Joka kuna watu wanamsingizia magu mambo mengi ebu nipe maelezo ya zile maiti kwenye viroba,ndiyo maana magu alituomba tumwombee kwani alijua game ni zito kiasi gani...tatizo alichanganya maono hayo na ukatili na ubaguzi.
Ujui unachokiongea, your idiot manAlikuwa muuwaji, mtu muuwaji hafai kumbuka tukio la Kaini kumuua ndugu yake Abel.
Mungu akamlaani na kumfukuza kwenda mbali na jamaa zake. Na kizazi chake kikafutwa.
Magufuri hakuwa na zuri hata moja alikuwa laana kwa nchi yetu
Mchawi ni wewe na anayekulipa, Ila hii kazi mtaishia kulaumiana tu.Umerogwa wewe
Joka kuna watu wanamsingizia magu mambo mengi ebu nope maelezo ya zile maiti kwenye viroba,ndiyo maana magu alituomba tumwombee kwani alijua game linaendaje.
Cuthbert huyu ni mjinga tu.
Ila kutengeneza uwanja wa mabilioni usio na kazi ni faidaNi mtu MPUMBAVU pekee anayeweza kufanya huo upuuzi wa kutumia mabilioni ya pesa bila kuwa na uhakika wa return wala sera Bora za kuvutia utalii wakati huo kuna wanafunzi hawana madawati na hospital hazina madawa .Royal tour ni AIBU kwa viongozi na taifa kiujumla.
Jamaa alijua ataishi MileleMwendazake alikuwa mtu katili asiye na huruma alimtembeza nape kwa miguu
Heee sawa vipi kuhusu uwanja wa chatoNi mtu MPUMBAVU pekee anayeweza kufanya huo upuuzi wa kutumia mabilioni ya pesa bila kuwa na uhakika wa return wala sera Bora za kuvutia utalii wakati huo kuna wanafunzi hawana madawati na hospital hazina madawa .Royal tour ni AIBU kwa viongozi na taifa kiujumla.
Kazi moja akiyopewa na chama chake na akaitumikia kikamilifu ni kuua upinzani tu.Wakuu,
Nimeshindwa kuelewa wanaomuona Mwenda zake Magufuli eti alikuwa Mbunifu.
Ilikuaje akashindwa Kubuni na kutengeneza Vitu vya Maana kama Royal Tour? Rafiki yake Kagame alitengeneza yeye akawa anasema Matajiri nataka waishi kama Mashetani.
Hivi kutengeneza Royal Tour kwa Manuu ya au Kujenga Uwanja wa Chato kipi bora?
Movie ya Royal Tour iligharimu Tsh Bilioni 7. Na Ujenzi wa Uwanja wa Ndege wa Mkoa wa Geita Kijiji cha Nyabilezi Wilayani Chato nyumbani kwako na Mwenda zake Magufuli Ulijengwa kwa gharama ya shilingi 39.151 Bilioni.
Ndiyo maana tunaposema Mama anaupoga mwingi eleweni.
Busara ya rais ni kuacha mambo yawe Kama tunavyoona Leo bei hazi shikiki,uzembe, wizi na ujambazi kurudi kwa kasi? Joka unajua shida yetu waafrika ni aina ya viongozi tulionao na ndiyo sababu ya kushindwa kila kitu,magu alikuwa mwiba kwa wakubwa ngoja alale na wao waendelee kufanya wafanyavyo...hakuwa na busara zinazohitajika kwa nafasi ya Raisi.
..Uraisi unahitaji mtu anayeweza kuunganisha wananchi wake na sio kuwagawa, au kuendekeza ubaguzi.
..pia Uraisi unahitaji mtu anayeheshimu sheria. Jpm aliheshimu sheria pale inapom-favour yeye, kinyume na hapo alivunja sheria.
NB.
..zile maiti kwenye viroba ilitakiwa kufanyike uchunguzi ili kuwatambua walikuwa kina nani.
Zinaenda ZenjiMbona Samia anaongeza ndege?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji120]
Ni laana kwa wapumbavu wa ukoo wakoAlikuwa muuwaji, mtu muuwaji hafai kumbuka tukio la Kaini kumuua ndugu yake Abel.
Mungu akamlaani na kumfukuza kwenda mbali na jamaa zake. Na kizazi chake kikafutwa.
Magufuri hakuwa na zuri hata moja alikuwa laana kwa nchi yetu
Alhamdullilah, yaani wewe pamoja na kisomo chako royal tour ni kitu cha maana sana? Hiyo royal tour ni moja tu ya tools of marketing sijui kama unafahamu hicho kituWakuu,
Nimeshindwa kuelewa wanaomuona Mwenda zake Magufuli eti alikuwa Mbunifu.
Ilikuaje akashindwa Kubuni na kutengeneza Vitu vya Maana kama Royal Tour? Rafiki yake Kagame alitengeneza yeye akawa anasema Matajiri nataka waishi kama Mashetani.
Hivi kutengeneza Royal Tour kwa Manuu ya au Kujenga Uwanja wa Chato kipi bora?
Movie ya Royal Tour iligharimu Tsh Bilioni 7. Na Ujenzi wa Uwanja wa Ndege wa Mkoa wa Geita Kijiji cha Nyabilezi Wilayani Chato nyumbani kwako na Mwenda zake Magufuli Ulijengwa kwa gharama ya shilingi 39.151 Bilioni.
Ndiyo maana tunaposema Mama anaupoga mwingi eleweni.
Maccm machoko sana na wewe ndiye kiranja waoMachadema ni mapumbavu sana!
Ndio maana fatuma sasa hivi anawaita nyumbu
Kwa vile jiwe ndiye alikutindua marinda ndiyo unamtukuza,choko mbovu weweNi laana kwa wapumbavu wa ukoo wako
Hadi sasa sukuma gang mmeshapigwa KO labda mmebakia kushindania kusafisha kaburiMchawi ni wewe na anayekulipa, Ila hii kazi mtaishia kulaumiana tu.