Hivi hawa watu wanalipwa na hizi redio?

Hawa nahic hawasikilizagi radio muda wote ila ikifika muda anatuma txt hata km yupo mbali na radio haiwezekani unamsikia radio free ukibadili clouds unamkuta ukibadili radio one unamkuta
 
Hawa nahic hawasikilizagi radio muda wote ila ikifika muda anatuma txt hata km yupo mbali na radio haiwezekani unamsikia radio free ukibadili clouds unamkuta ukibadili radio one unamkuta
Unaelewa maana ya Salamu Club ?
 
Kama tunavyoiganda jf hapa tu mkuu ni mapenzi ya dhati
 
Ww ndio umetaja vyema nilikuwa nashindwa kumalizia jonathan
 
Kuna mwingine anajiita mapambano abel, ukisililiza radio1 kila kipindi lazima apige simu. Na anakuwa wa kwanza.

Au waNapigaga namba private za wafanyakazi
 
Kuna mwingine anajiita mapambano abel, ukisililiza radio1 kila kipindi lazima apige simu. Na anakuwa wa kwanza.
huwa nashanga sana hadi kipindi cha watoto anampa mwanae simu aonge
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…