- Thread starter
- #61
πππNdio maana wako mitandaoni maana yake ni sifa feki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
πππNdio maana wako mitandaoni maana yake ni sifa feki
Unashindwaje kuisifia serikali weye jamaa?Sifia serikali weye!Unataka umsifie "maleemu"?ππππHabari wana JF,
Binafsi nna kama Miezi 6 au zaidi sijakutana na mwanachi anaeishangilia na kuisifia hii serikali ya Awamu ya Sita.
Ingawa kuna ongezeko la mishahara na Ajira lakini bado kila sehemu malalamiko ikiwa ina Maana hii serikali bado inahitajika kufanya kitu cha ziada kwa Wananchi wake.
Swali: Hivi hawa raia walijaa mitandaoni kusifia sana wanatoka wapi mbona mitaani hatuwaoni? Au ndio wako maofisini wanatafuta teuzi?
πππππUnashindwaje kuisifia serikali weye jamaa?Sifia serikali weye!Unataka umsifie "maleemu"?ππππ
Ni kundi la wanufaika wa walamba asali,ambao wanawaza ndani ya boksi la kijani.Habari wana JF,
Binafsi nna kama Miezi 6 au zaidi sijakutana na mwanachi anaeishangilia na kuisifia hii serikali ya Awamu ya Sita.
Ingawa kuna ongezeko la mishahara na Ajira lakini bado kila sehemu malalamiko ikiwa ina Maana hii serikali bado inahitajika kufanya kitu cha ziada kwa Wananchi wake.
Swali: Hivi hawa raia walijaa mitandaoni kusifia sana wanatoka wapi mbona mitaani hatuwaoni? Au ndio wako maofisini wanatafuta teuzi?
ππππTupo,wengi tuu!! Uhuru wa maoni uzingatiwe,Kwani ukijitekenya mwenyewe kunatokea nn?
Tupo nao maeneo ya kutafuta riziki, na ukiwabananisha nje ya keyboard wanakuwa wadogo kama piriton.Habari wana JF,
Binafsi nna kama Miezi 6 au zaidi sijakutana na mwanachi anaeishangilia na kuisifia hii serikali ya Awamu ya Sita.
Ingawa kuna ongezeko la mishahara na Ajira lakini bado kila sehemu malalamiko ikiwa ina Maana hii serikali bado inahitajika kufanya kitu cha ziada kwa Wananchi wake.
Swali: Hivi hawa raia walijaa mitandaoni kusifia sana wanatoka wapi mbona mitaani hatuwaoni? Au ndio wako maofisini wanatafuta teuzi?
Hivyo vyote ni uchizi kwangu unajenga miundo mbinu huku watu tuna njaa unamjengea nani sokwe au nguvu kazi taifa ni vijana ebu waangalie ao vijana sasa wako hovyo balaa sasa hiyo nchi unajenga kwa manufaa ya nani ohhh nimekumbuka [emoji4] inchi iko kwenye mnada so tunaboresha ili tupate na chajuuu[emoji122][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapo sawaKwa hiyo kusifia ni dhambi sio? Kwamba haya yakifanyika wahusika watukanwe au? Acheni upumbavu [emoji116]
Uko sahihi mkuu!Habari wana JF,
Binafsi nna kama Miezi 6 au zaidi sijakutana na mwanachi anaeishangilia na kuisifia hii serikali ya Awamu ya Sita.
Ingawa kuna ongezeko la mishahara na Ajira lakini bado kila sehemu malalamiko ikiwa ina Maana hii serikali bado inahitajika kufanya kitu cha ziada kwa Wananchi wake.
Swali: Hivi hawa raia walijaa mitandaoni kusifia sana wanatoka wapi mbona mitaani hatuwaoni? Au ndio wako maofisini wanatafuta teuzi?
We unayelalamika kila wakati na kulaumu serikali kwa shida zako unakaa mitaa gani? Sasa km mmekaa vijiweni mmebaki kulalamikia serikali na uvivu wenu kwanini msione maisha magumuHabari wana JF,
Binafsi nna kama Miezi 6 au zaidi sijakutana na mwanachi anaeishangilia na kuisifia hii serikali ya Awamu ya Sita.
Ingawa kuna ongezeko la mishahara na Ajira lakini bado kila sehemu malalamiko ikiwa ina Maana hii serikali bado inahitajika kufanya kitu cha ziada kwa Wananchi wake.
Swali: Hivi hawa raia walijaa mitandaoni kusifia sana wanatoka wapi mbona mitaani hatuwaoni? Au ndio wako maofisini wanatafuta teuzi?