Hivi hawa wanaosifia sana Serikali mitandaoni wanatoka wapi?

Hivi hawa wanaosifia sana Serikali mitandaoni wanatoka wapi?

RNA

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2013
Posts
1,647
Reaction score
2,803
Habari wana JF,

Binafsi nna kama Miezi 6 au zaidi sijakutana na mwanachi anaeishangilia na kuisifia hii serikali ya Awamu ya Sita.

Ingawa kuna ongezeko la mishahara na Ajira lakini bado kila sehemu malalamiko ikiwa ina Maana hii serikali bado inahitajika kufanya kitu cha ziada kwa Wananchi wake.

Swali: Hivi hawa raia walijaa mitandaoni kusifia sana wanatoka wapi mbona mitaani hatuwaoni? Au ndio wako maofisini wanatafuta teuzi?
 
Tupo,wengi tuu!! Uhuru wa maoni uzingatiwe,Kwani ukijitekenya mwenyewe kunatokea nn?
 
 
Baina yetu Watanzania kuna asilimja kubwa saana ya watu wenye tabia za uchawa, achana na hawa wanaowasema kina manara, yule baba levo, wale kina h baba, mwijaku, zile ndio tabia halisi za watz wengi.

Mfano mdogo(level ya chini) subiri upate vifanikio kidogo, utaona wanaanza kukuposti, hata wale ambao hamna uwana huo, au walikuwa hata hampostiani, watanza kukuposti, subiri wagundue tarehe yako ya kuzaliwa, oohh, ishi miaka mingi damu yangj, sijui kimeenda kimerudi. Ama unakuta mtu kamposti mtu anammwagia sifa kedekede lakini kwenye life la mawaida hawa hawana ukaribu huo.

Hivyo usishangae hilo, kwa level ya juu huko, marehemu alikuja kustimyuleti hii tabia, sababu alikuwa anapenda saana sifa, sisemi huko nyuma haikuwepo la hasha, ila kwa mwendazake ilishika kasi.
 
Baina yetu Watanzania kuna asilimja kubwa saana ya watu wenye tabia za uchawa, achana na hawa wanaowasema kina manara, yule baba levo, wale kina h baba, mwijaku, zile ndio tabia halisi za watz wengi.

Mfano mdogo(level ya chini) subiri upate vifanikio kidogo, utaona wanaanza kukuposti, hata wale ambao hamna uwana huo, au walikuwa hata hampostiani, watanza kukuposti, subiri wagundue tarehe yako ya kuzaliwa, oohh, ishi miaka mingi damu yangj, sijui kimeenda kimerudi. Ama unakuta mtu kamposti mtu anammwagia sifa kedekede lakini kwenye life la mawaida hawa hawana ukaribu huo.

Hivyo usishangae hilo, kwa level ya juu huko, marehemu alikuja kustimyuleti hii tabia, sababu alikuwa anapenda saana sifa, sisemi huko nyuma haikuwepo la hasha, ila kwa mwendazake ilishika kasi.
Kwa hiyo kusifia ni dhambi sio? Kwamba haya yakifanyika wahusika watukanwe au? Acheni upumbavu 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220720-054024.png
    Screenshot_20220720-054024.png
    214.6 KB · Views: 6
  • Screenshot_20220720-054117.png
    Screenshot_20220720-054117.png
    160.4 KB · Views: 4
  • Screenshot_20220719-202056.png
    Screenshot_20220719-202056.png
    137.5 KB · Views: 5
  • Screenshot_20220719-202048.png
    Screenshot_20220719-202048.png
    130.2 KB · Views: 5
  • Screenshot_20220719-201738.png
    Screenshot_20220719-201738.png
    196.7 KB · Views: 5
  • Screenshot_20220719-201650.png
    Screenshot_20220719-201650.png
    158.5 KB · Views: 5
  • Screenshot_20220719-201558.png
    Screenshot_20220719-201558.png
    182.7 KB · Views: 5
  • Screenshot_20220719-201445.png
    Screenshot_20220719-201445.png
    265.4 KB · Views: 5
  • Screenshot_20220719-201024.png
    Screenshot_20220719-201024.png
    174.6 KB · Views: 5
  • Screenshot_20220719-201146.png
    Screenshot_20220719-201146.png
    126.5 KB · Views: 6
  • Screenshot_20220719-171620.png
    Screenshot_20220719-171620.png
    206.6 KB · Views: 5
  • Screenshot_20220719-171534.png
    Screenshot_20220719-171534.png
    193 KB · Views: 5
  • Screenshot_20220719-200535.png
    Screenshot_20220719-200535.png
    142.9 KB · Views: 5
  • Screenshot_20220719-115602.png
    Screenshot_20220719-115602.png
    102 KB · Views: 5
  • Screenshot_20220719-115726.png
    Screenshot_20220719-115726.png
    127.5 KB · Views: 4
Cha ajabu kuna watu wanaamini haya ya mitandaoni ndio picha halisi ya huko mitaani.
 
Kama wemeamua kuwekeza kwenye chawa basi watavuna kungunguni kama wote.
 
Rais wa wanyonge, huu msemo ulikuwa na maana kubwa kwa sababu wanyonge ni wengi kuliko walamba asali. Sasa hivi walamba asali ndio hujiona wanchi wenye haki zaidi kibaya wako wachache wengi humu mitandaoni ni machawa wao tu.
 
Mbona walikuwepo tokea zamanj humu

Ova
 
Ni maparody mmoja yupo humu anaitwa britanica
 
Hao ni machawa hugeuka kuwa funza ni hatari sana hata kama wanaumia wao ni kusifia tu hata mungu hasifiwi hivyo
 
Hakuna uongozi ambao utakosa watu wake wa kuusifia. Jambo la muhimu ni Katiba mpya.
 
We mwenyewe unayelaumu serikali kwa kila kitu unatoka wapi? Una serikali yako nyingine? Serikali yetu ndiyo hii iliyp madarakani tunatakiwa tuishauri na uzuri inasikiliza na hatuna serikali mbadala.
 
Back
Top Bottom