Hivi hawa ITV ukiondoa taarifa ya habari, wana kipindi gani kingine cha maana?

Hivi hawa ITV ukiondoa taarifa ya habari, wana kipindi gani kingine cha maana?

Kuna kile kipindi mtangazaji anasema kula chuma hicho
 
Kuna kipindi wanakuwepo mtu anajiita Babu Haji na Bi Hatya Omary, kinatufaa sana sisi wengine huku swaziland
 
Kwa miongo kadhaa ITV kimekuwa kituo pendwa kwenye habari hasa habari yao ya saa 2 usiku.

Ijapokuwa siku hizi taarifa zao ni za uchawa sana, hatushangai hii ni moja ya legacy aliyoacha Magufuli kwenye media zote za Tanzania.

Turudi kwenye mada husika sioni ushawishi walio nao ITV kwenye vipindi vyao vingine vyote vilivyobaki labda kidogo malumbano ya hoja.

Ila cha ajabu wanajiita Superbrand.
Hawavumi lakini wamo.

Kivumbi leo
 
Kwa miongo kadhaa ITV kimekuwa kituo pendwa kwenye habari hasa habari yao ya saa 2 usiku.

Ijapokuwa siku hizi taarifa zao ni za uchawa sana, hatushangai hii ni moja ya legacy aliyoacha Magufuli kwenye media zote za Tanzania.

Turudi kwenye mada husika sioni ushawishi walio nao ITV kwenye vipindi vyao vingine vyote vilivyobaki labda kidogo malumbano ya hoja.

Ila cha ajabu wanajiita Superbrand.
Taarifa ya habari kwenye yale makamamera ya 1948 , taarifa ya habari inakatwa kutangazwa kamali hakuna kitu cha maana itv


USSR
 
Kwa miongo kadhaa ITV kimekuwa kituo pendwa kwenye habari hasa habari yao ya saa 2 usiku.

Ijapokuwa siku hizi taarifa zao ni za uchawa sana, hatushangai hii ni moja ya legacy aliyoacha Magufuli kwenye media zote za Tanzania.

Turudi kwenye mada husika sioni ushawishi walio nao ITV kwenye vipindi vyao vingine vyote vilivyobaki labda kidogo malumbano ya hoja.

Ila cha ajabu wanajiita Superbrand.
Kula chuma iko😂
 
Kuna tuamke asubuhi,michezo,jagina,mvalo,habari za saa,Al Jazeera,meza huru ,mapishi,na chetu ni chetu
 
Hivi ITV bado ipo?

Ukweli niuseme nilishasahau kama hicho kituo bado kipo, yaani simu ni kila kitu kuhusu habari nk.
Bado wapo ila wamepoteana kuna downfall kubwa sana
 
Back
Top Bottom