Hivi hawa mwaka 2040 Arusha ndo watakuwa wazee kwa vijana wao. "wazee wengi wa hovyo"

Hivi hawa mwaka 2040 Arusha ndo watakuwa wazee kwa vijana wao. "wazee wengi wa hovyo"

Lakini ni wakaazi wa mji wa Arusha. 99% ya wakazi wa Arusha ni wazaliwa wa Mkoa wa Kilimanjaro, Mfano Godbless Lema; Mrisho Gambo

Sio kweli, 99% 🤣🤣🤣 sema tu Waarusha, Wachagga, na Wameru ni ngumu kuwatofautisha kwsbb kuna relationship kubwa sana....na Intermarriage imekuwepo tangu karne nyingi nyuma

Kuna Mchagga anazaliwa Njiro, Sakina au Kijenge na kukulia hapo kwa miaka yake yote hata kichaga hakijui, lugha ya kwanza Kiswahili, ya pili Kiingereza n.k

So Intermarriage ni kubwa since &since
 
Sio kweli, 99% 🤣🤣🤣 sema tu Waarusha, Wachagga, na Wameru ni ngumu kuwatofautisha kwsbb kuna relationship kubwa sana....na Intermarriage imekuwepo tangu karne nyingi nyuma

Kuna Mchagga anazaliwa Njiro, Sakina au Kijenge na kukulia hapo kwa miaka yake yote hata kichaga hakijui, lugha ya kwanza Kiswahili, ya pili Kiingereza n.k

So Intermarriage ni kubwa since &since
99% wana damu ya kichagga na kipare. Hiyo ni fact. Arusha ni extension ya Moshi mjini
 
Kimsingi Ata sisi tumepitia ujana kwenda club, fashion za kisela, kutoka na wachumba tofauti, kudag, kula bitches nk

Lakini si huu usela wa hawa vijana wa Arusha.

Asee watoto wanaozaliwa miaka hii huko arusha Dah si utakuaje nilikua nawaheshimu sana watu wa uchagani Ila kuna dizaini credit zimepungua🤣🙄dub
Hao ndio wadungunyu
 
Kimsingi Ata sisi tumepitia ujana kwenda club, fashion za kisela, kutoka na wachumba tofauti, kudag, kula bitches nk

Lakini si huu usela wa hawa vijana wa Arusha.

Asee watoto wanaozaliwa miaka hii huko arusha Dah si utakuaje nilikua nawaheshimu sana watu wa uchagani Ila kuna dizaini credit zimepungua🤣🙄dub
Watu wa chuga 🙌🙌
 
Kimsingi Ata sisi tumepitia ujana kwenda club, fashion za kisela, kutoka na wachumba tofauti, kudag, kula bitches nk

Lakini si huu usela wa hawa vijana wa Arusha.

Asee watoto wanaozaliwa miaka hii huko arusha Dah si utakuaje nilikua nawaheshimu sana watu wa uchagani Ila kuna dizaini credit zimepungua🤣🙄dub
Nenda kakae arusha hata mwezi mmoja tu utabadilisha mawazo kuhusu arusha uliyonayo kichwani kwako kama ambavyo watz wengi wanaiona kama hicho kikundi cha wasanii wanaojiita wadudu
Arusha ingekua inatisha hivyo isingekua inafurika watalii kila kukicha wa ndani na nje ya nchi
Watu wa arusha kiasili ni wakarimu na wanaexposure na wageni
 

Fahamu Mikoa inayoongoza kwa matukio ya Ukatili​




Jumanne , 8th Dec , 2020
Na Mwandishi wetu
Ukatili wa kijinsia umetajwa kuwa chanzo cha Serikali kupoteza fedha nyingi katika kuhudumia wahanga pamoja na kuendesha kesi hizo nchini, hali inayo kwamisha baadhi ya huduma kutokana na pesa hizo kupotea huko.



MAMA%20MAKINDA.jpg


Hayo yameelezwa na Spika wa Bunge Mstaafu, Anna Makinda, wakati akizungumza katika maadhimisho ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia pamoja na maadhimisho ya miaka 25 ya Beijing leo Desemba 8, 2020 Jijini Dar es Salaam.
Akitoa takwimu za matukio ya ukatili nchini amesema kuwa, kwaa mujibu wa takwimu zilizotolewa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu mwaka 2015-2016 unaonesha kuwa asilimia 40 ya wanawake wenye umri wa kuanzia miaka 15 hadi 49 wameshafanyiwa vitendo vya ukatili wa kupigwa au kingono katika maisha yao.
Kama tunavyopambana katika mambo mengine, tuandae pia kizazi chenye kuleta mapinduzi ya kijinsia ili Ukatili wa kijinsia uwe historia Tanzania na Duniani, Takwimu hizo pia zilionesha mikoa inayoongoza kwa matukio ya ukatili wa kijinsia ni, Kagera, Mara, Mwanza na Kigoma”, amesema Makinda.
Akizungumzia miaka 25 ya Beijing pamoja na hali ya matukio ya ukatili Tanzania, Mkurugenzi Mtendaji wa TGNP Mtandao, Lilian Liundi amesema kuwa Watanzania wanatakiwa kuongeza nguvu katika kukabiliana na ukatili wa kijinsia.
We mzee Ebu leta twakimu za mwaka huu acha ujanja ujanja bring currently evidence four years mzee??
 
Unabifu na kanda ya ziwa bring authorized (documentation) to prove what statistics
Mikoa inayongoza kwa ukatilo
na idadi ya matukio
Dar es Salaam - 13,719
Shinyanga - 12,300
Mara - 9,823
Mwanza - 9,242
Geita - 7,697
Kigoma - 7,544
Kagera - 7496
Tabora - 7,471
Ruvuma - 7,425
Tanga - 6,827

Chanzo: Wizara ya Afy
 
Hao ni wazee kwa watoto ambao wajazaliwa sasahivi hao wa watoto wakishazaliwa na kuwa na uelewa wa kuwaona wazee basi uwo uhovyo unaouona wewe hawatakuwanao tena. Hii inamaana hata hao wazeewa sasahivi ambao kwako wazee kipindi wewe hujazaliwa walikuwa wa hovyo tu.

Hii ni sawa na hawa wanawake ambao sasahivi tunawaona wa hovyo tunawaita chura, malaya nk watoto wao ambao wanawazaa sasahivi baadae watawaita Mamazetu na majina kibao ya praise.
Pure crystal cut Philosophy.

Human nature in clean short details, the only thing missing are the after effects, main concern ya mleta mada.
 
Nilichoona,wanaoinjoy life la arusha ni wanaume kuanzia miaka 40+,hao kwenye picha hata kwenye maclub huwa hawafik
 
We mzee Ebu leta twakimu za mwaka huu acha ujanja ujanja bring currently evidence four years mzee??
Hapo unaona kabisa umeandika kiingereza 😄 🤣 😂 😆 acha chuki kama uliachwa na bwana wa Arusha usitusakame njoo tukuoe u enjoy mji wenye hali murua ya hewa na nyama za kimataifa
Arusha patamu sehem isio salama wazungu hawaendi
 
Unahamasisha ushoga budah
Hapo unaona kabisa umeandika kiingereza 😄 🤣 😂 😆 acha chuki kama uliachwa na bwana wa Arusha usitusakame njoo tukuoe u enjoy mji wenye hali murua ya hewa na nyama za kimataifa
Arusha patamu sehem isio salama wazungu hawaendi
 
Kuna yale majamaa yalitengeneza chapati kubwa duniani video iko YouTube yanahojiwa wa Mina Ali huku yaki tafuna ile michapati ya kimataifa.

yakaulizwa huwa mnacheza nyimbo gani? majamaa yakasema nyimbo yoyote tu hata taarifa ya habari, matangazo ya vifo wao wanacheza.
Hatari sana
 
Back
Top Bottom