Asante mkuu wewe kweli mkongwe. Muhiri Obhare ndani ya RFAManka mushi
Jumanne sebarua tingisha
Muhiri obare (naaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaam
Jamaa aliitisha.Mtangazaji : haloo kwenye line, nani mwenzangu?
Mpiga simu: Mohiri Obare
Mtangazaji : oooh Mohiri Obare?
Mpiga simu : Naaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Unaongea na Mohiri obare Chacha kung'ombe sijui ninini huko... [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Chesco mzee wamatunda
Labda wana wasaidizi wao kutuma mesejiKuna mwingine baba Nurat mfuga njiwa yaan huyu karibu redio zote yupo na vipindi vyote yupo sijui wanafanya kazi mda gani,mesej wanaandika mda gani yaan wako faster balaaa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Umemsahahu Nyamihela mwingine ni marehemu Babu Shayo huyu yeye alikua akianza kuongea hamalizi kwanza anaanza na utambulisho utachoka anasema unaongea na Baaaaaaabu Shaaaaayo Baaaabu Shaaaaayo, buhahaha
[emoji1787][emoji1787]Halaf kuna Ali mrangi gigiri huyu nae kila siku yupo kwenye daladala akielekea mabibo cjui hafikagi?
MarehemuWajadi fundi wa jadi
Hobbies za watu izo πΊπΊπΊKuna kipindi nilikuwa nikisikiliza radio hukosi simu au message za hawa watu katika kipindi chochote;
1. Mwalimu Kennedy mpemba kutoka Kahama hasa kwenye DW
2. Hamisi full migebuko kutoka kigoma
3. Daudi wa kota
4. Salma Msangi kutoka Dodoma
5. Kuna mwingine Filbert japo jina la mwisho nimesahau hutuma sana DW
Niite Frank Amosi, Frank Amosi Sababu Babaake na Neli, Mimi ni Mwenyekiti wa Chama kubwa la Wazee wa Pamba na Macheni Mengi Shingoni, nazungumza kutoka chini Jengo kubwa la Benjamin Mkapa hapa Posta MpyaKuna watu kwa nature ya kazi zao basi husikiliza redio muda mwingi, ndo hao huwa wanatuma hizo salam.
Halafu huyu sio Mzee, kuna siku nilimiona TV moja alikuwa anariport, nilicheka sana: laa labda kama wapo wawili.Mzee Lawena Nsonda RFA
Hili nalo swali la muhimu sanaKwani wewe unalipwa na JF kukesha humu?
Ni kweli, nami namsikia sana huyo Filbert Kenshambi. Nafikiri naye ananisikia kupitia kipindi cha Maoni Meza ya Duara ya saa 7 mchana, Jumamosi. Ila sishiriki vipindi vyote vya kuchambua mambo mbalimbali ya kimataifa.Filbert Kenshambi yupo kila kipindi iwe michezo, siasa au mambo ya Ukraine hakosekani.
Kuna mmoja anaitwa Edward Kabamba kutoka Idom- Manyara.Kuna kipindi nilikuwa nikisikiliza radio hukosi simu au message za hawa watu katika kipindi chochote;
1. Mwalimu Kennedy mpemba kutoka Kahama hasa kwenye DW
2. Hamisi full migebuko kutoka kigoma
3. Daudi wa kota
4. Salma Msangi kutoka Dodoma
5. Kuna mwingine Filbert japo jina la mwisho nimesahau hutuma sana DW