Hivi Hayati Magufuli alikosaje akili ya kutengeneza kitu cha maana kama Royal Tour?

Mkuu, tunaanza kupangiana vitu vya kusema? Nineamua kuanza na Mzilankende.
Nilivyosema mbona hukusema sikuwa na maana yakukupangia nini chakusema, neno hilo nmelitumia kama mlinganisho wa JK Vs sami na ndio maana nikakuambia kila mtu alikuwa na plan zake
 

Baada ya Royal tour tumepata faida sana hadi tunaanza kusafirisha wanyama? Kwa hiyo hao watalii watakujaje bila viwanja vya ndege?

Hadi sasa sijaona kabisa kitu kipya kimeletwa na royal tour labda wewe mwana CCM mwenzie uniambie
 
Mwacheni Mzee Apumzike jamani,dah!!!.
 
Sukuma gang hawawezi kukuelewa ndugu yangu.
 
..labda Royal Tour hawawahoji viongozi wasiozungumza Kiingereza.

..Ndio maana wengi tunasisitiza kwamba tusipojifunza Kiingereza tunajinyima fursa.
Zeeee zeeeee reeekiiiiii
 
Mimi sijamsema. Bali nimelinganisha mambo ya Kitaifa. Magufuli alidai anajenga Uwanja watalii watue moja kwa moja kwenda Mbunga ya chato. Sasa Uwanja wananchi wanaanika Udaga.
Kwani zile traffic light bado zipo pale chato?
 
Sukuma gang safari hii lazima wengiwenu mtajinyonga
 
Wote hao Wana mimba ya magufuli ya miezi 18.Wameshindwa kujifungua.Wana mapacha.Ndio maana unaona anaanzisha thread haina miguu wa kichwa.Kumbe mimba inasumbua.
Nasikia wewe na Sabaya ndiyo mlikuwa chawa wake
 
Mwendazake hadi jambo dogo kama hili lilimshinda 😬😬

Samia kalisema 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220606-143538.png
    139.6 KB · Views: 7
Hajawahi kumiliki akili
 
Naona umegusa mfupa...tunashukuru kwa kuweka record sawa.
 
Mkuu wachache sana tutakaokulewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…