Hivi hawa mwaka 2040 Arusha ndo watakuwa wazee kwa vijana wao. "wazee wengi wa hovyo"

Lakini ni wakaazi wa mji wa Arusha. 99% ya wakazi wa Arusha ni wazaliwa wa Mkoa wa Kilimanjaro, Mfano Godbless Lema; Mrisho Gambo

Sio kweli, 99% 🀣🀣🀣 sema tu Waarusha, Wachagga, na Wameru ni ngumu kuwatofautisha kwsbb kuna relationship kubwa sana....na Intermarriage imekuwepo tangu karne nyingi nyuma

Kuna Mchagga anazaliwa Njiro, Sakina au Kijenge na kukulia hapo kwa miaka yake yote hata kichaga hakijui, lugha ya kwanza Kiswahili, ya pili Kiingereza n.k

So Intermarriage ni kubwa since &since
 
99% wana damu ya kichagga na kipare. Hiyo ni fact. Arusha ni extension ya Moshi mjini
 
Hao ndio wadungunyu
 
Watu wa chuga πŸ™ŒπŸ™Œ
 
Nenda kakae arusha hata mwezi mmoja tu utabadilisha mawazo kuhusu arusha uliyonayo kichwani kwako kama ambavyo watz wengi wanaiona kama hicho kikundi cha wasanii wanaojiita wadudu
Arusha ingekua inatisha hivyo isingekua inafurika watalii kila kukicha wa ndani na nje ya nchi
Watu wa arusha kiasili ni wakarimu na wanaexposure na wageni
 
We mzee Ebu leta twakimu za mwaka huu acha ujanja ujanja bring currently evidence four years mzee??
 
Unabifu na kanda ya ziwa bring authorized (documentation) to prove what statistics
Mikoa inayongoza kwa ukatilo
na idadi ya matukio
Dar es Salaam - 13,719
Shinyanga - 12,300
Mara - 9,823
Mwanza - 9,242
Geita - 7,697
Kigoma - 7,544
Kagera - 7496
Tabora - 7,471
Ruvuma - 7,425
Tanga - 6,827

Chanzo: Wizara ya Afy
 
Pure crystal cut Philosophy.

Human nature in clean short details, the only thing missing are the after effects, main concern ya mleta mada.
 
Nilichoona,wanaoinjoy life la arusha ni wanaume kuanzia miaka 40+,hao kwenye picha hata kwenye maclub huwa hawafik
 
We mzee Ebu leta twakimu za mwaka huu acha ujanja ujanja bring currently evidence four years mzee??
Hapo unaona kabisa umeandika kiingereza πŸ˜„ 🀣 πŸ˜‚ πŸ˜† acha chuki kama uliachwa na bwana wa Arusha usitusakame njoo tukuoe u enjoy mji wenye hali murua ya hewa na nyama za kimataifa
Arusha patamu sehem isio salama wazungu hawaendi
 
Unahamasisha ushoga budah
 
Hatari sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…