Hivi hawa ITV ukiondoa taarifa ya habari, wana kipindi gani kingine cha maana?

Media za GenZ ni worse kuliko hiyo ITV, labda kwa hao GenZ wenyewe, ila hakuna content yoyote ya maana toka kwa GenZ, labda wewe uniambie ni media ipi a GenZ ina content za kueleweka.
 
Mabadiliko ya teknolojia yamechangia kwa sehemu kubwa sana Kwa hizi local Chanel kukosa mvuto.Miaka ya nyuma Ili kuangalia maigizo ,nyimbo,vipindi vya wanyama unapangiwa vipindi na wao sasa kuna YouTube,tweeter, Facebook mazagazaga kibao Nani kwenye time na hayo mambo ya kufuatilia local channel na wakati kuna mbadala labda Kwa watu wasiokua na mbadala.
 
Media za GenZ ni worse kuliko hiyo ITV, labda kwa hao GenZ wenyewe, ila hakuna content yoyote ya maana toka kwa GenZ, labda wewe uniambie ni media ipi a GenZ ina content za kueleweka.
Nini Regina Mengi afanye kuinusuru ITV?
 
Mna ijua chanel ten nyie ..kila nikifungua namkuta yule bwana wa dr majini
 
Ni ajabu kwakweli maana kizazi kipya kinadhani ITV ni channel ya taarifa ya habari.

Yaani kizazi kipya kinajua ITV ni channel inayowashwa saa 2 kamili na kuzimwa saa 2½😁
🤣🤣🤣 nakumbuka kuna siku moja tukiwa tunaangalia ITV wakaonyesha wimbo wa Bongo flaver, ndg yangu alishangaa huku akisema toka lini ITV wakaonyesha muziki alishangaa saana🤣🤣🤣
 
ITV ilikuwa zamani bhana, kila ikifika j mosi watu tunakusanyika kuangalia tamthilia kutoka kaore,mambo hayo,kidedea yaani tulikua hatubanduki ila kwasasa watu vichwa vya moto sana hata hayo maigizo hawafutilii tena
 
Media za GenZ ni worse kuliko hiyo ITV, labda kwa hao GenZ wenyewe, ila hakuna content yoyote ya maana toka kwa GenZ, labda wewe uniambie ni media ipi a GenZ ina content za kueleweka.
Kuna kitu hujanielewa na hautaweza kunielewa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…