Hivi hawa mwaka 2040 Arusha ndo watakuwa wazee kwa vijana wao. "wazee wengi wa hovyo"

Bolotoba

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2024
Posts
3,424
Reaction score
7,706
Kimsingi Ata sisi tumepitia ujana kwenda club, fashion za kisela, kutoka na wachumba tofauti, kudag, kula bitches nk

Lakini si huu usela wa hawa vijana wa Arusha.

Asee watoto wanaozaliwa miaka hii huko arusha Dah si utakuaje nilikua nawaheshimu sana watu wa uchagani Ila kuna dizaini credit zimepungua🤣🙄dub
 
Hao ni wazee kwa watoto ambao wajazaliwa sasahivi hao wa watoto wakishazaliwa na kuwa na uelewa wa kuwaona wazee basi uwo uhovyo unaouona wewe hawatakuwanao tena. Hii inamaana hata hao wazeewa sasahivi ambao kwako wazee kipindi wewe hujazaliwa walikuwa wa hovyo tu.

Hii ni sawa na hawa wanawake ambao sasahivi tunawaona wa hovyo tunawaita chura, malaya nk watoto wao ambao wanawazaa sasahivi baadae watawaita Mamazetu na majina kibao ya praise.
 
Tatizo watu huku nje wanadhani arusha yote vijana wako hivyo, hapana. Hao ni vikundi vichache sana. Most of them ni cool guys hawavai au ku behave hivyo
 
Duh ni wapy lakini mzazi arusha inamatukio mpka basi mara mtu "watu wamenunua maiti wakazika" muhusika kapotezwa kafanywa zezeta ili wauze shamba
Tatizo watu huku nje wanadhani arusha yote vijana wako hivyo, hapana. Hao ni vikundi vichache sana. Most of them ni cool guys hawavai au ku behave hivyo
 
🤣Is it funny or?? Kwa unavoona
 
Naamini apo Mchaga hata mmoja..
 
Duh ni wapy lakini mzazi arusha inamatukio mpka basi mara mtu "watu wamenunua maiti wakazika" muhusika kapotezwa kafanywa zezeta ili wauze shamba
Arusha nzima ina vijana waliotulia wapo, ofcourse kila mahali kuna watu wa style hiyo but haimaanishi vijana wote ni wako hivyo, as mm nilieishi hapo wakati natafuta maisha, hao jamaa wako kidogo sana, ila wanakuzwa ionekane kwamba arusha nzima iko hivyo
 
Lakini unazungumziaje mauaji yanayotokea arusha visa mbali mbali ke kwa me
 
Mabangi na tatizo la Afya ya akili. Hakuna mtu mwenye akili timamu atakuwa hivi.
 
Ni wagologojo tu, hao vijana wanajiona wajanja wakati ni washamba wahed.
Na ukute wote wanakaa kwao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…