Hivi hawa mwaka 2040 Arusha ndo watakuwa wazee kwa vijana wao. "wazee wengi wa hovyo"

Hivi hawa mwaka 2040 Arusha ndo watakuwa wazee kwa vijana wao. "wazee wengi wa hovyo"

Mungu azidi kuniweka, maana ningepitwa na mengi sana aiseeee...🤨
 
Wadudu kwenye moja na mbili,, na serikali imeshatangaza "rasmi" kuwatambua kupitia sherehe za may mosi 2024 pale Sheikh Amri Abeid

We umia, gugumia, galagala, wherever. Wadudu for life
 
Kimsingi Ata sisi tumepitia ujana kwenda club, fashion za kisela, kutoka na wachumba tofauti, kudag, kula bitches nk

Lakini si huu usela wa hawa vijana wa Arusha.

Asee watoto wanaozaliwa miaka hii huko arusha Dah si utakuaje nilikua nawaheshimu sana watu wa uchagani Ila kuna dizaini credit zimepungua🤣🙄dub
Ni wasanii wa muziki?
 
Cannabis×3 normaly cure or conquer.
 
Kimsingi Ata sisi tumepitia ujana kwenda club, fashion za kisela, kutoka na wachumba tofauti, kudag, kula bitches nk

Lakini si huu usela wa hawa vijana wa Arusha.

Asee watoto wanaozaliwa miaka hii huko arusha Dah si utakuaje nilikua nawaheshimu sana watu wa uchagani Ila kuna dizaini credit zimepungua🤣🙄dub
Arusha sio uchagani ila moshi ndo uchagani
 
Kimsingi Ata sisi tumepitia ujana kwenda club, fashion za kisela, kutoka na wachumba tofauti, kudag, kula bitches nk

Lakini si huu usela wa hawa vijana wa Arusha.

Asee watoto wanaozaliwa miaka hii huko arusha Dah si utakuaje nilikua nawaheshimu sana watu wa uchagani Ila kuna dizaini credit zimepungua🤣🙄dub
Miaka 10 ijayo ukiwakuta hawa ni mijitu na hekima zao huwezi amini.
 
Back
Top Bottom