Juice world
JF-Expert Member
- Jun 7, 2022
- 1,982
- 2,706
Hii timu inaitwa kubwa lakini naona Haina mashabiki au ukubwa wao ni upi kama makombe hawabebi aisee naishindwa kuelewa maana hata top 4 imekua shida kwao kuipata halafu inaitwa timu kubwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamna Mimi sio shabiki Yao ila naona watu wanaiita timu kubwa sielewi ukubwa wa hii timuShabiki si wewe ndugu yetu,ndio maana una taarifa zake,🤪
Wewe umeanza kushabikia mpira miaka gani kiasi unasema makombe hawabebi?Hii timu inaitwa kubwa lakini naona Haina mashabiki au ukubwa wao ni upi kama makombe hawabebi aisee naishindwa kuelewa maana hata top 4 imekua shida kwao kuipata halafu inaitwa timu kubwa
Wanamiaka mingapi Sasa hawabebi kombe ?Wewe umeanza kushabikia mpira meaka gani kiasi unasema makombe hawabebi?
Aende google!Shabiki si wewe ndugu yetu,ndio maana una taarifa zake,🤪
Timu kubwa ki historia kama vile Brazilian national team. Hao Juve wanaitwa bibi kizee wa Turin kama jina la utani ndio walipopita akina Del Piero na Baggio aliyepaisha penati mechi ya fainali ya world cup mwaka 1994Hii timu inaitwa kubwa lakini naona Haina mashabiki au ukubwa wao ni upi kama makombe hawabebi aisee naishindwa kuelewa maana hata top 4 imekua shida kwao kuipata halafu inaitwa timu kubwa
Kumbe kihistoria okay sawa now naona ni timu ndogoTimu kubwa ki historia kama vile Brazilian national team. Hao Juve wanaitwa bibi kizee wa Turin kama jina la utani ndio walipopita akina Del Piero na Baggio aliyepaisha penati mechi ya fainali ya world cup mwaka 1994
Ooh kumbeWalikuwaga, sio sasa
Duuhjuve ya edgar davis 🕶️
anacheza na miwani ilikuwa balaaa😁
Imebaki historia, ni kweli Juventus ilikuwa timu kubwa na bora sana Ulaya yote, hasa miaka ya 80, 90 na 2000'sHii timu inaitwa kubwa lakini naona Haina mashabiki au ukubwa wao ni upi kama makombe hawabebi aisee naishindwa kuelewa maana hata top 4 imekua shida kwao kuipata halafu inaitwa timu kubwa
Timu kubwa kivipi mzee miaka mingapi haijabeba kombe labda useme timu kongweWatoto siku hizi sijui wana tumia vitu gani?
Ungetumia wikipedia yako vizuri kwa dakikia 10 tu unge ifahamu Juventus turin vizuri sana.
Ni moja wapo ya timu kubwa na kongwe nchini italia.
Kumbe ilikuwaga now ni underdogImebaki historia, ni kweli Juventus ilikuwa timu kubwa na bora sana Ulaya yote, hasa miaka ya 80, 90 na 2000's
Juventus ilikuwa inaogopwa hata na Real Madrid, Manchester United na timu kubwa zote za ulaya, kipindi cha kizazi cha Ronaldo De Lima, Z. Zidane, E. Davids, P. Nedved na wengine...ila kwasasa ni kweli haina tena yale makali na ule ubora