Habari wana JF,
Binafsi nna kama Miezi 6 au zaidi sijakutana na mwanachi anaeishangilia na kuisifia hii serikali ya Awamu ya Sita.
Ingawa kuna ongezeko la mishahara na Ajira lakini bado kila sehemu malalamiko ikiwa ina Maana hii serikali bado inahitajika kufanya kitu cha ziada kwa Wananchi wake.
Swali: Hivi hawa raia walijaa mitandaoni kusifia sana wanatoka wapi mbona mitaani hatuwaoni? Au ndio wako maofisini wanatafuta teuzi?
Binafsi nna kama Miezi 6 au zaidi sijakutana na mwanachi anaeishangilia na kuisifia hii serikali ya Awamu ya Sita.
Ingawa kuna ongezeko la mishahara na Ajira lakini bado kila sehemu malalamiko ikiwa ina Maana hii serikali bado inahitajika kufanya kitu cha ziada kwa Wananchi wake.
Swali: Hivi hawa raia walijaa mitandaoni kusifia sana wanatoka wapi mbona mitaani hatuwaoni? Au ndio wako maofisini wanatafuta teuzi?