Hivi hii tabia ya wanaume kugeuka nyuma tukipishana na mwanamke inaisha tukifika umri gani?

Hii ni hadi lini?

Mwenzenu naona umri unasonga tu lakini beki hazikabi, yaani jitihada bado hazizai matunda kila nikijaribu kujizuia.

Je, ni uvumbuzi wa Tanzania pekee au hadi kwa wenzetu?
Kutoka 20:14 imeandikwa usizini.

MUNGU hakuweka maelezo kama iivyo amri zingine mfano amri ya Usitamani
 
Hii ni hadi lini?

Mwenzenu naona umri unasonga tu lakini beki hazikabi, yaani jitihada bado hazizai matunda kila nikijaribu kujizuia.

Je, ni uvumbuzi wa Tanzania pekee au hadi kwa wenzetu?
Dogo fanya kazi.

Kammon!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…