sasa unasifia kwa kipi ? kukopa sana ?kuajiri ?kutozwa kodi ? tozo ? au nchi yenye kila rasmali bado tunasifia kupata huduma za msingi ni utumwa wa kiakili .We mwenyewe unayelaumu serikali kwa kila kitu unatoka wapi? Una serikali yako nyingine? Serikali yetu ndiyo hii iliyp madarakani tunatakiwa tuishauri na uzuri inasikiliza na hatuna serikali mbadala.
hao ni watu waliofanikiwa kimaisha na kuwaona wengine wajingaHabari wana Jf ,Binafsi nna kama Miezi 6 au zaidi sijakutana na mwanachi anaeishangilia na kuisifia hii serikali ya Awamu ya Sita .
Ingawa kuna ongezeko la mishahara na Ajira lakini bado kila sehemu malalamiko ikiwa ina Maana hii serikali bado ina hitajika kufanya kitu cha ziada kwa Wananchi wake .
Swali hivi hawa raia walijaa mitandaoni kusifia sana wanatoka wapi mbona mitaani hatuwaoni ? au ndio wako maofisini wanatafuta teuzi ?
Kwa hiyo kusifia ni dhambi sio? Kwamba haya yakifanyika wahusika watukanwe au? Acheni upumbavu 👇
hayo mambo ulistahili kupata sio ya kusifuKwa hiyo kusifia ni dhambi sio? Kwamba haya yakifanyika wahusika watukanwe au? Acheni upumbavu 👇
Kahamia nchi ambayo haikopi. Japan ndiyo nchi ya kwanza kukopa duniani na ni ya tatu kiuchumi, ya pili kwa maendeleo kiviwanda. Katafute nchi inayokufaa usilalamikelalamike mwanaumne na p..bu zako.sasa unasifia kwa kipi ? kukopa sana ?kuajiri ?kutozwa kodi ? tozo ? au nchi yenye kila rasmali bado tunasifia kupata huduma za msingi ni utumwa wa kiakili .
Kwaiyo unataka watu wote wawe mazezeta wakukosoa tuu mwanzo mwisho,Habari wana Jf ,Binafsi nna kama Miezi 6 au zaidi sijakutana na mwanachi anaeishangilia na kuisifia hii serikali ya Awamu ya Sita .
Ingawa kuna ongezeko la mishahara na Ajira lakini bado kila sehemu malalamiko ikiwa ina Maana hii serikali bado ina hitajika kufanya kitu cha ziada kwa Wananchi wake .
Swali hivi hawa raia walijaa mitandaoni kusifia sana wanatoka wapi mbona mitaani hatuwaoni ? au ndio wako maofisini wanatafuta teuzi ?
tupo hapa au mimi ni roboti ila sijajijuaHabari wana Jf ,Binafsi nna kama Miezi 6 au zaidi sijakutana na mwanachi anaeishangilia na kuisifia hii serikali ya Awamu ya Sita .
Ingawa kuna ongezeko la mishahara na Ajira lakini bado kila sehemu malalamiko ikiwa ina Maana hii serikali bado ina hitajika kufanya kitu cha ziada kwa Wananchi wake .
Swali hivi hawa raia walijaa mitandaoni kusifia sana wanatoka wapi mbona mitaani hatuwaoni ? au ndio wako maofisini wanatafuta teuzi ?
Tahila huyo na kundi lakeKahamia nchi ambayo haikopi. Japan ndiyo nchi ya kwanza kukopa duniani na ni ya tatu kiuchumi, ya pili kwa maendeleo kiviwanda. Katafute nchi inayokufaa usilalamikelalamike mwanaumne na p..bu zako.
Heri wenye moyo safi sijui nini anajua MathayoHabari wana Jf ,Binafsi nna kama Miezi 6 au zaidi sijakutana na mwanachi anaeishangilia na kuisifia hii serikali ya Awamu ya Sita .
Ingawa kuna ongezeko la mishahara na Ajira lakini bado kila sehemu malalamiko ikiwa ina Maana hii serikali bado ina hitajika kufanya kitu cha ziada kwa Wananchi wake .
Swali hivi hawa raia walijaa mitandaoni kusifia sana wanatoka wapi mbona mitaani hatuwaoni ? au ndio wako maofisini wanatafuta teuzi ?
Nimewaza mbali hivi wapiga kura wanatokaga wapi??Habari wana Jf ,Binafsi nna kama Miezi 6 au zaidi sijakutana na mwanachi anaeishangilia na kuisifia hii serikali ya Awamu ya Sita .
Ingawa kuna ongezeko la mishahara na Ajira lakini bado kila sehemu malalamiko ikiwa ina Maana hii serikali bado ina hitajika kufanya kitu cha ziada kwa Wananchi wake .
Swali hivi hawa raia walijaa mitandaoni kusifia sana wanatoka wapi mbona mitaani hatuwaoni ? au ndio wako maofisini wanatafuta teuzi ?
Umkwisha sema kuna ongezeko la mishahara na ajira halafu unashangaa eti wanaosifia Serikali wanatoka wapi? Hebu tuwe wakweli Samia kafanya mengi kuliko mishahara na ajira katika kila sekta. Matatizo ya bei za bidhaa ni suala la kimataifa (global crisis). Hili Lin hata mataifa makubwa kama USA, German, Italy, England nkHabari wana Jf ,Binafsi nna kama Miezi 6 au zaidi sijakutana na mwanachi anaeishangilia na kuisifia hii serikali ya Awamu ya Sita .
Ingawa kuna ongezeko la mishahara na Ajira lakini bado kila sehemu malalamiko ikiwa ina Maana hii serikali bado ina hitajika kufanya kitu cha ziada kwa Wananchi wake .
Swali hivi hawa raia walijaa mitandaoni kusifia sana wanatoka wapi mbona mitaani hatuwaoni ? au ndio wako maofisini wanatafuta teuzi ?
Umejaribu kuzunguka sana lakini target yako ilikuwa kuja kumshushia mzigo JPM. Hilo la kupenda sifa kwa JPM ni uongo mtupu na wala hakupenda sifa za kijinga au unafiki rejea jinsi alivyomtumbua Kangi Lugola pamoja na kujitahidi kumsifia sana. Angekuwa anapenda sifa angekuwa anapenda sifa asingukuwa anawafursha wazembe na wezi wa Mali za umma. Ila kutokana na utendaji wake sifa zilikuja automatic na hata kama ni wewe unafanya vizuri watu watakusifia na huwezi wazuia watu wasikusifie.Baina yetu Watanzania kuna asilimja kubwa saana ya watu wenye tabia za uchawa, achana na hawa wanaowasema kina manara, yule baba levo, wale kina h baba, mwijaku, zile ndio tabia halisi za watz wengi.
Mfano mdogo(level ya chini) subiri upate vifanikio kidogo, utaona wanaanza kukuposti, hata wale ambao hamna uwana huo, au walikuwa hata hampostiani, watanza kukuposti, subiri wagundue tarehe yako ya kuzaliwa, oohh, ishi miaka mingi damu yangj, sijui kimeenda kimerudi. Ama unakuta mtu kamposti mtu anammwagia sifa kedekede lakini kwenye life la mawaida hawa hawana ukaribu huo.
Hivyo usishangae hilo, kwa level ya juu huko, marehemu alikuja kustimyuleti hii tabia, sababu alikuwa anapenda saana sifa, sisemi huko nyuma haikuwepo la hasha, ila kwa mwendazake ilishika kasi.
Unaelewa maana ya kusifu na kumpongeza?hayo mambo ulistahili kupata sio ya kusifu
Sawa endelea kuteseka huko huko getoniKanuni ni ile ile..
Tupa jiwe gizani ukisikia yalaa, mamaa, ujue limemgonga mtu.
😂