Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Muhishimiwa,hakuna hallucinations! Your dearly uncle,was a conman!Ulimuamini alivyokuambia nchi yako ipo uchumi wa kati "chini" na ni "dona-,kantle"?What a shame!nimekwambia ukiamini kitu sio lazima kiwe cha kweli... endelea kujifurahisha nafsi yako kwa Hallucination...
Wana "regase" watakutukana mkuu.Na tusi lao kuu(kama wanavyodhani)ni kumuita mtu "shoga"! Ukweli huwa unauma sana kmmmke!Hahahahahahahaaaàaa!Unamzungimzia Magufuli huyuhuyu ambaye akili zake zilikuwa fyatu au Magufuli mwingine?
Kwani yeye ndio aliyesema tumeingia uchumi wa kati?! JPM Pan AfricanistM
Muhishimiwa,hakuna hallucinations! Your dearly uncle,was a conman!Ulimuamini alivyokuambia nchi yako ipo uchumi wa kati "chini" na ni "dona-,kantle"?What a shame!
Alitaka kuajili wafungwa ili kupunguza uhaba wa askari magereza
Wakuu kwanini Magufuli kila siku mnamsema kwa mabaya. Tupunguze wakuu
Ulipigwa!Shtuka mkuu wangu.Kwani yeye ndio aliyesema tumeingia uchumi wa kati?! JPM Pan Africanist
Ni mtu MPUMBAVU pekee anayeweza kufanya huo upuuzi wa kutumia mabilioni ya pesa bila kuwa na uhakika wa return wala sera Bora za kuvutia utalii wakati huo kuna wanafunzi hawana madawati na hospital hazina madawa .Royal tour ni AIBU kwa viongozi na taifa kiujumla.
Halafu akaunda kiwanda cha kujifukiza hospitali.Yule mzee alikuwa msukule? HahahahaaaKununua midege ulikuwa upunguwani wa Kiwango cha Billboards! Halafu unawanywesha watu Malimao na Tangawizi
JPM alikuwa na tour zake mikoani kutafuna mahindi, kugawa hela na chuki kama njugu...Wakuu,
Nimeshindwa kuelewa wanaomuona Mwenda zake Magufuli eti alikuwa Mbunifu.
Ilikuaje akashindwa Kubuni na kutengeneza Vitu vya Maana kama Royal Tour? Rafiki yake Kagame alitengeneza yeye akawa anasema Matajiri nataka waishi kama Mashetani.
Hivi kutengeneza Royal Tour kwa Manuu ya au Kujenga Uwanja wa Chato kipi bora?
Movie ya Royal Tour iligharimu Tsh Bilioni 7. Na Ujenzi wa Uwanja wa Ndege wa Mkoa wa Geita Kijiji cha Nyabilezi Wilayani Chato nyumbani kwako na Mwenda zake Magufuli Ulijengwa kwa gharama ya shilingi 39.151 Bilioni.
Ndiyo maana tunaposema Mama anaupoga mwingi eleweni.
Hao watalii hata kama ni filamu wanafikaje kwenye nchi yako? Huna ndege..haya wanakuuliza tunakujaje unawaambia mnakuja hadi kenya, pale kenya mnapanda KQ hadi tanzania.Wakuu,
Nimeshindwa kuelewa wanaomuona Mwenda zake Magufuli eti alikuwa Mbunifu.
Ilikuaje akashindwa Kubuni na kutengeneza Vitu vya Maana kama Royal Tour? Rafiki yake Kagame alitengeneza yeye akawa anasema Matajiri nataka waishi kama Mashetani.
Hivi kutengeneza Royal Tour kwa Manuu ya au Kujenga Uwanja wa Chato kipi bora?
Movie ya Royal Tour iligharimu Tsh Bilioni 7. Na Ujenzi wa Uwanja wa Ndege wa Mkoa wa Geita Kijiji cha Nyabilezi Wilayani Chato nyumbani kwako na Mwenda zake Magufuli Ulijengwa kwa gharama ya shilingi 39.151 Bilioni.
Ndiyo maana tunaposema Mama anaupoga mwingi eleweni.
Acha upuuzi.Ina maana haujui kwamba tuna viwanja vya ndege miaka yote mikoani?Hao watalii hata kama ni filamu wanafikaje kwenye nchi yako? Huna ndege..haya wanakuuliza tunakujaje unawaambia mnakuja hadi kenya, pale kenya mnapanda KQ hadi tanzania.
Unatengeneza filamu wakati huna viwanja vya ndege?
Unaletaje watalii wakati unamaliza tembo, vifaru kwa kuwawinda.
Unaletaje watalii kwenye mji ambao kila siku una maandamano ya kisiasa.
Hayo yote Magu aliyaweka sawa mzee.
Mhmmmmm, kweli sisi ni nchi za neno alilo litamka Trump.Wakuu,
Nimeshindwa kuelewa wanaomuona Mwenda zake Magufuli eti alikuwa Mbunifu.
Ilikuaje akashindwa Kubuni na kutengeneza Vitu vya Maana kama Royal Tour? Rafiki yake Kagame alitengeneza yeye akawa anasema Matajiri nataka waishi kama Mashetani.
Hivi kutengeneza Royal Tour kwa Manuu ya au Kujenga Uwanja wa Chato kipi bora?
Movie ya Royal Tour iligharimu Tsh Bilioni 7. Na Ujenzi wa Uwanja wa Ndege wa Mkoa wa Geita Kijiji cha Nyabilezi Wilayani Chato nyumbani kwako na Mwenda zake Magufuli Ulijengwa kwa gharama ya shilingi 39.151 Bilioni.
Ndiyo maana tunaposema Mama anaupoga mwingi eleweni.
Anko Magu alikuwa na misheni zake wala hangeweza kuwaza mambo ya royal tour, sana sana aliwaza kuminya kende za waliomsumbua, na aliminya haswaa mpaka wapinzani wakanyooka 😂Wakuu,
Nimeshindwa kuelewa wanaomuona Mwenda zake Magufuli eti alikuwa Mbunifu.
Ilikuaje akashindwa Kubuni na kutengeneza Vitu vya Maana kama Royal Tour? Rafiki yake Kagame alitengeneza yeye akawa anasema Matajiri nataka waishi kama Mashetani.
Hivi kutengeneza Royal Tour kwa Manuu ya au Kujenga Uwanja wa Chato kipi bora?
Movie ya Royal Tour iligharimu Tsh Bilioni 7. Na Ujenzi wa Uwanja wa Ndege wa Mkoa wa Geita Kijiji cha Nyabilezi Wilayani Chato nyumbani kwako na Mwenda zake Magufuli Ulijengwa kwa gharama ya shilingi 39.151 Bilioni.
Ndiyo maana tunaposema Mama anaupoga mwingi eleweni.
Hata vizazi vijavyo vitanufaika na huo uwanja.Hizo "je...je...je..."zingefanyiwa kazi kabla "maliyemu" hajafanya ujinga wa kuijenga Ile "Gbadolite" ya Chato ingeleta maana!Saa hizi unataka ugomvi tu.Teh!
Wasikutishe hao jamaa wote ni anus!Wakuu kwanini Magufuli kila siku mnamsema kwa mabaya. Tupunguze wakuu
Anus mpo wengiWakuu,
Nimeshindwa kuelewa wanaomuona Mwenda zake Magufuli eti alikuwa Mbunifu.
Ilikuaje akashindwa Kubuni na kutengeneza Vitu vya Maana kama Royal Tour? Rafiki yake Kagame alitengeneza yeye akawa anasema Matajiri nataka waishi kama Mashetani.
Hivi kutengeneza Royal Tour kwa Manuu ya au Kujenga Uwanja wa Chato kipi bora?
Movie ya Royal Tour iligharimu Tsh Bilioni 7. Na Ujenzi wa Uwanja wa Ndege wa Mkoa wa Geita Kijiji cha Nyabilezi Wilayani Chato nyumbani kwako na Mwenda zake Magufuli Ulijengwa kwa gharama ya shilingi 39.151 Bilioni.
Ndiyo maana tunaposema Mama anaupoga mwingi eleweni.
Nilipigwaje...?!Ulipigwa!Shtuka mkuu wangu.
Mkuu, tunaanza kupangiana vitu vya kusema? Nineamua kuanza na Mzilankende.Kila kiongozi ana plan zake, mbona hujasema kwann JK hakuwa na plan kama hii ila samia kaja nayo?