Hivi hawa wazungu kuhusu maadili ya binadamu nani kawaloga?

Sisi ni wanafiki. Wao ni wawazi. Mashoga huku kwetu yapo kibao na wanaume wapenda mashoga wapo kibao.
 
Embu sema ulichotaka sema??
 
Wewe sijui ulikua wapi wakati mwaka jana hapa nchini mwakembe akiongoza watafiti wakujitolea wamekuja na taarifa refu iliyoshitua kuhusu NGOs zinazokua funded na wamarekani kwa ajili ya kueneza ushoga.
Kelele tu za kutafuta umaarufu zile, umeona kuna ushahidi wowote uliwekwa? Au kuna taasisi yoyote ilifungwa?

Mwakyembe Is a loser looking for a political mileage to resuscitate his political life
 
Mwakyembe na yule dada wapo wapi. Ukivunja haki za binadamu ndani ya Africa ni kujitakia shida mwenyewe.hiyo inaitwa life ban. Hutosikika kuanzia Kijijini mpaka ulimwenguni
 
ushoga kwao ni kitu cha kawaida,waachie wao,lakini unashangaa wazungu,hivi unajua kuwa hapa afrika nchi 20 zimeruhusu ushoga na watu wanaoana hadharani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…