinakata sana mood!