Hivi Hayati Magufuli angekuwa hai hali ingekuwaje mpaka sasa

Hivi Hayati Magufuli angekuwa hai hali ingekuwaje mpaka sasa

Kipindi kile kila kitu kilikuwa ovyo ovyo biashara kila siku zinafunga yakiwemo mahotel na viwanda kama hususani vya chumvi. Kule bagamoyo viwanda vya chumvi vyote vilikuwa vimebaki magofu tu.

Hali ya mabank au financial system ilikwa paralysed na mabank kibao yakafunga biashara mf bank ya efata nk.

Bureau de change zote biashara ikafa. Kila sehemu ilikuwa ni vilio tu.

Sasa angekuwa yupo hai mpaka Leo nchi ingekuwa inaomboleza daily kwa watu kufa ama kwa stress au kwa msongo wa mawazo mana biashara hakuna, ajira hakuna kila kituhakuna.
-Zimbabwe case huku akilaumu Mabeberu na Wazungu.

-Kila kitu kingesimama akisingizia kujenga Sgr na bwawa la Nyerere

-Hali ya Uchumi ingekuwa mbaya sana maana zile tozo zilizomletea shida Samia zilianzishwa na Mwendazake kwenye Bajeti ya 2021/2022 maana Bajeti ya Serikali huandaliwa Disemba na mungelipa maana ilikuwa ndio mwaka anaanza awamu ya pili baada ya uchaguzi.

-Kama kawaida Ajira zisingekuwepo Wala salary increase Wala kufuta uporaji ule wa Bodi ya Mikopo.

-Watu wa diploma msingepewa mikopo maana mlifujuzwa udom wakati wa special diploma.
-Hamuna mkulima angepata ruzuku ya Mbolea maana Jiwe angewajibu yeye hajaleta vita.
-Kila siku wimbo ungekuwa Sgr , standard gauge na mabeberu 😂😂😂😂😂

Kiufupi Hali ingekuwa very worse maana Jiwe alikuwa ni mjuzi wa kutumia ila hajui kutafuta pesa.
 
Ww ndo fala huyo magufuri kakuta bidhaa zinauzwaje na kaondoka kaacha bidhaa zinauzwaje?
Maisha magumu yako kwako kwa sababu ulizoea maisha ya uchawa.

(1)Kakuta bati moja linauzwa 12,000 kaondoka madarakani linauzwa 18500.

(2)kakuta siment mfuko unauzwa sh13,500 huku mikoani kaondoka unauzwa sh 21,000
(3) kakuta sukari kilo ni sh 1800 kaondoka na kaondoka inauzwa 3,000

(4)kaingia madarakani kakuta sekta binafisi na serikali zikiwa na uwezo wa kuajili maelfu ya watainiwa kila mwaka kaondoka huku akiziacha sekita binafisi zikiwa hoi na serikali imeshindwa kuajili na kuongeza watumishi mishahara.

(5) Alishindwa kuwatafutia wakulima masoko ya mazao yao yakawa yanaozea mashambani alafu unajiita kiongozi ?

Kiufupi huyu mama ana mapungufu mengi sana ya kiuongozi lakini hawezi kumfikia huyo kichaa wenu.
Huyo kichaa wenu kaasisi mambo ya hovyo mengi sana ndani ya nchi hii ikiwemo uchawa na tabia ya kujipendekeza kwa watawala.
Ndo katuletea akina Kiitala na akina mwiguru ambao leo wamekuwa tatizo kubwa ndani ya nchi hii.
Ndo katuletea lundo la viraza bungeni wanaopitisha chochote bila kuhoji.
Mkuu umeua!! Magufuli alifeli pakubwa
 
Huna akili kwann ulikuwa una inunua 14000 na sio bei uliyo kuwa unainunua kabla ya huyo jiwe kuingia Madarakani?

Eti kulinganisha ni kweli hatakiwi kulinganishwa na awamu nyingine kwasababu awamu yake ilikuwa ni takataka na hasara kubwa kwa Wtz.

Ukitoa mradi wa bwawa la Nyerere unaweza kunitajia mradi mwingine wa maana unao gusa maisha ya watz wote alio uanzisha jiwe?

Bila kikwete kubuni na kuanzisha mradi wa umeme vijijini REA huyo bibi yako kijijini angekuwa anajua hata barbu ya umeme inafananaje?

Bila kikwete kuanzisha shule za kata mtoto wa masikini angejua ladha ya elimu inafananaje?
Kikwete kajenga moja wapo ya chuo kikubwa kabisa ndani ya nchi hii UDOM.

Asilimia 65 ya mitambo inayo zalisha umeme nchini ambao mlikuwa mnamsifu jiwe kuwa haukatiki ime jengwa na Kikwete.
Kikwete kajenga maelfu ya km za mabarabara ya kuunganisha mikoa ya tz .

Kikwete aliajili maelfu ya wasomi kila mwaka.
Chini ya utawala wa kikwete maisha ya Wtz yalikuwa marahisi maana bidhaa zote za muhimu kwa binadamu zilikuwa na bei ya chini na bado mzunguko wa pesa ulikuwa mkubwa.

Chini ya kikwete uchumi wa Tz ulikuwa unakuwa kwa %8.

Sasa huyo jiwe wako unaweza kumfananisha kwa lipi na kikwete ?

Eti rais wa wanyonge yaani unajiita rais wa wanyonge wakati huo badala ya kuajili maelfu ya watoto wa masikini walio jazana mitaani wanaangaika na kushinda njaa unaenda kutumia matirion ya fedha kununua mandege sijui kujenga ikulu ya kufahari dodoma alafu unajisifu?
Wewe ni kidagaa tu!

Kikubwa huku kitaa kila mtu anaona nani ni nani!
 
Kipindi kile kila kitu kilikuwa ovyo ovyo biashara kila siku zinafunga yakiwemo mahotel na viwanda kama hususani vya chumvi. Kule bagamoyo viwanda vya chumvi vyote vilikuwa vimebaki magofu tu.

Hali ya mabank au financial system ilikwa paralysed na mabank kibao yakafunga biashara mf bank ya efata nk.

Bureau de change zote biashara ikafa. Kila sehemu ilikuwa ni vilio tu.

Sasa angekuwa yupo hai mpaka Leo nchi ingekuwa inaomboleza daily kwa watu kufa ama kwa stress au kwa msongo wa mawazo mana biashara hakuna, ajira hakuna kila kituhakuna.
Nakuhakikishia Uchumi ungekuwa ume collapse kabisaaaa maana yule Jamaa alikuwa hajui chochote kuhusu Uchumi ila kukurupuka.

Pili income gap ingekuwa kubwa sana hasa Kwa Wanasiasa walipokuwa karibu nae wangekuwa matajiri kama walivyovuna wakati wake ila akina sie tungekoma.
 
Kipindi kile kila kitu kilikuwa ovyo ovyo biashara kila siku zinafunga yakiwemo mahotel na viwanda kama hususani vya chumvi. Kule bagamoyo viwanda vya chumvi vyote vilikuwa vimebaki magofu tu.

Hali ya mabank au financial system ilikwa paralysed na mabank kibao yakafunga biashara mf bank ya efata nk.

Bureau de change zote biashara ikafa. Kila sehemu ilikuwa ni vilio tu.

Sasa angekuwa yupo hai mpaka Leo nchi ingekuwa inaomboleza daily kwa watu kufa ama kwa stress au kwa msongo wa mawazo mana biashara hakuna, ajira hakuna kila kituhakuna.
SIMBA WA YUDAH.......!!
 
Hujui Bureau De Change zilikua zinafanya haram gani. Unaropoka tu.. hivyo viwanda vya chumvi kufungwa uliona chumvi ikipanda bei?…
Punguza ujinga.Sheria na taratibu za uendeshaji wa Bureau zipo,jiulize kwanini hazikufuatwa,kwanini fedha hazikwenda mfuko wa Serekali?.

Usipende kutetea ujinga wa wazi wazi.Unafikiri kwanini Serekali iliamua kuwarejeshea fedha wenyewe.
 
Huna akili kwann ulikuwa una inunua 14000 na sio bei uliyo kuwa unainunua kabla ya huyo jiwe kuingia Madarakani?

Eti kulinganisha ni kweli hatakiwi kulinganishwa na awamu nyingine kwasababu awamu yake ilikuwa ni takataka na hasara kubwa kwa Wtz.

Ukitoa mradi wa bwawa la Nyerere unaweza kunitajia mradi mwingine wa maana unao gusa maisha ya watz wote alio uanzisha jiwe?

Bila kikwete kubuni na kuanzisha mradi wa umeme vijijini REA huyo bibi yako kijijini angekuwa anajua hata barbu ya umeme inafananaje?

Bila kikwete kuanzisha shule za kata mtoto wa masikini angejua ladha ya elimu inafananaje?
Kikwete kajenga moja wapo ya chuo kikubwa kabisa ndani ya nchi hii UDOM.

Asilimia 65 ya mitambo inayo zalisha umeme nchini ambao mlikuwa mnamsifu jiwe kuwa haukatiki ime jengwa na Kikwete.
Kikwete kajenga maelfu ya km za mabarabara ya kuunganisha mikoa ya tz .

Kikwete aliajili maelfu ya wasomi kila mwaka.
Chini ya utawala wa kikwete maisha ya Wtz yalikuwa marahisi maana bidhaa zote za muhimu kwa binadamu zilikuwa na bei ya chini na bado mzunguko wa pesa ulikuwa mkubwa.

Chini ya kikwete uchumi wa Tz ulikuwa unakuwa kwa %8.

Sasa huyo jiwe wako unaweza kumfananisha kwa lipi na kikwete ?

Eti rais wa wanyonge yaani unajiita rais wa wanyonge wakati huo badala ya kuajili maelfu ya watoto wa masikini walio jazana mitaani wanaangaika na kushinda njaa unaenda kutumia matirion ya fedha kununua mandege sijui kujenga ikulu ya kufahari dodoma alafu unajisifu?


Chawa Pro Max….

Huku mtaani jina Magufuli linatajwa kila sekunde…litaje sasa jina la boss wako usikie hayo majibu yake...

Miaka mitano ya JPM bila mgao wa umeme….
 
Chawa Pro Max….

Huku mtaani jina Magufuli linatajwa kila sekunde…litaje sasa jina la boss wako usikie hayo majibu yake...

Miaka mitano ya JPM bila mgao wa umeme….
Labda kwenu ndio hakukuwa na mgao.

Pili kwani maisha ni umeme pekee? Wepi hao wanaotaka Hilo jina? Vipi Ajira?, biashara, Kilimo na mambo mengine?
 
Kipindi kile kila kitu kilikuwa ovyo ovyo biashara kila siku zinafunga yakiwemo mahotel na viwanda kama hususani vya chumvi. Kule bagamoyo viwanda vya chumvi vyote vilikuwa vimebaki magofu tu.

Hali ya mabank au financial system ilikwa paralysed na mabank kibao yakafunga biashara mf bank ya efata nk.

Bureau de change zote biashara ikafa. Kila sehemu ilikuwa ni vilio tu.

Sasa angekuwa yupo hai mpaka Leo nchi ingekuwa inaomboleza daily kwa watu kufa ama kwa stress au kwa msongo wa mawazo mana biashara hakuna, ajira hakuna kila kituhakuna.
Mungu anaipenda sana Tanzania ndo maana akamleta Mama Samia. Cha muhimu tuendelee kumwomba azidi kutuepusha na CHADEMA. Kila mtu aseme Amen
 
Chawa Pro Max….

Huku mtaani jina Magufuli linatajwa kila sekunde…litaje sasa jina la boss wako usikie hayo majibu yake...

Miaka mitano ya JPM bila mgao wa umeme….
Linaimbwa na wapumbavu kama ww.

Katika huo umeme unao sema haukuwa wa mgao unaweza kunitajia chanzo cha kuzalisha huo umeme chochote kilicho jengwa na jiwe?
 
Mungu anaipenda sana Tanzania ndo maana akamleta Mama Samia. Cha muhimu tuendelee kumwomba azidi kutuepusha na CHADEMA. Kila mtu aseme Amen
Mwendazake ni mzuri wa Kusimamia akiwa chini ya mtu ila sio kuwa Rais maana ni mtu wa tamper,kukurupuka,kiburi na majigambo achilia mbali propaganda na vitisho.

Kwenye area ya uchumi alikuwa zero brain kama Nyerere,they are good at spending ila poor kwenye kutafuta.
 
Labda kwenu ndio hakukuwa na mgao.

Pili kwani maisha ni umeme pekee? Wepi hao wanaotaka Hilo jina? Vipi Ajira?, biashara, Kilimo na mambo mengine?

Weka poll mtaani yenye picha ya mwamba na mwengine unaemtaka uone nani atapata tiki nyingi….

Ajira na mbwembwe zingine baki nazo wewe…poll itaongea
 
Linaimbwa na wapumbavu kama ww.

Katika huo umeme unao sema haukuwa wa mgao unaweza kunitajia chanzo cha kuzalisha huo umeme chochote kilicho jengwa na jiwe?

Unachekesha kweli….mtera alijenga boss wako?!
 
Watanganyika mna matatizo sana, siku mkiacha unafiki mtafika mbali sana.
 
Weka poll mtaani yenye picha ya mwamba na mwengine unaemtaka uone nani atapata tiki nyingi….

Ajira na mbwembwe zingine baki nazo wewe…poll itaongea
Tiki za mambo gani? Hata Nyerere aliwekaga poll ya chama Kimoja au Vyama vingi ila wapumbavu wengi walisema chama Kimoja akawapuuza.

Maskini wa mwili na akili anaelewa nini zaidi ya Yanga na Simba n kusubiria kuitwa mnyonge?
 
Back
Top Bottom