residentura
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,146
- 11,434
Ni kakikundi kameandaliwa na kanalipwa kwa kazi hiyo.Habari wana JF,
Binafsi nna kama Miezi 6 au zaidi sijakutana na mwanachi anaeishangilia na kuisifia hii serikali ya Awamu ya Sita.
Ingawa kuna ongezeko la mishahara na Ajira lakini bado kila sehemu malalamiko ikiwa ina Maana hii serikali bado inahitajika kufanya kitu cha ziada kwa Wananchi wake.
Swali: Hivi hawa raia walijaa mitandaoni kusifia sana wanatoka wapi mbona mitaani hatuwaoni? Au ndio wako maofisini wanatafuta teuzi?
Hakuna uongozi ambao utakosa watu wake wa kuusifia. Jambo la muhimu ni Katiba mpya.
Kwa hiyo kusifia ni dhambi sio? Kwamba haya yakifanyika wahusika watukanwe au? Acheni upumbavu 👇
Ni kikosi kazi cha awamu ya sitaHabari wana JF,
Binafsi nna kama Miezi 6 au zaidi sijakutana na mwanachi anaeishangilia na kuisifia hii serikali ya Awamu ya Sita.
Ingawa kuna ongezeko la mishahara na Ajira lakini bado kila sehemu malalamiko ikiwa ina Maana hii serikali bado inahitajika kufanya kitu cha ziada kwa Wananchi wake.
Swali: Hivi hawa raia walijaa mitandaoni kusifia sana wanatoka wapi mbona mitaani hatuwaoni? Au ndio wako maofisini wanatafuta teuzi?
Ni ujinga kufikiri kama Kenya vitu bei inapanda lazima na mimi vipande huku nchi unazotaja hata vyakula tu wanategemea NjeUmkwisha sema kuna ongezeko la mishahara na ajira halafu unashangaa eti wanaosifia Serikali wanatoka wapi? Hebu tuwe wakweli Samia kafanya mengi kuliko mishahara na ajira katika kila sekta. Matatizo ya bei za bidhaa ni suala la kimataifa (global crisis). Hili Lin hata mataifa makubwa kama USA, German, Italy, England nk
Pengine mimi ningebadil kichwa cha mada yako niandike hivi: Je wanaoilaumu Serikali wanao uelewa wa mambo ya uchumi?
Katiba mpya sawa, lakini kwanini hii ya Sasa hivi haizingatiwi? Hiyo mpya itakuja na muujiza Gani isifujwe?
Kuna mijinga imeajiriwa kwa nazi hio ikiongozwa na falacy na yohana mbatizajiHabari wana JF,
Binafsi nna kama Miezi 6 au zaidi sijakutana na mwanachi anaeishangilia na kuisifia hii serikali ya Awamu ya Sita.
Ingawa kuna ongezeko la mishahara na Ajira lakini bado kila sehemu malalamiko ikiwa ina Maana hii serikali bado inahitajika kufanya kitu cha ziada kwa Wananchi wake.
Swali: Hivi hawa raia walijaa mitandaoni kusifia sana wanatoka wapi mbona mitaani hatuwaoni? Au ndio wako maofisini wanatafuta teuzi?
Yes nipo geto hapa, nmelalia kigodoro changu cha ulimi wa mbwa na jitanda changu cha teremka tukazeSawa endelea kuteseka huko huko getoni
Uwezo wako wa kuelewa nilichoandika ni mdogo sana. Akili yako inaweza kufikiria kula tu!!Ni ujinga kufikiri kama Kenya vitu bei inapanda lazima na mimi vipande huku nchi unazotaja hata vyakula tu wanategemea Nje
Nakumbuka skuli unapiga pepa unasolve swali unajihisi lile niko sahihi, pepa linarudi umekosa.Umejaribu kuzunguka sana lakini target yako ilikuwa kuja kumshushia mzigo JPM. Hilo la kupenda sifa kwa JPM ni uongo mtupu na wala hakupenda sifa za kijinga au unafiki rejea jinsi alivyomtumbua Kangi Lugola pamoja na kujitahidi kumsifia sana. Angekuwa anapenda sifa angekuwa anapenda sifa asingukuwa anawafursha wazembe na wezi wa Mali za umma. Ila kutokana na utendaji wake sifa zilikuja automatic na hata kama ni wewe unafanya vizuri watu watakusifia na huwezi wazuia watu wasikusifie.
Leo Mama anafanya vizuri sasa hutaki watu wasifie. Ikiwa kama unafanya vibaya watu watakukosoa vivyo hivyo wengine wakifurahiswa na utendaji wako watakusifia hata usipowaambia na hauwezi kuwazuia. Swala la kwamba fulani anapenda sifa ni perception yako tu.
Kila mmoja ashinde mechi zake. Acha kulialia hapa, binadamu tumeumbwa tofauti, tuna akili tofauti na hisia tofauti. Kama wewe huoni mazuri ya Serikali ya Samia ni wewe, usitulazimishe tunaoyaona tuseme hatuyaoni.Habari wana JF,
Binafsi nna kama Miezi 6 au zaidi sijakutana na mwanachi anaeishangilia na kuisifia hii serikali ya Awamu ya Sita.
Ingawa kuna ongezeko la mishahara na Ajira lakini bado kila sehemu malalamiko ikiwa ina Maana hii serikali bado inahitajika kufanya kitu cha ziada kwa Wananchi wake.
Swali: Hivi hawa raia walijaa mitandaoni kusifia sana wanatoka wapi mbona mitaani hatuwaoni? Au ndio wako maofisini wanatafuta teuzi?
Hao watakuwa walamba asali wa saccos ya Ufipa tu.Habari wana JF,
Binafsi nna kama Miezi 6 au zaidi sijakutana na mwanachi anaeishangilia na kuisifia hii serikali ya Awamu ya Sita.
Ingawa kuna ongezeko la mishahara na Ajira lakini bado kila sehemu malalamiko ikiwa ina Maana hii serikali bado inahitajika kufanya kitu cha ziada kwa Wananchi wake.
Swali: Hivi hawa raia walijaa mitandaoni kusifia sana wanatoka wapi mbona mitaani hatuwaoni? Au ndio wako maofisini wanatafuta teuzi?
Samia kaongeza 20,000 kwenye mishahara na mfumuko wa Bei100 %.Watanzania wengi hawajawahi kusifia utawala unapokuwa madarakani hata kipindi cha nyerere watu walikosoa. Bi samia kipindi mishahara inaongezwa niliona masifa kibao
Ndio maana wako mitandaoni maana yake ni sifa fekiHabari wana JF,
Binafsi nna kama Miezi 6 au zaidi sijakutana na mwanachi anaeishangilia na kuisifia hii serikali ya Awamu ya Sita.
Ingawa kuna ongezeko la mishahara na Ajira lakini bado kila sehemu malalamiko ikiwa ina Maana hii serikali bado inahitajika kufanya kitu cha ziada kwa Wananchi wake.
Swali: Hivi hawa raia walijaa mitandaoni kusifia sana wanatoka wapi mbona mitaani hatuwaoni? Au ndio wako maofisini wanatafuta teuzi?
inawezekanaNi kakikundi kameandaliwa na kanalipwa kwa kazi hiyo.
Pia kwenye kila alipo Mh. Rais Samia, kunakuwepo kikundi cha vijana kinaitwa "vijana wa hamasa".
Kazi yao ni kusifia.
inawezekanaNi kakikundi kameandaliwa na kanalipwa kwa kazi hiyo.
Pia kwenye kila alipo Mh. Rais Samia, kunakuwepo kikundi cha vijana kinaitwa "vijana wa hamasa".
Kazi yao ni kusifia.