Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Ndio tunataka msibweteke nataka mke awe na moto uleule kama enzi za uchumba au ndoa ilipokuwa mpyaSababu mojawapo ya mwanaume kuchepuka mnasema ni mke kujisahau, kubweteka. Labda habituation vizuri au anastasia kwenye majukumu yake.
Mnaenda nje kujipooza.
Ila mume akijisahau mnataka mke mwema asimame kumuweka sawa.
Na wanajua wao ndo wafaidika namba moja kwenye ndoaAnawazia watoto wake wa kike jinsi watakavyokuwa single mothers
Hakuna anayekuwa mkali rafiki yangu. Wewe ndo umesema huoi lakini wengine wanaoa. Na pia wapo wanawake wanaokataa ndoa.Hivi sijajua kwa nini wanawake mnakuwa wakali sana tukisema hatuoi.
Yaani tusioataka kuoa mnatuchukia sana
Shida ni nini kwani?
πππ hivi bado wapo wanaotoa wenyewe bila kupigwa kizinga?
Jf wanawake wa hapa ni watu wa makamu Sana , na wengi ni single mothers ndoa zimewashinda miaka miaka Mingi na unaweza kuangalia hata umri wako hukosi 40+Ni nadra sana siku hizi kukuta mwanamke analalamika...hata hapa jf nyuzi nyingi ni mwanaume analia. Sasa hapo jibu unalo nani anateseka zaidi.
Wanawake wamekuwa sugu, maisha yanaenda vizuri. Ni suala la muda mtazoea..poleni
Ukatili wenu umepitiliza mpaka nafsi haziwasuti sasaNi nadra sana siku hizi kukuta mwanamke analalamika...hata hapa jf nyuzi nyingi ni mwanaume analia. Sasa hapo jibu unalo nani anateseka zaidi.
Wanawake wamekuwa sugu, maisha yanaenda vizuri. Ni suala la muda mtazoea..poleni
Basi msituseme vibayaHakuna anayekuwa mkali rafiki yangu. Wewe ndo umesema huoi lakini wengine wanaoa. Na pia wapo wanawake wanaokataa ndoa.
Na wala hatuwachukii kwasababu ndoa sio kwa kila mtu, ni kipaji ujue.
π€£π€£π€£π€£πWapo sana mbona wanaojua kuwa mwanaume ni kazi ya kumlipa mtu asiekudaiππππ
Wewe ushindwe kuwa na moto ule ule utegemee yeye awe na moto ule ule inawezekana vipi?Ndio tunataka msibweteke nataka mke awe na moto uleule kama enzi za uchumba au ndoa ilipokuwa mpya
Hapo ndo mnapofeli. Jitunze jiweke katika mwonekano mzuri wa kuvutia kupelekewa moto
Mke wako kakusema vibaya?Basi msituseme vibaya
Kwa jina lingne wanaitwa kausha damu(wanawake kwenye ndoa)Hivi hii hali ni kutaka tu au kujisahau? Yaan kitendo Cha mwanaume kuoa tu basi na kuvaa nguo Kwa kubadilisha kunaishia hapo full shati Moja au matatu, kazini, nyumbani na la kanisani.
Kumkuta mwanaume ameoa lakini kavaa kiatu Cha ngozi kimeachama kidogo ni kawaida sana.
Mtazame mkewe sasa, mpaka nguo zingine inabidi atupe tu maana ni Kila Leo kushona mpya, hakuna sherehe haimpiti kushonea nguo. Tuwe tunakumbuka hata kuwashonea au kuwanunulia mashati waume zetu wamama wenzangu, yaani kilekile kidogo anachokupea upendeze, kigawanyishe mpendeze wote labda kama wanataka wao wenyewe kuwa hivo.
Wababa, tunajua mnatingwa sana kututafutia lakini jikumbukeni pia tafadhali, mbaya sana kuonekana ulikuwa mnene sana kabla hujaoa mnawatukania wake zenu ivo kuwa hawawatunzi vyema.
Ndo hivo.
Nimeexperience hii kitu mkishaolewa huwa mnabadilika sana mnakuwa sio watu wa shoo shooo tenaWewe ushindwe kuwa na moto ule ule utegemee yeye awe na moto ule ule inawezekana vipi?
Majukumu hufanya watu kubadilika sasa hapo akili yenu ndo itafanya msichokane. Kuna mambo ya kuspice up ndoa yenu, msipofanya lazima mboane tu.
Sho shoo zinatoka wapi nalea watoto na mambo mengine? Haitakuwa kama mwanzo hata wewe utabadilika lazima maana majukumu yatakuzidi...huwezi elewa hii kitu.Nimeexperience hii kitu mkishaolewa huwa mnabadilika sana mnakuwa sio watu wa shoo shooo tena
Na ndio mnachangia tuwe kimoja chali mnakuwa gogo tu ushirikiano zero
Kwa hiyo mimi sina akili ya kuongoza familia daaah! π π πUkikataa ndoa nakuelewa rafiki yangu...kuna mambo huyawezi. Wewe endelea na ubachela huko kwingine waachie wanaoweza na walio na akili ya kuongoza familia zao.
Kwa hiyo mimi sina akili ya kuongoza familia daaah! π π π
Na kweli nioe halafu mbususu nianze kupangiwa kupewa kama wanetu walio kwenye ndoa. Hapo ndoa itanishinda tu π€£Akili ulizonazo ni za kuchakata mbusususu basiπ π .
Huna mpango wa kuwa na familia na unaona kila kitu kwenye ndoa hakipo sawa means akili yako haikubali ndoa.
Kila la kheri na uchakataji.Na kweli nioe halafu mbususu nianze kupangiwa kupewa kama wanetu walio kwenye ndoa. Hapo ndoa itanishinda tu π€£
Ni wanawake tu ndo huwa wanalazimisha wanaume tuvae nguo moja siku moja lakin sisi wenyewe wala hata hatupendi angalau kuvaa siku mbili ndo tunaona rahaAisee shati kuvaliwa zaidi ya mara moja ? Na hilo joto jasho vipi? Ukiwa na mkeo sidhani kama atakuacha uvae kwa kurudia nguo, anatakiwa kukuandalia nguo za week nzima bana. Wanaume mnajidai wagumu hadi kwenye nguo eti bila hivo ni dalili ya kuleft group, yaani kuwa nadhifu ni kuleft group aahπ