Hivi hawa ITV ukiondoa taarifa ya habari, wana kipindi gani kingine cha maana?

Hivi hawa ITV ukiondoa taarifa ya habari, wana kipindi gani kingine cha maana?

Kwa miongo kadhaa ITV kimekuwa kituo pendwa kwenye habari hasa habari yao ya saa 2 usiku.

Ijapokuwa siku hizi taarifa zao ni za uchawa sana, hatushangai hii ni moja ya legacy aliyoacha Magufuli kwenye media zote za Tanzania.

Turudi kwenye mada husika sioni ushawishi walio nao ITV kwenye vipindi vyao vingine vyote vilivyobaki labda kidogo malumbano ya hoja.

Ila cha ajabu wanajiita Superbrand.
Hata ripoti maalumu mkuu sio kipindi cha maana??
 
Ni Tv gani ya bongo yenye kipindi Cha maana? Hawa azm ukitoa mpira ambao sio wote wanaoupenda Wana kipindi gani?
 
Tv za bongo zote vpnd vyao ni takataka tu uchafu na uchawa hakuna wanachojua kingne mi najiangaliziaga tv za dini tu
 
Wako wapi na Anna Mallya na Mapishi Sande Temba ,Kitu Chetu Sande Temba.

Jungu Kuu.

Meza Huru.

Malumbao ya Hoja

Kipima Joto.
 
Kwa miongo kadhaa ITV kimekuwa kituo pendwa kwenye habari hasa habari yao ya saa 2 usiku.

Ijapokuwa siku hizi taarifa zao ni za uchawa sana, hatushangai hii ni moja ya legacy aliyoacha Magufuli kwenye media zote za Tanzania.

Turudi kwenye mada husika sioni ushawishi walio nao ITV kwenye vipindi vyao vingine vyote vilivyobaki labda kidogo malumbano ya hoja.

Ila cha ajabu wanajiita Superbrand.
Si ndiyo vituo vyenu vya Tanzania vilivyo jamani?! Tutazame ni wapi kwingine ambako wana cha maana ukiondoa kimojawapo?

Azam Media katika channels zao zote nane walizonazo, ukiondoa mechi za ligi kuu ya Tanzania Bara kuna nini kingine cha maana?

Vipindi bora nI uwekezaji mkubwa, jambo ambalo vituo vya hapo nyumbani havioni umuhimu wa uwekezaji mkubwa kwa vipindi.

Ova
 
Kipindi Cha maana kilikua kile dk 45 wakati kipo live Na Emmanuel Buholela kabla haja sogea white house. Siku hizi yupo Farkia anauliza leading questions 😏😏 Upumbavu mtupu
Taarifa yao ya habari haina habari za kimataifa hasa mbelembele
 
Back
Top Bottom