ILAN RAMON
JF-Expert Member
- Sep 10, 2013
- 9,698
- 4,488
Hata kuwa wadudu sio dhambi ni comedy wacha vijana wachekesha alaf acha majungu na fitna Arusha iko ahee kuliko ziwani huko kasoro kwenye kuzaa zaa bila planUshamba sio dhambi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata kuwa wadudu sio dhambi ni comedy wacha vijana wachekesha alaf acha majungu na fitna Arusha iko ahee kuliko ziwani huko kasoro kwenye kuzaa zaa bila planUshamba sio dhambi
Nguruwe kamlishe Babu yako.Karibu kitimoto Abdu.
Hao majamaa ni content creators, wanafanya vituko mitandaoni kupata pesa
Nenda Arusha uone kama watu wanatembea na maviatu makubwa badala ya kufanya shughuli zao
Karibu mkuu na pole sanaMungu azidi kuniweka, maana ningepitwa na mengi sana aiseeee...🤨
Asante sanaKaribu mkuu na pole sana
Maendeleo ya afya vipi??Mungu azidi kuniweka, maana ningepitwa na mengi sana aiseeee
Nashkuru Mungu napata nafuu sanaMaendeleo ya afya vipi??
Ni wasanii wa muziki?Kimsingi Ata sisi tumepitia ujana kwenda club, fashion za kisela, kutoka na wachumba tofauti, kudag, kula bitches nk
Lakini si huu usela wa hawa vijana wa Arusha.
Asee watoto wanaozaliwa miaka hii huko arusha Dah si utakuaje nilikua nawaheshimu sana watu wa uchagani Ila kuna dizaini credit zimepungua🤣🙄dub
HapanaNi wasanii wa muziki?
Ni kikundi cha nini hasa?Hapana
Arusha sio uchagani ila moshi ndo uchaganiKimsingi Ata sisi tumepitia ujana kwenda club, fashion za kisela, kutoka na wachumba tofauti, kudag, kula bitches nk
Lakini si huu usela wa hawa vijana wa Arusha.
Asee watoto wanaozaliwa miaka hii huko arusha Dah si utakuaje nilikua nawaheshimu sana watu wa uchagani Ila kuna dizaini credit zimepungua🤣🙄dub
Miaka 10 ijayo ukiwakuta hawa ni mijitu na hekima zao huwezi amini.Kimsingi Ata sisi tumepitia ujana kwenda club, fashion za kisela, kutoka na wachumba tofauti, kudag, kula bitches nk
Lakini si huu usela wa hawa vijana wa Arusha.
Asee watoto wanaozaliwa miaka hii huko arusha Dah si utakuaje nilikua nawaheshimu sana watu wa uchagani Ila kuna dizaini credit zimepungua🤣🙄dub
🤣Wakishtuka kumekuchaMiaka 10 ijayo ukiwakuta hawa ni mijitu na hekima zao huwezi amini.
Mbona we mwenyewe umechangia kipumbavu.?Vijana shupavu watabaki wa Kanda ya ziwa tu na ndiyo watakaokamata fursa hizo Kanda zingine upumbavu ndiyo wanaona ujanja
Wewe utakua mchaga mkuu🤣mbona povu kamanda anguMbona we mwenyewe umechangia kipumbavu.?