Hivi Hayati Magufuli alikosaje akili ya kutengeneza kitu cha maana kama Royal Tour?

M
nimekwambia ukiamini kitu sio lazima kiwe cha kweli... endelea kujifurahisha nafsi yako kwa Hallucination...
Muhishimiwa,hakuna hallucinations! Your dearly uncle,was a conman!Ulimuamini alivyokuambia nchi yako ipo uchumi wa kati "chini" na ni "dona-,kantle"?What a shame!
 
Unamzungimzia Magufuli huyuhuyu ambaye akili zake zilikuwa fyatu au Magufuli mwingine?
Wana "regase" watakutukana mkuu.Na tusi lao kuu(kama wanavyodhani)ni kumuita mtu "shoga"! Ukweli huwa unauma sana kmmmke!Hahahahahahahaaaàaa!
 
Kununua midege ulikuwa upunguwani wa Kiwango cha Billboards! Halafu unawanywesha watu Malimao na Tangawizi
 
JPM alikuwa na tour zake mikoani kutafuna mahindi, kugawa hela na chuki kama njugu...

Unakumbuka movie zake za kuokota vichwa vya treni bandarini?
Na za kutaka kumpanua mama wa watu pale Morogoro!
 
Hao watalii hata kama ni filamu wanafikaje kwenye nchi yako? Huna ndege..haya wanakuuliza tunakujaje unawaambia mnakuja hadi kenya, pale kenya mnapanda KQ hadi tanzania.

Unatengeneza filamu wakati huna viwanja vya ndege?

Unaletaje watalii wakati unamaliza tembo, vifaru kwa kuwawinda.

Unaletaje watalii kwenye mji ambao kila siku una maandamano ya kisiasa.

Hayo yote Magu aliyaweka sawa mzee.
 
Acha upuuzi.Ina maana haujui kwamba tuna viwanja vya ndege miaka yote mikoani?
 
Mhmmmmm, kweli sisi ni nchi za neno alilo litamka Trump.
Naona kinyaa kushea nchi na mtu mpumbavu kama wewe.

JF kungekuwa na mtihani wa kupima akili zawatu wewe ungeishia Facebook.
 
Ficha ujinga wako,ndo matokeo ya kusafirisha wanyama hizo ndo akili? Bureee kabisa
 
Anko Magu alikuwa na misheni zake wala hangeweza kuwaza mambo ya royal tour, sana sana aliwaza kuminya kende za waliomsumbua, na aliminya haswaa mpaka wapinzani wakanyooka 😂
 
Hizo "je...je...je..."zingefanyiwa kazi kabla "maliyemu" hajafanya ujinga wa kuijenga Ile "Gbadolite" ya Chato ingeleta maana!Saa hizi unataka ugomvi tu.Teh!
Hata vizazi vijavyo vitanufaika na huo uwanja.

Kumbuka wewe pia hapo ulipo ni marehemu mtarajiwa.

Kuishi sio ujanja bali kudra za Mungu.

Muwe mnapunguza ujazo wa mavi kwenye nafasi za ubongo vichwani mwenu.

Maana comment zenu ni kiashiria cha watoto wa Uwanja wa Fisi.

Malezi Guest House bila hata mama kupata huduma za kliniki.

Matokeo yake ndio huu uzao wa kina wewe Moisemusajiografii
 
Anus mpo wengi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…