Hivi hawa ITV ukiondoa taarifa ya habari, wana kipindi gani kingine cha maana?

Hivi hawa ITV ukiondoa taarifa ya habari, wana kipindi gani kingine cha maana?

Sio ITV tu, Televisheni zote huwa hazina vitu vya maana, hata hiyo taarifa ya habari ni upuuzi mtupu. Ndio maana wauza magari ya kifahari huwezi kuta wanatangaza kwa TV maana wanajua watu timamu hawaangalii TV.

Hivi unanipa taarifa ya gari kupinduka inanisaidia nini, kuna magari mangapi yamepinduka, taarifa za muhimu ni taarifa za ikulu tu kwenye gazeti la serilkali basi.
 
Sio ITV tu, Televisheni zote huwa hazina vitu vya maana, hata hiyo taarifa ya habari ni upuuzi mtupu. Ndio maana wauza magari ya kifahari huwezi kuta wanatangaza kwa TV maana wanajua watu timamu hawaangalii TV.

Hivi unanipa taarifa ya gari kupinduka inanisaidia nini, kuna magari mangapi yamepinduka, taarifa za muhimu ni taarifa za ikulu tu kwenye gazeti la serilkali basi.
Umesema vyema
 
Kwa miongo kadhaa ITV kimekuwa kituo pendwa kwenye habari hasa habari yao ya saa 2 usiku.

Ijapokuwa siku hizi taarifa zao ni za uchawa sana, hatushangai hii ni moja ya legacy aliyoacha Magufuli kwenye media zote za Tanzania.

Turudi kwenye mada husika sioni ushawishi walio nao ITV kwenye vipindi vyao vingine vyote vilivyobaki labda kidogo malumbano ya hoja.

Ila cha ajabu wanajiita Superbrand.
Wapo kawaida tu hakuna ushawishi
 
Nadhani sio bongo tu, content za TV zinaenda kupitwa na wakati. Labda live coverages, breaking news ila mambo ya taarifa za habari...za nini wakati nazipata kupitia social networks.
Sawa mtaalamu nakubaliana nawe
 
Hawana cha kujifunza kweli kutoka kwenye TV zingine duniani hata kuiga
Kuna vipindi vingi tunavyoviona duniani na unaweza kuangalia siku nzima
Ila hawa wa kwetu daa
 
Kwa miongo kadhaa ITV kimekuwa kituo pendwa kwenye habari hasa habari yao ya saa 2 usiku.

Ijapokuwa siku hizi taarifa zao ni za uchawa sana, hatushangai hii ni moja ya legacy aliyoacha Magufuli kwenye media zote za Tanzania.

Turudi kwenye mada husika sioni ushawishi walio nao ITV kwenye vipindi vyao vingine vyote vilivyobaki labda kidogo malumbano ya hoja.

Ila cha ajabu wanajiita Superbrand.
Mimi ITV, ninamtafutaga

Farhia Middle tu.​

 
Back
Top Bottom