Ni Vijana wenye Maarifa ,Wabarikiwe wazee wa busaraKimsingi Ata sisi tumepitia ujana kwenda club, fashion za kisela, kutoka na wachumba tofauti, kudag, kula bitches nk
Lakini si huu usela wa hawa vijana wa Arusha.
Asee watoto wanaozaliwa miaka hii huko arusha Dah si utakuaje nilikua nawaheshimu sana watu wa uchagani Ila kuna dizaini credit zimepungua🤣🙄dub
Kuna yale majamaa yalitengeneza chapati kubwa duniani video iko YouTube yanahojiwa na Mina Ali huku yaki tafuna ile michapati ya kimataifa.
yakaulizwa huwa mnacheza nyimbo gani? majamaa yakasema nyimbo yoyote tu hata taarifa ya habari, matangazo ya vifo wao wanacheza.
nawe endelea kuchunga ng'ombe na punda ili kuboresha sekta ya ufugaji nchini.Huwezi fananisha kanda ya ziwa kwa majitu makatili na mabwege na kabda ya kijanja North endeleni kuchunga ng'ombe nyie
kwa suala la uhalifu ni wizara ya mambo ya ndani, hiyo ya wizara ya Afya ni utapeli mtupuKuna documents kuizidi wizara ya afya ?!! Au we 🐕?? Unaugua utahira!!!
Umefanya utafiti wewe? Haya leta taarifa ya wizara ya mambo ya ndani? Unadhani tunakwenda na takwimu sio taarabukwa suala la uhalifu ni wizara ya mambo ya ndani, hiyo ya wizara ya Afya ni utapeli mtupu
Sawa sawa mifugo muhimu sana hiinawe endelea kuchunga ng'ombe na punda ili kuboresha sekta ya ufugaji nchini.
Umefanya utafiti wewe? Haya leta taarifa ya wizara ya mambo ya ndani? Unadhani tunakwenda na takwimu sio taarabu
dah! ila mpunguze kuchungia barabara hapo punda wenu, hasa ile mitaa ya meserani na duka bovuSawa sawa mifugo muhimu sana hii
😂Kuna yale majamaa yalitengeneza chapati kubwa duniani video iko YouTube yanahojiwa na Mina Ali huku yaki tafuna ile michapati ya kimataifa.
yakaulizwa huwa mnacheza nyimbo gani? majamaa yakasema nyimbo yoyote tu hata taarifa ya habari, matangazo ya vifo wao wanacheza.
JorityKimsingi Ata sisi tumepitia ujana kwenda club, fashion za kisela, kutoka na wachumba tofauti, kudag, kula bitches nk
Lakini si huu usela wa hawa vijana wa Arusha.
Asee watoto wanaozaliwa miaka hii huko arusha Dah si utakuaje nilikua nawaheshimu sana watu wa uchagani Ila kuna dizaini credit zimepungua🤣🙄dub
Majorities ya type hizi hawafikagi hata 30, huwa wanapukutika hapo katikati.Kimsingi Ata sisi tumepitia ujana kwenda club, fashion za kisela, kutoka na wachumba tofauti, kudag, kula bitches nk
Lakini si huu usela wa hawa vijana wa Arusha.
Asee watoto wanaozaliwa miaka hii huko arusha Dah si utakuaje nilikua nawaheshimu sana watu wa uchagani Ila kuna dizaini credit zimepungua🤣🙄dub
Piki piki na pombeMa
Jority
Majorities ya type hizi hawafikagi hata 30, huwa wanapukutika hapo katikati.
Nyasi adimu na meserani, duka bovu, sironga hadi makuyuni ukame mkalidah! ila mpunguze kuchungia barabara hapo punda wenu, hasa ile mitaa ya meserani na duka bovu