Hivi Hayati Magufuli angekubali huu ujinga wa kugawa Bandari?

Hivi Hayati Magufuli angekubali huu ujinga wa kugawa Bandari?

chotera

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2016
Posts
6,560
Reaction score
15,864
Kwenye magumu marehemu wanakumbukwa.

Hivi pamoja na akili zake Magufuli naamini asingeingia ujinga wa kugawa gateway ya nchi kizembe namna hiyo. Na bado naamini mtu mwenye akili timamu kamwe hawezi kugawa bandari ya nchi kizembe kiasi hicho haiwezekani.

Tuanze kugawa bandari ya Zanzibar kwanza ndio tufanye majadiliano ya kugawa bandari ya Tanganyika. Muda mwingine unawaza sana hii nchi inaenda wapi?

Huwa hatutaki kuandika lakini inakera sana, hawa watu washatugeuza watanzania wajinga kama wao. Unaweza kua mnaongozwa na watu mnaowashinda akili ndio taabu huanzia hapo.

Police, TISS, JWTZ hebu awamu hii kaeni pembeni muone watakavyoonjeshwa joto la makaa ya mawe hawa wauza bandari.
 
Acha tuuzwe tu hamna namna hata raia sisi hamna kitu ingekuwa Kenya wangeliamsha
 
Kwenye magumu marehemu wanakumbukwa
Hivi pamoja na akili zake magufuli naamini asingeingia ujinga wa kugawa gateway ya nchi kizembe namna hiyo...
Ebu funguka kagaiwa nani kwa ushahidi hupi?
 
Angekubali tu, ili mradi umhakikishie there is something in for him
 
Kuibinasfisha sio shida nchi mbali mbali duniani zimefanya ivyo ofu yangu mikataba tulio kubaliana na namna mchakato ulivyoenda utata unakuwa apo na nguvu inayotumika kupitisha mchakato
 
Kuna Kaya Fulani hawajui kbs wanachohitaji huwezi kuwaelewa ikiwa jua wanalalamika ikiwa mvua wanalalamika, wakipewa kiti wakae wanalalamika ,wakisimama au wakilala Hali ni Ile ile
 
Majuto ni mjukuu. Huwaga tunakumbuka baadae sana afu tunasema ninge bla bla

Acheni Magufuli awaongoze malaika huko mbinguni.

 
Back
Top Bottom